Ben Saanane mwisho wake umefika rasmi

Haya ndio madhara ya ukosefu wa ajila nguvukazi ya Taifa inapotea kijana na nguvu zake anakesha mitandaoni kuongea takataka tu, kumbe Bavicha na Uvccm viko sawa ni vichaka vya majobless kama huyu mleta mada.
 
Umejiunga tarehe 12.08.2014 unaanza na mashambulizi. Vita gani unapigana. Unaongelea makundi huku tayari ukionekana wazi una kundi lako.....Usituvurugie BAVICHA tafadhali.
 
Akili yako haina akili,tena nilichokigundua baada ya kusoma post yako hii,hakika wewe ni msaliti mkubwa,hakika wewe ni gamba gumu linalosomeka ndani ya moyo wako,kwa vyovyote wewe unatumika na Maccm,ni dhahiri kwenye payroll ya wale buku 7 fc ya Lumumba umo,na unaishi kwa kutegemea hilo.

1. Kama kweli wewe ni mwanachadema,hapa ndipo umeona mahali pa kuleta na kutangaza chuki dhidi ya Ben Saanane?

2. Kama kweli wewe ni mwanachadema kwanini unaimba singo iliyochuja ya maccm iliyoanzishwa kum-dissapoint Ben eti kwamba anashinda kwenye mitandao?

3. Kama kweli wewe ni mmoja ya wanaotarajia kugombea kama tunnavyokujua je unadhani bado unafaa?maana hukuwa na sababu ya kumkashifu Ben,wala kumdhalilisha kwa mambo usiyoyajua,na umeonyesha wazi ni chuki binafsi zinakuhangaisha na ni wazi pia unamuhofia Ben ktk kinyang'anyiro cha uchaguzi wa Bavicha,na kwakuwa umejificha kwenye kombati ya chadema basi unatumia loophole kukashifu wengine wakati umedhidhihiri wewe ni Gamba sugu.

Kwani ukisubiri muda ukafika,muda ambao unaendeshwa na vikao halali vya chama vya uchaguzi,huwezi ku-table yale uliyotumwa na maccm kwenye vikao hivyo?au kwa kuwa unapata posho kwa kutumika ukiwa mamluki hodari ni lazima uwaonyeshe waliokutuma kwamba kazi yako tayari ili jioni upate buku 7 zako?

Hakika nilichokiona wewe ndio hufai kuwa kiongozi wa taasisi kubwa na imara kama ya Bavicha,hatuwezi kuongozwa na kijana wa calibre yako mwenye kutanguliza maslahi binafsi mbele,hatuwezi kuwa na kiongozi mwenye kuogopa uwezo wa Ben wakati hakitumikii chama chake bali anatumikia chama (Chadema) cha Watanzania wenye matumaini ya ukombozi kwa muda mrefu na wanayasubiri, halafu unatokea mtu kama wewe ukituonyesha unaweza na kuwashambulia watu unaowahofia kutoa ushindani kwako,toka hadharani utuambie unaweza kitu gani apart from majungu haya uliyotuandikia.

Watu kama nyinyi mnadhani hakuna siasa nje ya uongozi,mnadhani kwamba kuwa Cahdema ni lazima uwe kiongozi na ndio maana mnahangaika kuchafua watu,unapenda sifa na kuonekana,all in all you are hopless moving figure.endelea kutuonyesha jinsi gani usivyofaa,na kweli hufai,maana hujui hata miiko ya uongozi,hujui hata kanuni za nyongeza toleo la 2012 kuhusu uchaguzi wa ndani ya chama,unajificha na ID za machakani kuhujumu chama na kukashifu wenzio,usijidanganye hujulikani,utaishia kutamani kama hutojirekibisha.

Kama vipi hamia mazima huko Lumumba, kwanza uache kukashifu watu eti wanamtetea Ben,mabwana zake,unatukana watu badala ya kujenga hoja kwenye uchaguzi ukifika! hapa hatetewi mtu lkn ukifika muda wa uchaguzi kila mtu atapata mavuno yake kwa kadri ya alichopanda,sio kutoka nje ya vikao halali vya uchaguzi.

Watch out. Achilia mbali kelele zako, ni lazima ukubali kwamba uwezo wa Ben sio size yako,kwani ukikiri kuna shida gani? Hivi leo unategemea Mrisho Ngasa aanze kumchafua Lione Mess huku akimbeza kwa maneno yake yote hafai kuwa mchezaji bora ispokuwa yeye, kwa dunia hii ya leo watu watamwelewa? Eti Ngasa autangazie umma kwamba yeye ni bora kuliko Messi jamani!.

Muogopeni Mungu,usidhani hatujui madhaifu ya Ben,usidhani hatujui madhaifu yako na wengine mnaotumwa kumchafua mwenzenu huku mkiwa mmeahidiwa kudhaminiwa na maccm mmshinde Ben,wakati hajatamka kama anagombea, huo ni upuuzi.hufai kuwa kiongozi,kama unadhani uongozi wa chadema ni kama mnada wa uongozi wa maccm,ni bora uende as soon as possible ukajiunge na muongeze nguvu ya kuwanyonya watanganyika.
nakerwa sana na watu wa aina yako.

Mungu tuepushe na matamanio ya kishetani ya uongozi kama ambavyo genge hili linaonyesha.
Nimekukemea hadharani maana umekuja hadharani.
 
Wewe kama umetumwa na kulipwa nadhani kazi yako umeshamaliza. LUMUMBA Hoyeeeeee!
 
Mleta mada kiwango chako cha ujinga kiki juu sana unaelekea kuwa Mpumbavu jitahidi upambane usifike huko hutakuwa tofauti na waokota makopo.

By the way, Ben Saanane kama hafai kugombea nafasi hiyo wewe mapovu yanini sasa si ufurahi kwamaba mshindani wako hana sifa za kuongoza, kinachokuma mpaka kutumia nguvu nyingi kufungua ID mpya kwaajili ya kuja kumshambulia mtu asie na sifa ya kugombea ni kitu gani

Jianglie sana wewe, kujinasibisha na BAVICHA ilhali wewe ni UVCCM hakuichafui Chadema na Bavicha kwa ujumla bali kunaiosha na kuitakatisha kajipanga huko msukule wa nape we

BACK TANGANYIKA
 
Mleta mada kiwango chako cha ujinga kiko juu sana unaelekea kuwa Mpumbavu jitahidi upambane usifike huko hutakuwa tofauti na waokota makopo.

By the way, Ben Saanane kama hafai kugombea nafasi hiyo wewe mapovu yanini sasa si ufurahi kwamaba mshindani wako hana sifa za kuongoza, kinachokuma mpaka kutumia nguvu nyingi kufungua ID mpya kwaajili ya kuja kumshambulia mtu asie na sifa ya kugombea ni kitu gani

Jianglie sana wewe, kujinasibisha na BAVICHA ilhali wewe ni UVCCM hakuichafui Chadema na Bavicha kwa ujumla bali kunaiosha na kuitakatisha kajipanga huko msukule wa nape we

BACK TANGANYIKA
 
Heee kwani CDM neno Msaliti maana yake nini hasa?leo hii Ben Saanane ana be accussed for treason?
My take CDM inawezekana maana ya neno msaliti kuwa hukubaliani na misimamo ya watu manguli wanaokiweka chama mjini
 
Last edited by a moderator:
Mleta mada kavurugwa na aache wivu wakike mijanaume isije ikamuwowa!
 
Heee kwani CDM neno Msaliti maana yake nini hasa?leo hii Ben Saanane ana be accussed for treason?
My take CDM inawezekana maana ya neno msaliti kuwa hukubaliani na misimamo ya watu manguli wanaokiweka chama mjini

Kachukueni buku saba zenu wewe na mleta mada,ma#pim#bi nyie
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom