Halaiser
JF-Expert Member
- Apr 3, 2014
- 4,011
- 6,339
Apumzike kwa Amani.
Michango ya Watz wengi humu JF inaonyesha wengi kutoguswa na Msiba huu Mkubwa wa Kitaifa kama ilivyokuwa mingine. Nakumbuka majuzi tu tulipopata ule wa Mh Mahiga wengi waliguswa sana.
Kwanini kwa Mzee wetu huyu ushabiki umekuwa mwingi??
Kuna jambo la kufikirisha hapa hasa kwetu sisi tulio hai juu ya matendo yetu na namna tunavyoishi.
Kwa upande wa wale wenye nafasi za Uongozi basi nao watambue kuwa hata uwe na mamlaka kiasi gani hata uwe na kiburi kiasi gani hata uwe na ulinzi wa namna gani haitokusaidia kukuwekea kinga ya KIFO kwenye maisha yako.
Mwenye mamlaka na nguvu ya kweli kwenye maisha yetu ya hapa Duniani ni Mungu pekee.
Kifo ni fumbo hakuna ajuae kisho yake.
Michango ya Watz wengi humu JF inaonyesha wengi kutoguswa na Msiba huu Mkubwa wa Kitaifa kama ilivyokuwa mingine. Nakumbuka majuzi tu tulipopata ule wa Mh Mahiga wengi waliguswa sana.
Kwanini kwa Mzee wetu huyu ushabiki umekuwa mwingi??
Kuna jambo la kufikirisha hapa hasa kwetu sisi tulio hai juu ya matendo yetu na namna tunavyoishi.
Kwa upande wa wale wenye nafasi za Uongozi basi nao watambue kuwa hata uwe na mamlaka kiasi gani hata uwe na kiburi kiasi gani hata uwe na ulinzi wa namna gani haitokusaidia kukuwekea kinga ya KIFO kwenye maisha yako.
Mwenye mamlaka na nguvu ya kweli kwenye maisha yetu ya hapa Duniani ni Mungu pekee.
Kifo ni fumbo hakuna ajuae kisho yake.