Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 16,987
- 20,276
Daaah inatia hasira sana kwa mtu unaemjua kama huyu mleta mada alitekuja kwa jina bandia,
Wanajamvu nikiwamwagia jina kamili la huyu mdau mtashangaa sana,
Ana id zaidi ya tatu na zote zinatumia ip adres moja, kwaajili ya maadili ya jf sitaweke jina lake na taarifa zake mhimu binafsi,
Lakini kesho akiendelea itanibidi nivunje kanuni za chama...
Wanajamvu nikiwamwagia jina kamili la huyu mdau mtashangaa sana,
Ana id zaidi ya tatu na zote zinatumia ip adres moja, kwaajili ya maadili ya jf sitaweke jina lake na taarifa zake mhimu binafsi,
Lakini kesho akiendelea itanibidi nivunje kanuni za chama...