Bendera za Uamsho zashushwa Zanzibar nzima

Bendera za Uamsho zashushwa Zanzibar nzima

Ushahidi gani mwengine unahitajika kujua kwamba utekwaji nyara wa sheikh Farid na kuwekwa kizuizini masheikh wenzake ni jambao lililopangwa ili kuua uamsho na kuzima nguvu za waislamu.
Masheikh waachiwe haraka wasiteseke bure na bendera endeleeni kuteremsha.Mwenyezi Mungu mwenyewe atazipandisha kwa mikono yetu juu ya vichwa vyenu.Ogopeni dua ya mwenye kudhulumiwa.

Unanichekesha sana sasa kama Mwenyezi Mungu mwenyewe ndie unataka azinyenyue Bendela za Uamsho ... wafahamu kuwa yale mabaya yaliyofanywa na uamsho ndio yanalipwa hapa hapa duniani wewe subiri watumukie madhambi yao waliyoyafanya au hujui damu ilimwagika? maombi na dua zilizofanyika hawa uamsho yawezekana wakapotea kabisa kwenye ramani
 
Hilo tena halikuhusu tuachie na znz yetu kwani znz ikiangamia wewe utaumia nn wakati wewe sio mzanzibari..........
 
Hata wakishusha bendera Zanzibar tutajitenga tu. Hizo ni njama za wabara. mia....[/quote]

na wala sio waunguja,wapemba msihofu mtajitenga tu watanganyika tuko nyuma yenu.
 
mkuu usjali kwani hivi soon labda na radio imaan ambayo ni ya kipepo na kishetani itafungiwa.
Pia kuna hili gazeti al-nuur ambalo siku hizi linawaita wakristo ni mbweha.
uzuri wa mkristo yeye hana shida hata umuite kinyesi,mavi....
 
na radio nuur hapa zanzibar pia imefungiwa nayo ilikua inaongoza kwa uchochezi huko tanganyika poleni kama radio imani inaendelea kuwakera huku full burdani sasa. Mr zaifu bado anacheka cheka tu huko, nahisi harufu ya mwamunyage davis kuongoza nchi.
wameshaanza taratibu
 
umetumwa na bwana wako balozi seif eddi ? Kushusha bendera haijasaidia kitu,wameshachelewa smz, uwamsho wameshawamsha wananchi kudai zanzibar huru,jua limeshachomoza.

Mandela amelala jela miaka 27 huku harakati za ukombozi ukiendelea,naamini wananchi ambao wanao unga mkono uwamsho juu zanzibar kujitenga watashinda.

Kwa mungu hakuna kubwa.
inaonekana balozi seif ana nguvu kupita shein..alafu msipate shida sana mtajitenga tu jamhuri ya pemba lazima ipatikane
 
uwamsho ni jumuiya ya kislamu,na inaongozwa na waislamu, ukitaka ugomvi dai chako,ndio yalio wakuta uwamsho,
walikosea jinsi ya kudai pemba yao...fujo hizo wangefanyia pemba
 
Na nasikia kuna Kikosi maalum cha Polisi wametoka Bara kwenda Znz kutekeleza kazi walizotumwa na wa Bara.

Kazi ipo.
 
Mimi nimepata taarifa ya habari leo asubuhi kwa Radio Nuur, haijafungiwa bado (taarifa zenyewe wanaoambiwa sijui wanaelewa au? manake mara Muslamu mmoja Bosnia, mara Miermar waislamu wamechomewa na mabuda, yaani taarifa za watu ambao hawakuhusu kabisa, wangeongelea ya Sumbawanga, Mkuranga, Tumbatu lakini wanawajaza taka tu katika vichwa vya watu ambao wenyewe hawajui chochote.
 
Inabidi wapigwe propanganda, na waunganishwe na Al-qaeda ili washughulikiwa kwa nguvu za kimataifa, wana haribu kabisa amani ya Zanzibar kwa kivuli cha dini!
 
Nimeona Annur ya juzi ijumaa inawapigia Chapuo uamsho. Na Annuur huwa linampigia chapuo Ponda na Basaleh kwani uamsho na annur na Ponda wana uhusiano gani?

kumbe hata wewe mgalatia unasoma gazeti la Annur!! basi ujumbe unafika!!!
 
Mkuu usituharibie dini, uamsho ni genge la wahuni lilokuwa linatafuta lidhaa ya kidini kujihalalisha. Halina tofauti na Boko Halam, lingekuwa na nia njema wangeongelea masuala ya elimu, ajira, uchumi, kwa waislam na sio fujo na chuki.
kichwa cha utomvu
 
Mkuu kweli hili gazeti Al-niir tumelichoka sasa kwani makala zake ni za uchochezi hadi kufikia hatua ya kuita wakristo ni MBWEHA..

SERKAL MPO WAPI?

Kwa maana hiyo gazeti la Kiongozi, msema kweli na Lengo ni magazeti matakatifu sio? Serikali ikithubutu kulifungia gazeti la Annur basi itakuwa imewasha moto ambao kuuzima utachukua miaka mingi!! na watakao umia ni Wakristo waliojenga mahekalu ya thamani kubwa!

Muislamu Tz anaishi ktk nyumba za makuti na ndio walalahoi wengi sasa sijui mwenye hasara ni yupi!!
 
Oyoooooooooooooooooooo safi sana asee tena lazima iwekwe sheria kuwa si ruhusa kwa yeyote kuendeshs mihadhara kwa kuwa hawana jipya ktk hiyo zaidi ya kuukashifu Ukristo
 
Back
Top Bottom