Bosco Ntaganda
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 710
- 288
R.i.p uamsho
Kifo cha uhamsho kimeshafika na Pumzi imeshaanza kutolewa huku ndugu zao wakiwawekea Oxygen wapate kupuma uzur maana hali yao ni mbaya......
Katika hatua nyngne ambayo SMZ imeonesha kidogo makucha yake imeendesha msako mkali wa Bendera za Uhamsho na kuzishusha na kuondoka nazo, SMZ kutumia jeshi la polisi limekamata DVD zote na CD zinaonesha mambo ya Uhamsho.......tukio hili lilitokea pale Mlandege gari ya polisi ilpofka na kubeba kila kitu katka duka moja la wakala mkuu wa CD hizi maana ufanya biashara na kuuzwa nchi za Kiarabu na ulaya......
Ulinzi umeimarishwa Visiwani muda wote Jeshi la polisi linaonesha nguvu yake ambayo muda mrefu waliwalea Uhamsho sababu hawakupewa Ruksa....na mkakati uliopo ni kufutwa kabisa Uhamsho katka ramani ya Tanzania sababu ni Taasisi ya Kidini lakini inaingilia mamlaka ambayo si yake na kujenga chuki baina ya watu......
Ahsante SMZ maana waliwadharau sababu hamkuwapa CHAI
Kifo cha uhamsho kimeshafika na Pumzi imeshaanza kutolewa huku ndugu zao wakiwawekea Oxygen wapate kupuma uzur maana hali yao ni mbaya......
Katika hatua nyngne ambayo SMZ imeonesha kidogo makucha yake imeendesha msako mkali wa Bendera za Uhamsho na kuzishusha na kuondoka nazo, SMZ kutumia jeshi la polisi limekamata DVD zote na CD zinaonesha mambo ya Uhamsho.......tukio hili lilitokea pale Mlandege gari ya polisi ilpofka na kubeba kila kitu katka duka moja la wakala mkuu wa CD hizi maana ufanya biashara na kuuzwa nchi za Kiarabu na ulaya......
Ulinzi umeimarishwa Visiwani muda wote Jeshi la polisi linaonesha nguvu yake ambayo muda mrefu waliwalea Uhamsho sababu hawakupewa Ruksa....na mkakati uliopo ni kufutwa kabisa Uhamsho katka ramani ya Tanzania sababu ni Taasisi ya Kidini lakini inaingilia mamlaka ambayo si yake na kujenga chuki baina ya watu......
Ahsante SMZ maana waliwadharau sababu hamkuwapa CHAI
Ni kweli mkuu chama niliandika kwa hasiraMkuu Precise Pangolin
Mkono umeteleza kwenye keyboard? ulimaanisha sheikh Farid?Angalia uamsho wana hasira
Chama
Gongo la mboto DSM
Anyongwe!!!
Na hawezi kuvungwa labda kufungwa.kijana tema mate chini usiseme anyongwe hana kosa kubwa la kusababishwa kunyongwa bali anaweza kuvungwa tu
haa haa mkuu unataka kubadilisha wakoloni kutoka watanganyika mpaka waarabu wa oman na irani!kushushwa kwa bendera si kumalizika kwa muamsho.......... kwa taarifa yako kama hujui ao viongozi wa smz wanataka muamsho wazidi kuexist........ coz wao wenyewe hawataki muungano ila munawalazimisha......
nguvu ileile,,,, kasi ileile kama tunasonga mbele kuidai zanzibar huru na yenye mamlaka kamili... hahahahahahahah.............. mtuachie tupumuwe.......... tumewachokeni. wakoleni weusiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
tuachiweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee tupumueeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Kifo cha uhamsho kimeshafika na Pumzi imeshaanza kutolewa huku ndugu zao wakiwawekea Oxygen wapate kupuma uzur maana hali yao ni mbaya......
Katika hatua nyngne ambayo SMZ imeonesha kidogo makucha yake imeendesha msako mkali wa Bendera za Uhamsho na kuzishusha na kuondoka nazo, SMZ kutumia jeshi la polisi limekamata DVD zote na CD zinaonesha mambo ya Uhamsho.......tukio hili lilitokea pale Mlandege gari ya polisi ilpofka na kubeba kila kitu katka duka moja la wakala mkuu wa CD hizi maana ufanya biashara na kuuzwa nchi za Kiarabu na ulaya......
Ulinzi umeimarishwa Visiwani muda wote Jeshi la polisi linaonesha nguvu yake ambayo muda mrefu waliwalea Uhamsho sababu hawakupewa Ruksa....na mkakati uliopo ni kufutwa kabisa Uhamsho katka ramani ya Tanzania sababu ni Taasisi ya Kidini lakini inaingilia mamlaka ambayo si yake na kujenga chuki baina ya watu......
Ahsante SMZ maana waliwadharau sababu hamkuwapa CHAI
kushushwa kwa bendera si kumalizika kwa muamsho.......... kwa taarifa yako kama hujui ao viongozi wa smz wanataka muamsho wazidi kuexist........ coz wao wenyewe hawataki muungano ila munawalazimisha......
nguvu ileile,,,, kasi ileile kama tunasonga mbele kuidai zanzibar huru na yenye mamlaka kamili... hahahahahahahah.............. mtuachie tupumuwe.......... tumewachokeni. wakoleni weusiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
tuachiweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee tupumueeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Mkuu usituharibie dini, uamsho ni genge la wahuni lilokuwa linatafuta lidhaa ya kidini kujihalalisha. Halina tofauti na Boko Halam, lingekuwa na nia njema wangeongelea masuala ya elimu, ajira, uchumi, kwa waislam na sio fujo na chuki.Uwamsho ni jumuiya ya kislamu,na inaongozwa na waislamu, ukitaka ugomvi dai chako,ndio yalio wakuta uwamsho,