Japo mimi sio Chadema na sina chama, ila tukubali tukatae, ukiondoa mapungufu yake ya kibinaadamu, (hakuna binaadamu mkamilifu), Ben Saanane, is the type of leaders BAVICHA, should have had long ago, and had it been, he had been there, BAVICHA would not have been the same again, it would have been far far ahead, by now CCM ingekuwa bize kukusanya kusanya kilicho chake kupisha njia!.
Heee kwani CDM neno Msaliti maana yake nini hasa?leo hii Ben Saanane ana be accussed for treason?
My take CDM inawezekana maana ya neno msaliti kuwa hukubaliani na misimamo ya watu manguli wanaokiweka chama mjini
Siasa chafu za Bavicha zitawamaliza.visasi majungu na fitina hizi zote zinatokana siasa za kuchumia tumbo.Vijana wamesoma hamtaki kujiajiri kisa mnasubiria kua mwenyekiti wa Bavicha.Image ya CDM imeanza kuchafukia kwa bavicha toka 2009 then 2011 na bado mwaka huu mtatoboana macho.
Kama unajua jina la Ben litatupwa kwenye taka kihere here cha nini kuweka thread humu? Upumbavu kama huu ndiyo unaoimaliza ccm yenu na hako ka malaya act.
Ben awe kiongozi asiwe kiongozi jina lake litabaki kwenye historia ya chama hiki, ameifanyia mambo makubwa. Kama siyo Ben Saanane kufichua nia ovu ya Zitto Kabwe kupitia PM7 chama kisingejua mapema kuwa kuna ugonjwa wa usaliti unaitafuna chama, kama siyo Ben Saanane mtandao wa masalia japo usingefanikiwa lakini kwa vyovyote vile ungesababisha chama kutumia nguvu kubwa kuponya madhara.
Leo hii tunayoona hasa baada ya Ben kuonekana jina lake linatajwa tajwa katika nafasi za juu za vijana, wale ambao kwa namna moja ama nyingine waliathirika kisiasa na kimapato baada ya Ben kusanua usaliti wao, ndiyo wanaomrushia mawe Ben kuwa eti ni hatari kwa bavicha mweeeee!!! Mnalipa visasi wakati mpo nje ya chadema duh!
Maauzi ya bavicha kwa nani atawafaa kuwaongoza yatafanywa na wajumbe halali wa bavicha, ni wao wataamua nani ni nani na kwa nafasi gani, siyo mapumbavu ccm na demu wao act ambalo leo linasherekea zawadi ya associate profesa wa usaliti Kitila..... jamaa na heshima zote lakini kisiasa hana tofauti na kinyesi
Nimejifunza vitu viwili kwenye bandiko lako mkuu Mungi.
1. ACT ni Malaya
2. Kitila Mkumbo ana heshima kwa wanafunzi wake lakini kisiasa ni bonge la MNYESI!
Japo mimi sio Chadema na sina chama, ila tukubali tukatae, ukiondoa mapungufu yake ya kibinaadamu, (hakuna binaadamu mkamilifu), Ben Saanane, is the type of leaders BAVICHA, should have had long ago, and had it been, he had been there, BAVICHA would not have been the same again, it would have been far far ahead, by now CCM ingekuwa bize kukusanya kusanya kilicho chake kupisha njia!.
We jamaa ukimsifia mwana Chadema naanza kumtilia shaka huyo msifiwaji. We Pasco umeifitini sana Chadema offline ma wazi wazi. Hufai hata kidogo mnafiki wewe. Mipango yote ya kihuni ya Zitto na Kitila wewe ni mmoja wa waratibu halafu unakuja hapa kinafiki eti huna chama! Na CCM umemwachia nani?
We jamaa ukimsifia mwana Chadema naanza kumtilia shaka huyo msifiwaji. We Pasco umeifitini sana Chadema offline ma wazi wazi. Hufai hata kidogo mnafiki wewe. Mipango yote ya kihuni ya Zitto na Kitila wewe ni mmoja wa waratibu halafu unakuja hapa kinafiki eti huna chama! Na CCM umemwachia nani?
Kama unajua jina la Ben litatupwa kwenye taka kihere here cha nini kuweka thread humu? Upumbavu kama huu ndiyo unaoimaliza ccm yenu na hako ka malaya act.
Ben awe kiongozi asiwe kiongozi jina lake litabaki kwenye historia ya chama hiki, ameifanyia mambo makubwa. Kama siyo Ben Saanane kufichua nia ovu ya Zitto Kabwe kupitia PM7 chama kisingejua mapema kuwa kuna ugonjwa wa usaliti unaitafuna chama, kama siyo Ben Saanane mtandao wa masalia japo usingefanikiwa lakini kwa vyovyote vile ungesababisha chama kutumia nguvu kubwa kuponya madhara.
Leo hii tunayoona hasa baada ya Ben kuonekana jina lake linatajwa tajwa katika nafasi za juu za vijana, wale ambao kwa namna moja ama nyingine waliathirika kisiasa na kimapato baada ya Ben kusanua usaliti wao, ndiyo wanaomrushia mawe Ben kuwa eti ni hatari kwa bavicha mweeeee!!! Mnalipa visasi wakati mpo nje ya chadema duh!
Maauzi ya bavicha kwa nani atawafaa kuwaongoza yatafanywa na wajumbe halali wa bavicha, ni wao wataamua nani ni nani na kwa nafasi gani, siyo mapumbavu ccm na demu wao act ambalo leo linasherekea zawadi ya associate profesa wa usaliti Kitila..... jamaa na heshima zote lakini kisiasa hana tofauti na kinyesi
Kwa sisi wanaccm Chadema ikipata viongozi wabovu ndio wanaturahishia kazi ya kutawala milele, kwahiyo ukiwa kama mwanaccm mwenzangu tuungane kuhakikisha huyu Kilaza Ben Saanane anakuwa mwenyekiti ili malengo yetu yatimie.
We jamaa ukimsifia mwana Chadema naanza kumtilia shaka huyo msifiwaji. We Pasco umeifitini sana Chadema offline ma wazi wazi. Hufai hata kidogo mnafiki wewe.
Mkuu Serikali Tatu, kwanza asante kwa kudhania hivyo unavyodhania, na hiyo ndio faraja yangu.
Hili la kuifitini Chadema off line na online count me in. Tatizo kubwa kabisa la wana jf, sio wengi wana uwezo to read trends, to read between the lines, and detect the motive behind!. Mimi kosa langu kubwa ni kuwa mkweli kupindukia, yote ninayoongea kuhusu Chadema ni ukweli mtupu, na ninachokifanya ni kuitembezea bakora mchana kweupe wazi wazi bila kificho. Kama mnadhani Chadema is the perfect party and does nothing wrong, mnajitanganya!. Mimi na wakosoaji wengine, tunaoiambia Chadema ukweli mchungu, ndio tunaisaidia Chadema, (kama inamasikio), kuliko nyie mnao ona uozo na kuunyamazia, mwisho wa siku, uvundo ndio utawafurumusha!.
Mipango yote ya kihuni ya Zitto na Kitila wewe ni mmoja wa waratibu halafu unakuja hapa kinafiki eti huna chama! Na CCM umemwachia nani?
Hili la uratibu wa mipango yote nakuachia wewe, unaonyesha unazo taarifa za ndani, kwa kawaida mimi huwa sihangaiki kujibu sana speculations za vitu ambavyo havipo!, vitu vya kubuni ambavyo sio reality!.
Tatizo langu jingine ambalo pia huwa linani cost ni kuwakubali baadhi ya watu!, namkubali sana ZZK na Kitilla ndani ya Chadema. Ni ukweli mchungu sana kumeza, ndani ya Chadema hamna wengine wa calibre yao!, Ben pia nilimkubali siku nyingi sana!, hebu tazama tarehe ya hii thread!, [h=3]Juu ya tuhuma kwa Zitto na kundi Lake!. [/h]
By PascoHakika Ben Saanane ni Mwamba na Juu ya Mwamba huu, Chadema itaijenga ngome yake!.
Ingawa kwenye uchaguzi wa Bavicha alikataliwa, hili ni jiwe walilolikataa waashi, "litafanywa kuwa jiwe kuu la pembeni"!.
tulikuja kutofautiana pale alipojichanganya na kwa kuwa snitch na kutumika kwanza kama ped., kisha kama dekio kwenye sakata la PM7. Naamini alikuja kugundua makosa yake na sasa amesimama imara!. Kuwakubali kwangu Zitto na Kitila hakuna maana kuwa Chadema hamna watu wazuri wengine, no, wapo wengi tuu ila sio lazima niwakubali!.
Kkukubali kwangu watu sio kwa Chadema tuu, hata CCM namkubali sana yule jamaa yangu for a reasons, na kwenye CUF namkubali sana Jussa!.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.