mr.dominick
JF-Expert Member
- Jun 21, 2012
- 244
- 29
Waachiwe Wapumuwe
Tunapoteza muda wetu badala ya kuanzisha serikali yetu ya Tanganyika , Akili ni Mali
Waachiwe Wapumuwe
Zanzibar ikiwa huru ndiyo mtapumua??Amani haitarudi mpaka Zanzibar iwe huru...Vinginevyo ni kujidanganya tu , Watanganyika.
Zanzibar ikiwa huru ndiyo mtapumua??
uamsho ni chama cha kigaidi kama vile cuf kilivyo...vyote inabidi vipigwe marufuku na vifungiwe
chadema inaingiaje hapa?
UMETUMWA na bwana wako Balozi Seif eddi ? Kushusha bendera haijasaidia kitu,wameshachelewa smz, uwamsho wameshawamsha wananchi kudai zanzibar huru,jua limeshachomoza.
Mandela amelala jela miaka 27 huku harakati za ukombozi ukiendelea,naamini wananchi ambao wanao unga mkono uwamsho juu zanzibar kujitenga watashinda.
Kwa mungu hakuna kubwa.
ushahidi gani mwengine unahitajika kujua kwamba utekwaji nyara wa sheikh farid na kuwekwa kizuizini masheikh wenzake ni jambao lililopangwa ili kuua uamsho na kuzima nguvu za waislamu.
Masheikh waachiwe haraka wasiteseke bure na bendera endeleeni kuteremsha.mwenyezi mungu mwenyewe atazipandisha kwa mikono yetu juu ya vichwa vyenu.ogopeni dua ya mwenye kudhulumiwa.
"Shein ameandaliwa bongo."shein ni Mbara muunguja hana itikadi za kipemba shein ameandaliwa bongo acha hizo ujampata mpemba asilia ww........na kama Karume angekuwepo asingetawala mtu sababu jamaa alkuwa hawataki hata kidogo anayejua ataungana mkono na mm si kwamba natungahapana na wala si kwamba nawachukia hawa jamaa ila nasema yalyosemwa na Karume
Ushahidi gani mwengine
unahitajika kujua kwamba utekwaji nyara wa sheikh Farid na kuwekwa
kizuizini masheikh wenzake ni jambao lililopangwa ili kuua uamsho na
kuzima nguvu za waislamu.
Masheikh waachiwe haraka wasiteseke bure na bendera endeleeni
kuteremsha.Mwenyezi Mungu mwenyewe atazipandisha kwa mikono yetu juu ya
vichwa vyenu.Ogopeni dua ya mwenye kudhulumiwa.
wangewaacha wajitete kidogo......labda wangekuja na ushahidi kuwa hawasambazi chuki ndani ya jamii......
mkuu ilikuwa kama chama cha siasa. Hawa ni wa halifu na magaidi.
sweke, takashi,
..mimi naomba hizo bendera za UAMSHO watuletee na sisi wa-Tanganyika tusioutaka muungano.
..Shekhe Farid asiishie kupinga muungano akiwa ZNZ tu. Tunamuomba aje na huku Tanganyika awaelimishe wananchi dhuluma ya muungano.
..huu muungano siyo wetu walalahoi. mimi sijawahi kufika ZNZ wala sina matumaini ya kufika huko. kuna wa-Tanganyika wengi tu hawana hata habari kama kuna kitu kinaitwa ZNZ, sembuse kuihitaji ZNZ.