Bendera za Uamsho zashushwa Zanzibar nzima

Wakifanikiwa kukifuta hiki kikundi itakuwa heri kwa Wazanzibar na Tanzania kwa ujumla.

naomba kama kuna mtaalamu anitengenezee katuni amembeba Uhamsho anautupa Jaani/dampo/Choonii lakini asimtupe kwenye Dastibin maana atampo Hadhi wakat yeye hafai
 
acha uongo hakuna isia za Wazanzibar wengi unidanganyi kitu me naishi uku uku zanzibar watu watu wengi hawaikubali Uhamsho na wanaoikubali Uhamsho 90% wapemba sababu wanataka maslah yao na Nje ya muungano ndpo kufa CCM ili atawale CUF aingie mpemba mwenye kufata matakwa ya wapemba na hilo halipo Karume alisema wala msikubali kutawaliwa na Mpemba...wapemba ni watu wabinafsi sana hata ukimpa siri yako ataitoa Adharani...karume akazidi kusema kwa Waapemba ni mfano wa Mavi ya Ng'ombe ukiyaona juu yamekauka ukikanyaga umejilovya(yan ndani uwa mabichi so utaingiza mguu au kidole ndani ya mavi mabichi) haya sikutunga mm bali ni Rais wa 1 wa zanzibar.....sasa Uhamsho ni Isia za CUF na 90% ya CUF ZNZ wapemba
Nipe ushahidi wa karume aliosema tusikubali kutawaliwa na mpemba ?
 
CIA wana-investigate if Uamsho group is linked to al-qaeda

hawana al-qaeda wowote njaa tupu hao viongozi wao wanafanya kazi Uwanja ndege sasa wangekwa alkaida wengekaa kuitumikia serikali njaa tupu
 
jamani mmesahau kama JK amerudi na Upanga kwa hiyo hataki masikhara na mtu yeye anakata tu kashawakata Uhamsho sasa subilieni na wengne walete choko choko na ule upanga ni noma anachinja tu
 
kwani umeambia uickilize hyo radio imaan siumbea wako unaokutuma,mbona radio zipo nyingi tu clouds,radio 1 kasikilize hizo.

MWANAHALISI ilipofungiwa,kuna mtu aliituma serikali isome hilo gazeti? Acha upumbavu
 
Siku zote serikali ilikuwa wapi au ndo mpaka achinjwe Afande ndio mnashtuka.Na hii radio imaan itafungiwa lini au mpaka isababishe mauaji.CCM bwana

Hii redio ukithubutu kuisikiliza, kama unakichefu chefu watch out, uta vomit bila break
 
Karume alisema wala msikubali kutawaliwa na Mpemba...wapemba ni watu wabinafsi sana hata ukimpa siri yako ataitoa Adharani...karume akazidi kusema kwa Waapemba ni mfano wa Mavi ya Ng'ombe ukiyaona juu yamekauka ukikanyaga umejilovya(yan ndani uwa mabichi so utaingiza mguu au kidole ndani ya mavi mabichi)

Bro we mbayaaaaaaaaaaaaaaaaa.......


Kwa hiyo Kwa mujibu wa karume Wazanzibari wanatawaliwa na Mavi ya ng'ombe....
au haya ni maneno yako ?

Wewe unamwita mkuu wa Zanzibar Mavi ya ng'ombe...????????????????????????
 
acha uongo hakuna isia za Wazanzibar wengi unidanganyi kitu me naishi uku uku zanzibar watu watu wengi hawaikubali Uhamsho na wanaoikubali Uhamsho 90% wapemba sababu wanataka maslah yao na Nje ya muungano ndpo kufa CCM ili atawale CUF aingie mpemba mwenye kufata matakwa ya wapemba na hilo halipo Karume alisema wala msikubali kutawaliwa na Mpemba...wapemba ni watu wabinafsi sana hata ukimpa siri yako ataitoa Adharani...karume akazidi kusema kwa Waapemba ni mfano wa Mavi ya Ng'ombe ukiyaona juu yamekauka ukikanyaga umejilovya(yan ndani uwa mabichi so utaingiza mguu au kidole ndani ya mavi mabichi) haya sikutunga mm bali ni Rais wa 1 wa zanzibar.....sasa Uhamsho ni Isia za CUF na 90% ya CUF ZNZ wapemba

Dr. Shein ni mbara, mtanganyika,mzanzibari, muunguja au mpemba?

Wagawe, upate kuwatawala vizuri.
 
Huhitaji elimu ya chuo kikuu kutambua kuwa Uamsho ni a.k.a. boko haramu, al shaba(h), al quaeda (al kaenda), tal al taaban nk. Ishara yao ya vidole viwili mikono yote kwa pamoja aliyoionyesha kiongozi wao pale mahakamani ni utambulisho unaotumiwa na vikundi hivyo au na freemanson (chadema wenyewe hutumia mkono mmoja tu siyo miwili kwa mkupuo). Ishara hiyo si ya Uislam hata kidogo, wao hutumia alama ya mwezi mchanga kuashiria matumaini, upendo na amani. Waislam wala huwa hawapeperushi bendera misikitni wala sehemu yo yote ile, sijaona bendera ya Uislaam. Hao wa kina Farid wakapimwe vinasaba (DNA) ya viongozi wa vikundi hivyo tajwa na bila shaka vitaonyesha uhusiano wao wa ki genetics na baba zao hao. Hata muonekano wao tu unaashiria pheno type yao. Alhamisi DPP aongeze mashitaka mengine kwa hao jamaa ili wasiweze pata dhamana wala asiwaogope of course ni watu hatari bin hatari. Serikali imulinde.
 
Back
Top Bottom