Benki Kuu (BoT), yasitisha leseni za maduka ya kubadilishia fedha za kigeni Tanzania

Huu mpango wa kuwashirikisha hawa wanajeshi ipo
siku na wao watanogewa na kazi za kijamii
 
Na atuambie kwanini wana tumia jeshi la wananchi kufanya kazi za polisi??? Tunaelekea wapi??
Pia atueleze kwanini yuko madarakani wakati anayumbisha uchumi wa nchi... Ni aibu kuiporomosha shs kwa kiasi ilipo fikia. Halafu wana danganya uchumi unakua. Petrol sasa 2500/kwa lita
Kazi Za Jeshi Ni Zipi Na za Polisi Ni Zipi?
 
Taarifa Mpya: Gavana wa Benki Kuu amethibitisha kuwa oparesheni ya kufanya ukaguzi katika baadhi ya maduka ya kubadilishia fedha jijini Arusha iliendeshwa na Benki yake kwa kushirikisha vyombo mbalimbali vya dola ili kubaini watuhumiwa wa uhalifu wa kutakatisha fedha.

Gavana Luoga amesisitiza kuwa watuhumiwa waliokamatwa katika zoezi hilo wanahojiwa na hatua za kisheria zitachukua mkondo wake.

Gavana Luoga amesisitiza kuwa kufuatia askari wengi wa Jeshi la Polisi kuwa katika usimamizi wa mitihani ya kidato cha pili, taasisi yake ilihusisha askari wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania wasio na silaha ili kuongeza nguvu katika kufanikisha zoezi hilo.

Source:Msemaji Mkuu wa Serikali
Nonsense!
 
Wewe mbona huelewi? In short kwa sasa Tanzania hakuna bureau de change. Ukitaka hiyo huduma nenda minara pacha.
mimi naona vizuri tu uzuri minara pacha ina matawi ! fedha haram lazima zitaisha !pini lingine linakuja
 
Jeshi, polisi, magereza, TISS, Mgambo, Uhamiaji na Zimamoto, vyote ni vyombo vya dola kwa maslahi mapana ya nchi. Polisi wanahongeka kiurahisi na kuvujisha siri, Vita vya kiuchumi vinahitaji askari wazalendo na wazalendo wetu ndio hao JWTZ, iwe Tanzanite, korosho au dola, wahahitajika sana
 
Taarifa Mpya: Gavana wa Benki Kuu amethibitisha kuwa oparesheni ya kufanya ukaguzi katika baadhi ya maduka ya kubadilishia fedha jijini Arusha iliendeshwa na Benki yake kwa kushirikisha vyombo mbalimbali vya dola ili kubaini watuhumiwa wa uhalifu wa kutakatisha fedha.

Gavana Luoga amesisitiza kuwa watuhumiwa waliokamatwa katika zoezi hilo wanahojiwa na hatua za kisheria zitachukua mkondo wake.

Gavana Luoga amesisitiza kuwa kufuatia askari wengi wa Jeshi la Polisi kuwa katika usimamizi wa mitihani ya kidato cha pili, taasisi yake ilihusisha askari wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania wasio na silaha ili kuongeza nguvu katika kufanikisha zoezi hilo.

Source:Msemaji Mkuu wa Serikali
Duuuh kazi kweli kweli
 
Taarifa Mpya: Gavana wa Benki Kuu amethibitisha kuwa oparesheni ya kufanya ukaguzi katika baadhi ya maduka ya kubadilishia fedha jijini Arusha iliendeshwa na Benki yake kwa kushirikisha vyombo mbalimbali vya dola ili kubaini watuhumiwa wa uhalifu wa kutakatisha fedha.

Gavana Luoga amesisitiza kuwa watuhumiwa waliokamatwa katika zoezi hilo wanahojiwa na hatua za kisheria zitachukua mkondo wake.

Gavana Luoga amesisitiza kuwa kufuatia askari wengi wa Jeshi la Polisi kuwa katika usimamizi wa mitihani ya kidato cha pili, taasisi yake ilihusisha askari wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania wasio na silaha ili kuongeza nguvu katika kufanikisha zoezi hilo.

Source:Msemaji Mkuu wa Serikali
Mmh reserved polisi wako wapi? Mgambo je?
 
Professional rubish
Taarifa Mpya: Gavana wa Benki Kuu amethibitisha kuwa oparesheni ya kufanya ukaguzi katika baadhi ya maduka ya kubadilishia fedha jijini Arusha iliendeshwa na Benki yake kwa kushirikisha vyombo mbalimbali vya dola ili kubaini watuhumiwa wa uhalifu wa kutakatisha fedha.

Gavana Luoga amesisitiza kuwa watuhumiwa waliokamatwa katika zoezi hilo wanahojiwa na hatua za kisheria zitachukua mkondo wake.

Gavana Luoga amesisitiza kuwa kufuatia askari wengi wa Jeshi la Polisi kuwa katika usimamizi wa mitihani ya kidato cha pili, taasisi yake ilihusisha askari wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania wasio na silaha ili kuongeza nguvu katika kufanikisha zoezi hilo.

Source:Msemaji Mkuu wa Serikali
 
ccm walifanya majaribio ya kukabidhi nchi ila mi simlaumu jiwe sana hii ni kikwete kuyaacha makundi ndani ya chama hizi ndizo athari zake.
kweli mkuu umenena vyema kabisa hongera sana kwa kuona hilo point ya msingi kabisa! mtandao wa mzee wa msoga na jasus yule wa mtama na friend of yule aliyesema akishindwa anaenda kuchunga ngo'mbe hawa ndio wanaofanya haya kwa sabab haikuwa chaguo lao makundi hayo ndiyo yanamsumbua jpm ambaye hakuwa na mtandao wowote ndani ya chama
 
Gavana wa Benki Kuu (BoT), Prof. Luoga atazungumza na vyombo vya habari mchana huu, kuanzia saa nane, kutokea jijini Arusha
==========
Gavana wa Benki Kuu amethibitisha kuwa oparesheni ya kufanya ukaguzi katika baadhi ya maduka ya kubadilishia fedha jijini Arusha iliendeshwa na Benki yake kwa kushirikisha vyombo mbalimbali vya dola ili kubaini watuhumiwa wa uhalifu wa kutakatisha fedha.

Gavana Luoga amesisitiza kuwa watuhumiwa walipkamatwa katika zoezi hilo wanahojiwa na hatua za kisheria zitachukua mkondo wake.

Gavana Luoga amesisitiza kuwa kufuatia askari wengi wa Jeshi la Polisi kuwa katika usimamizi wa mitihani ya kidato cha pili, taasisi yake ilihusisha askari wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania wasio na silaha ili kuongeza nguvu katika kufanikisha zoezi hilo.

Mitaarifa isiyo na tarehe could be revoked anytime in tz, utasikia sio tamko letu, wameghushi
 
Bank kuu yasitisha lesini za Maduka yakubadilishia fedha zakigeni Tanzania Nzima
---------------------------
Gov. Bank Kuu

1.Amesema zoezi la jana ni oparesheni ya kawaida ambayo inafanywa na benki kuu

2.Amesema oparesheni hiyo imetokana na kukua kwa biashara hiyo ya kubadili fedha ambayo wengine wa hawajakidhi vigezo

3.Ameelezea kutumia Jeshi ni kwakuwa Polisi walikuwa wanasimamia mitihani ya kidato cha pili

4. Governor Kakataa maswali alivyomaliza kuongea kanyanyuka kaondoka.
hahaha..kwamba kakataa maswali..duuh...sasa kwa nn aliamua kuita press...?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom