LiverpoolFC
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 11,496
- 3,389
Lol! Habari mbaya sana hii jamani.....mwenyenzi Mungu awaguse wote wapone mapema waweze kupambana na mafisadi!
Dah!!!! Poleni sana jamani
kumbe una ka- utu, wenzako akina feizafoxy, na mwanadiwani na laki si pesa wamepita pembeni ila hata namna ya ujumbe wako bado imekaa kaa kimtindo; mmekuwa ccm mno mpaka mnakera, hata uwongo mnaufanyaga kuwa kweli.Poleni sana majeruhi. Mungu awape faraja.
Ni kweli kabisa tunatakiwa kutoa pole kwa hawa ndugu zetu waliopata ajali hii lakini tusihishie hapo ni vema tukahitaji kujua ni gali ipi iliyoigonga kwa nyuma hiyo gali ya kina Ben kwani isije ikawa kama ile ajali ya Mwakyembe iliyotokea kwa kupangwa na huku serikali ikishindwa kuwachukulia hatua wale waliohusika katika ajali ile na kwa kufanya hivyo ni vema tukatambua kwa sasa Raia wa kawaida na hususani viongozi, wanachama na washabiki wa vyama vya upinzani vyenye kuipinga CCM kwa dhati ni adui mkubwa wa Serikali ya CCM na wananchama wao.
Kumbuka ben yupo pale, kuna kitu kilitakiwa kutokeaPoleni waathirika wote na mpate kupona mapema. Mbona Kibaha Mailimoja hakuna hali ya kusababisha aina hiyo ya ajali?
Kumbuka matukio mengi na threds zilizoanzishwa humu ni recorded.....utaumbuka...pro chadema mna roho za kinyama sana inapokuja bad luck kwenye upande wa ccm..huwa mnafurahi sanaWacha uongo wewe!! Tunatoa pole na hata rambi rambi kwenye matukio kama haya, kama hukuona umuhimu wa kuonyesha utu wako, kama una utu basi ungepita kimya kimya.