zubedayo_mchuzi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2011
- 4,873
- 1,216
Kifo cha uwamsho sio kifo cha nyoyo za wazanzibari,harakati zinaendelea za kudai zanzibar huru. hizo ni politics za kiafrika. its too late.
Hoja za kudai zenji huru zina nguvu sana kuliko Kaha na Magomvi wanayo leta...