Tony Gwanco
JF-Expert Member
- Jan 22, 2013
- 5,913
- 1,217
Mkuu wao huwa wanafurahia wana CCM wakipata ajali au matatizo mengine, Lakini sisi tusifanye hivyo ila tuwaache na ujinga wao.
wote humu huwa wanasifiana mwana ccm qkipata ajari
Mkuu wao huwa wanafurahia wana CCM wakipata ajali au matatizo mengine, Lakini sisi tusifanye hivyo ila tuwaache na ujinga wao.
wote humu huwa wanasifiana mwana ccm qkipata ajari
Ushahidi upo wazi lakini kwakua jeshi halina weledi utapindishwa kama wa ulimboka
Poleni sana majeruhi. Mungu awape faraja.
Hii ajali imepangwa na ccm mda mrefu sana.... Kisa ni kuwa Ben aliwagomea ccm kuiua Cdm.... So walikuwa wana mvizia kitambo... Soon mtanipa jibu
Poleni sana wafiwa lakini wakati mkiomboleza inafaa mfarijike kwa sababu kilichofanyika ni timilizo la Mwenyezi Mungu ambaye katika maandiko yuake alisema, "Bwana alitoa, na Bwana ametwaa" (Ayubu. 1:21).
Mwenyezi Mungu alitupatia mtihani katika maisha yetu na kutukumbusha hatima ya jasho letu aliposema, Kwa jasho la uso utakula chakula chako hadi utakaporudi ardhini, kwa kuwa ulitwaliwa kutoka humo, kwa kuwa wewe ni mavumbi na mavumbini wewe utarudi (Mwanzo 3:19).
Say: It is God Who gives you life, then gives you death; then He will gather you together for the Day of Judgement about which there is no doubt: but most men do not understand. To God belongs the dominion of the heavens and the earth, and the Day that the Hour of Judgment is established. (Qur'an 45: 26-27)
Mtani wetu katika siasa, Ben Saanane ugua pole huku ukifarijika katika mapenzi ya Mwenyezi Mungu hasa ikizingatiwa kuwa, alilopanga Mwenyezi Mungu, binadamu hawezi kulipangua.
Kuna taarifa zinasambaa kwamba kwamba kamanda Ben Saanane amepata ajali maeneo ya kibaha. Mwenye taarifa za ajali hii kama ni kweli atujuze.
Safari hii polisi hawatopata shida katika uchunguzi. Wewe unaweza kutoa taarifa sahihi.
Huyu anajua kilichotokea , ningekua police ningeanza na huyu hakuna mwingine