Ben Saanane na watu wake kumfanyia tafrija ya kuzaliwa Malisa ilhali Mhere Mwita yu taaban ni mzaha

magufuli alikunyoosha na propaganda zako chafu alipokabidhiwa chama akairudisha yote management kama ilivyo kwisha habar yako na ile mi thread uliyokuwa ukiishusha kuwachafua ccm wenzio walio ktk nyadhifa za chama wewe kwenye madaraka unaweza kutoa roho ya mtu dunia mapito usihadaike na ulimwengu ukasahau kutenda mema
 
magufuli alikunyoosha na propaganda zako chafu alipokabidhiwa chama akairudisha yote management kama ilivyo kwisha habar yako na ile mi thread uliyokuwa ukiishusha kuwachafua ccm wenzio walio ktk nyadhifa za chama wewe kwenye madaraka unaweza kutoa roho ya mtu dunia mapito usihadaike na ulimwengu ukasahau kutenda mema
Pole sana Mkuu. Kwa kawaida ninajua nini ninafanya. Wewe endelea na yako
 
Maisha lazima yaendelee... Unataka watu wakashinde moi ndio uone wanajali!?!?
 
Wadau, amani iwe kwenu.

Binafsi huwa nashangazwa sana na hawa vijana wa BAVICHA. Wakati mwingine ninadhani kuwa wanachokifanya ama ni maigizo au wana matatizo ya malezi kwenye chama chao.

Twende taratibu.
Jumatatu Oktoba 3, 2016, Mwenyekiti wa BAVICHA wilaya ya Geita Mhere Mwita, alipata ajali Mjini Dodoma alipoenda kushuhudia hukumu ya Viongozi wa BAVICHA Taifa walioshtakiwa kwa makosa ya Uchochezi, kesi ambayo viongozi hao walishinda baada ya upande wa mashtaka kushindwa kuthibitisha madai hayo. Haijaelezwa mazingira ya ajali hiyo. Haijaelezwa pia kama ni ya pikipiki ama ya gari. Haijaelezwa pia wengine waliohusika kwenye ajali hiyo. Inatia mashaka.

Baada ya kuumia, viongozi wa BAVICHA walimkimbiza kwenye Hospitali ya Mkoa wa Dodoma ambako alipata matibabu ya awali. Hata hivyo, taarifa kutoka kwa mmoja wa viongozi wa BAVICHA ambaye napenda kuchukua fursa hii kumpongeza kwa jinsi anavyonipa ushirikiano juu ya kambi yao, alisema kuwa Hospitali ya Dodoma iliamua kumpa rufaa Mhere Mwita ya kutibiwa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, kitengo cha Mifupa (MOI). Hii ni baada ya tatizo la Mhere Mwita kuwa kubwa kiasi cha Hospitali ya Dodoma kushindwa kulishughulikia kwani alivunjika kwenye maungio ya paja na kiuno ya mguu wa kushoto.

Kutokana na rufaa hiyo, Mhere Mwita alisafirishwa kutoka Dodoma kuelekea Dar es Salaam na aliwasili Muhimbili (MOI) majira ya saa 12 jioni ya tarehe 4 Oktoba 2016. Logistics za kumpokea Mhere MOI zilikamilika majira ya saa nane usiku wa tarehe 5 Oktoba 2016.
View attachment 413940
Hata hivyo, cha kushangaza ni kwamba, Makamanda wote ambao walikuwa wanamhudumia Mhere Mwita siku hiyo walielekwa sehemu maalum ambayo iliandaliwa kwa ajili ya kujipongeza. haijaelezwa ni pongezi za aina gani ijapokuwa walizificha kwenye mgongo wa sherehe ya kuzaliwa kwa Malisa Godlisten. Makamanda hao walikunywa vinywaji vikali huku wakifurahi, kuimba na kusherehekea kana kwamba hakuna tatizo kubwa lililomkumba mmoja wa wanafamilia. Ni sherehe, chereko, nderemo na burudani ya kila aina.
View attachment 413942 View attachment 413944
Kinachonishangaza zaidi ni dhihaka wanayoendelea kuifanya kwa Mhere Mwita baada ya kupata ajali hiyo. Haikatazwi watu kumtembelea mgonjwa na kupiga naye picha. Ila kwa kweli si fair kabisa. Wakati huu walipaswa kuwa watulivu na kuendelea kumuombea mwenzao ili apone haraka. Kuendelea kufanya dhihaka mbele ya mgonjwa kwa kupiga Selfie na kukenua meno hakika ni jambo la kusikitisha.
View attachment 413948 View attachment 413949 View attachment 413950
Niwaombe tu ndugu zangu wa BAVICHA. Wakati mwingine muwe mnafanya mambo ya kiutu uzima. Muwe mnakuwa basi japo kwa sekunde moja.
Picha bila maelezo haijitoshelezi. Tungependa kujua nani ni nani katika hizo picha kama si siri
 
Unashangaa hapo? Watu tulipiga selfie kule US wakati wa tezi dume itakuwa hapo MOI?
Si vema kuendelea kuiga ujinga. By the way kama mgonjwa mwenyewe kaamua sawa. Ila kama hayupo concious itakuwa jambo la ajabu sana
 
Wadau, amani iwe kwenu.

Binafsi huwa nashangazwa sana na hawa vijana wa BAVICHA. Wakati mwingine ninadhani kuwa wanachokifanya ama ni maigizo au wana matatizo ya malezi kwenye chama chao.

Twende taratibu.
Jumatatu Oktoba 3, 2016, Mwenyekiti wa BAVICHA wilaya ya Geita Mhere Mwita, alipata ajali Mjini Dodoma alipoenda kushuhudia hukumu ya Viongozi wa BAVICHA Taifa walioshtakiwa kwa makosa ya Uchochezi, kesi ambayo viongozi hao walishinda baada ya upande wa mashtaka kushindwa kuthibitisha madai hayo. Haijaelezwa mazingira ya ajali hiyo. Haijaelezwa pia kama ni ya pikipiki ama ya gari. Haijaelezwa pia wengine waliohusika kwenye ajali hiyo. Inatia mashaka.

Baada ya kuumia, viongozi wa BAVICHA walimkimbiza kwenye Hospitali ya Mkoa wa Dodoma ambako alipata matibabu ya awali. Hata hivyo, taarifa kutoka kwa mmoja wa viongozi wa BAVICHA ambaye napenda kuchukua fursa hii kumpongeza kwa jinsi anavyonipa ushirikiano juu ya kambi yao, alisema kuwa Hospitali ya Dodoma iliamua kumpa rufaa Mhere Mwita ya kutibiwa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, kitengo cha Mifupa (MOI). Hii ni baada ya tatizo la Mhere Mwita kuwa kubwa kiasi cha Hospitali ya Dodoma kushindwa kulishughulikia kwani alivunjika kwenye maungio ya paja na kiuno ya mguu wa kushoto.

Kutokana na rufaa hiyo, Mhere Mwita alisafirishwa kutoka Dodoma kuelekea Dar es Salaam na aliwasili Muhimbili (MOI) majira ya saa 12 jioni ya tarehe 4 Oktoba 2016. Logistics za kumpokea Mhere MOI zilikamilika majira ya saa nane usiku wa tarehe 5 Oktoba 2016.
View attachment 413940
Hata hivyo, cha kushangaza ni kwamba, Makamanda wote ambao walikuwa wanamhudumia Mhere Mwita siku hiyo walielekwa sehemu maalum ambayo iliandaliwa kwa ajili ya kujipongeza. haijaelezwa ni pongezi za aina gani ijapokuwa walizificha kwenye mgongo wa sherehe ya kuzaliwa kwa Malisa Godlisten. Makamanda hao walikunywa vinywaji vikali huku wakifurahi, kuimba na kusherehekea kana kwamba hakuna tatizo kubwa lililomkumba mmoja wa wanafamilia. Ni sherehe, chereko, nderemo na burudani ya kila aina.
View attachment 413942 View attachment 413944
Kinachonishangaza zaidi ni dhihaka wanayoendelea kuifanya kwa Mhere Mwita baada ya kupata ajali hiyo. Haikatazwi watu kumtembelea mgonjwa na kupiga naye picha. Ila kwa kweli si fair kabisa. Wakati huu walipaswa kuwa watulivu na kuendelea kumuombea mwenzao ili apone haraka. Kuendelea kufanya dhihaka mbele ya mgonjwa kwa kupiga Selfie na kukenua meno hakika ni jambo la kusikitisha.
View attachment 413948 View attachment 413949 View attachment 413950
Niwaombe tu ndugu zangu wa BAVICHA. Wakati mwingine muwe mnafanya mambo ya kiutu uzima. Muwe mnakuwa basi japo kwa sekunde moja.
Kwa hili nakuteua kumsaidia Mama Salha kazi,utakua makamu wake
 
aiseee hawa makamanda wana laana... lakini swala la ukatili hawa makamanda wana uzoefu kabisa
 
Sasa nimeng'amua kumbe Ben anawapa kiwewe genge la malaika wa kuzimu.
Mmesahau kama kiongozi wenu anahudhulia sherehe kadhaa na tafrija akati Bukoba bado wanaomboleza kupigwa na tetemeko lililoacha maafa na uharibifu mkubwa.
Malaika wa kizazi hiki mmekuwa mamchekbob sana mnamuangusha kiongozi wenu anayewategemea mumnusuru huku kwenye mitandao.

Wadau, amani iwe kwenu.

Binafsi huwa nashangazwa sana na hawa vijana wa BAVICHA. Wakati mwingine ninadhani kuwa wanachokifanya ama ni maigizo au wana matatizo ya malezi kwenye chama chao.

Twende taratibu.
Jumatatu Oktoba 3, 2016, Mwenyekiti wa BAVICHA wilaya ya Geita Mhere Mwita, alipata ajali Mjini Dodoma alipoenda kushuhudia hukumu ya Viongozi wa BAVICHA Taifa walioshtakiwa kwa makosa ya Uchochezi, kesi ambayo viongozi hao walishinda baada ya upande wa mashtaka kushindwa kuthibitisha madai hayo. Haijaelezwa mazingira ya ajali hiyo. Haijaelezwa pia kama ni ya pikipiki ama ya gari. Haijaelezwa pia wengine waliohusika kwenye ajali hiyo. Inatia mashaka.

Baada ya kuumia, viongozi wa BAVICHA walimkimbiza kwenye Hospitali ya Mkoa wa Dodoma ambako alipata matibabu ya awali. Hata hivyo, taarifa kutoka kwa mmoja wa viongozi wa BAVICHA ambaye napenda kuchukua fursa hii kumpongeza kwa jinsi anavyonipa ushirikiano juu ya kambi yao, alisema kuwa Hospitali ya Dodoma iliamua kumpa rufaa Mhere Mwita ya kutibiwa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, kitengo cha Mifupa (MOI). Hii ni baada ya tatizo la Mhere Mwita kuwa kubwa kiasi cha Hospitali ya Dodoma kushindwa kulishughulikia kwani alivunjika kwenye maungio ya paja na kiuno ya mguu wa kushoto.

Kutokana na rufaa hiyo, Mhere Mwita alisafirishwa kutoka Dodoma kuelekea Dar es Salaam na aliwasili Muhimbili (MOI) majira ya saa 12 jioni ya tarehe 4 Oktoba 2016. Logistics za kumpokea Mhere MOI zilikamilika majira ya saa nane usiku wa tarehe 5 Oktoba 2016.
View attachment 413940
Hata hivyo, cha kushangaza ni kwamba, Makamanda wote ambao walikuwa wanamhudumia Mhere Mwita siku hiyo walielekwa sehemu maalum ambayo iliandaliwa kwa ajili ya kujipongeza. haijaelezwa ni pongezi za aina gani ijapokuwa walizificha kwenye mgongo wa sherehe ya kuzaliwa kwa Malisa Godlisten. Makamanda hao walikunywa vinywaji vikali huku wakifurahi, kuimba na kusherehekea kana kwamba hakuna tatizo kubwa lililomkumba mmoja wa wanafamilia. Ni sherehe, chereko, nderemo na burudani ya kila aina.
View attachment 413942 View attachment 413944
Kinachonishangaza zaidi ni dhihaka wanayoendelea kuifanya kwa Mhere Mwita baada ya kupata ajali hiyo. Haikatazwi watu kumtembelea mgonjwa na kupiga naye picha. Ila kwa kweli si fair kabisa. Wakati huu walipaswa kuwa watulivu na kuendelea kumuombea mwenzao ili apone haraka. Kuendelea kufanya dhihaka mbele ya mgonjwa kwa kupiga Selfie na kukenua meno hakika ni jambo la kusikitisha.
View attachment 413948 View attachment 413949 View attachment 413950
Niwaombe tu ndugu zangu wa BAVICHA. Wakati mwingine muwe mnafanya mambo ya kiutu uzima. Muwe mnakuwa basi japo kwa sekunde moja.
 
aiseee hawa makamanda wana laana... lakini swala la ukatili hawa makamanda wana uzoefu kabisa
Kinachoshangaza ni kwamba hawatoi maelezo ya ajali hiyo. Ilitokea vipi na wahusika ni akina nani. Tunachoona ni Mhere Mwita kuumia na wao kufanya tafrija
 
Sasa nimeng'amua kumbe Ben anawapa kiwewe genge la malaika wa kuzimu.
Mmesahau kama kiongozi wenu anahudhulia sherehe kadhaa na tafrija akati Bukoba bado wanaomboleza kupigwa na tetemeko lililoacha maafa na uharibifu mkubwa.
Malaika wa kizazi hiki mmekuwa mamchekbob sana mnamuangusha kiongozi wenu anayewategemea mumnusuru huku kwenye mitandao.
Ka hiyo akina Ben Saanane wameamua kuiga jambo hilo? By the way naomba ututhibitishie sherehe ambazo Rais wetu amehudhuria wakati wa tetemeko la Bukoba
 
nikiziona hizo sura nakumbuka story ya zitto tyre za gari yake kulegezwa nut
 
Back
Top Bottom