Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 17,026
- 20,511
Taarifa yakusikitisha nikuwa wale walipata ajali sambamba na Ben wamefariki dunia mda huu
Taarifa yakusikitisha nikuwa wale walipata ajali sambamba na Ben wamefariki dunia mda huu
bora kangekufa hako kanafki kameshiriki mipango mingi ya mauji ndani ya chadema
c.c.madema b
Taarifa yakusikitisha nikuwa wale walipata ajali sambamba na Ben wamefariki dunia mda huu
Taarifa yakusikitisha nikuwa wale walipata ajali sambamba na Ben wamefariki dunia mda huu
Soma comment hii ya mnyisanzu kwny msiba wa kiongozi wa ccm.........Wacha uongo wewe!! Tunatoa pole na hata rambi rambi kwenye matukio kama haya, kama hukuona umuhimu wa kuonyesha utu wako, kama una utu basi ungepita kimya kimya.
Kumbuka matukio mengi na threds zilizoanzishwa humu ni recorded.....utaumbuka...pro chadema mna roho za kinyama sana inapokuja bad luck kwenye upande wa ccm..huwa mnafurahi sana
Yaani wamefariki wote ispokuwa ben? TusidanganyaneTaarifa yakusikitisha nikuwa wale walipata ajali sambamba na Ben wamefariki dunia mda huu
Mmemtafuta mmuue kwa kuzan upande alokaa mkakosea..... Nawajua mlofanya haya
Pole sana Ben,huu ni wakati wa wewe kutafakari nyendo zako hapa duniani and the way you relate with other people Kuna sababu ya kwanini hujafa wewe.
Poleni kwa waliofikwa na misiba hii.
Hii ajali ingewapata wanachama au viongozi wa ccm ungeona furaha kwa pro chadema humu...huwa nawasikitikia sana
Mmemkosa inawauma kweli ninyi makenge..... Ana mungu si kma ninyi wadhurumuji wa hakiYaani wamefariki wote ispokuwa ben? Tusidanganyane
Ushahidi upo wazi lakini kwakua jeshi halina weledi utapindishwa kama wa ulimbokaSafari hii polisi hawatopata shida katika uchunguzi. Wewe unaweza kutoa taarifa sahihi.
Ooooh my Comred!!!!
Poleni sana, Mungu atawaponya haraka mrejee katika mapambano.