Kufa vigezo vyake vikoje? Waafrika tunapenda sana ramli chonganishiMbona wengi tu wanaishi hadi miaka 100 na ushee? Kwanini isiwe Mkapa? 😳😳😳
Dude la mbinguni halihusiki na hayo unayosema
Hivi unatujua vema "watz?" Mpaka tushtuliwe!!!Mbona maTV yanaendelea na Mambo Yao?
Alale Pema Peponi
Apumzike kwa Amani
Mkubwa , huwezi kumtenga Mkapa na Siasa. Mshtuko ulioikumba jamii ni kutokana na haiba yake kisiasa. Leo kuna mamia ya watu wametangulia mbele ya haki, kwanini haiujulikani! si wanasiasa kama Mkapa.Ni vizuri sana kuwa na busara ya kuacha kutumia vifo vya watu wengine kwa malengo ya kijenga hoja za kisiasa bila uthibitisho wake. Wote tunatembea na vifo vyetu viganjani mwetu. Tusubiri facts kwanza halafu ndipo tuzichambue
Wee jamaa kishindo kipi kwa nchi? Mnatakiwa mujue kuwa siasa za uongo uongo na kufunika uhalisia zinapoteza uhai wa watanzania kizembe zembe sana na ni aibu kwa nchi. Naendelea kusimama na ubalozi wa Marekani ili nibakie salama tena!Nimesikia radio Tumaini nikahisi mtangazaji amekosea! Hiki ni kishindo kwa nchi. Tunaomba Mungu nchi yetu ibakie moja kama tulivyopita salama baada ya kuondoka Baba wa Taifa. Pumzika kwa amani mzee wetu, kiongozi wetu, mtu mwenye msimamo ....Mzee Benjamini William Mkapa ...