Ben Saanane anavyoteseka na kivuli cha unafiki...

Ben Saanane anavyoteseka na kivuli cha unafiki...

Dr.slaa alitukanwa???Kisa kumytuma ben saaanane?

Mkuu haya sio matusiiiii



Namshukuru mwenyezi mungu kwa kutuepushia wakina IDDI AMINI katika taifa letu la Tanzania maana ni bora vita ya kifisadi tunayopigana sasa kuliko vita na ukabila na udini inayotengenezwa ndani ya taasisi zetu huku watanzania wakifumbia macho na kuitana makamanda. Wale tuliojitolea kujenga chama kwa kwa moyo wote na nguvu zote kwa uaminifu ndio tunaoitwa wasaliti kwa sababu tunawakosoa! Wale wanaoishi kwa kutumia kodi zetu(ruzuku ya chama),wenye kadi mbili, wanaolipwa mishahara minono, wale wanaowatumia mahawara wao kuzunguka mikoani na kutafuta wagombea ubunge kwa kutumia kodi zetu, wale wanaopewa pesa na wanachama wa CCM(Sabodo), wale wanaofadhiliwa na CCM katika maisha yao ndio wanaoitwa makamanda kwa sababu ya ushabiki na ulimbukeni wa kisiasa tulionao baadhi ya vijana tuliojiunga ndani ya vyama baada ya uchaguzi mkuu na wanadhani kwamba viongozi ni mwingu watu na kuna watu wanaotakiwa kukosolewa na watu wanatakiwa kuabudiwa!

 
Acha weeeee, yaani fb page za kina Mchange unazikana ivi ivi....au kutukanwa ni mpaka useme ''nyoko Slaa''......Zitto anasema ukanda, Mchange-ukanda, mara bila yeye CDM haisimami, huku sio kumtukana Slaa na chama kweli

tatizo vijana tume sallender uwezo wetu wa kufikiri na kudhani chadema ni slaa,akiguswa inaonekana uasi na usaliti mkubwa,slaa tumemfanya kuwa Mungu,wakati vita yote hii inayoendelea,injinia mkuu ni yeye na vijana wake wanaoshindia mahindi ya kuchemsha pale kino mtaa wa ufipa
 
Unafiki, upopo, na tamaa ya uongozi wa Zitto sasa uko ukingoni. Amekisaliti Chama kwa muda mrefu tangu sakata la Chacha Wangwe sasa ni wakati wa kujikaanga mwenyewe kwa unafiki wake. Ukombozi wa Tanzania hauwezi kuletwa na watu wenye tamaa kama Zitto. Kwanza mdini, mkabila na mkanda, waliomtuma CCM sasa wampe hicho cheo walicho muahidi maana alichopanga Chadema hakitawezekana kwani mbinu zake zimeshajulikana. Hivi kiongozi kama Zitto anatishia watu uchawi halafu aaminiwe na nani Kiongozi mchawi shame on you Zitto.
 
yako wapi matusi hapo,,,,,,mkiambiwa ukweli mnaona mnatukanwa eeh....

Ivi na hata unaweza kuwa kamanda wa vita hata usielewe issue ya kadi.....kama kuna zaidi nyuma ya kadi sema.Sheria ya vyama vya siasa, na Katiba ya CCM huijui?
 
tatizo vijana tume sallender uwezo wetu wa kufikiri na kudhani chadema ni slaa,akiguswa inaonekana uasi na usaliti mkubwa,slaa tumemfanya kuwa Mungu,wakati vita yote hii inayoendelea,injinia mkuu ni yeye na vijana wake wanaoshindia mahindi ya kuchemsha pale kino mtaa wa ufipa

Chadema sio Slaa, lakini Iko wazi, ndo maana wapo wengi walioshiriki katika Uhuru, lakini jina la Mwl.Nyerere litaongoza mbele kabla ya kutajwa mtu mwingine....sasa unataka watu wakumtaje Zitto then Slaa?
 
Hivi na wewe si mslati pamoja na kundi la kina Ben? Hebu na wewe njoo jitetee kidogo!
Yani nyie mnasikitisha sana tena sana!


Mkiambiwa ukweli hamtaki,ila mnataka uwongo wa kina ben saanane na genge lake lote, ukweli siku zote una sifa yakukataliwa,maana unauma.
 
Upuuzi nao ni jambo. Unafiki nao ni sifa, Ujinga ni kwa ajili ya wanadamu
 
tatizo vijana tume sallender uwezo wetu wa kufikiri na kudhani chadema ni slaa,akiguswa inaonekana uasi na usaliti mkubwa,slaa tumemfanya kuwa Mungu,wakati vita yote hii inayoendelea,injinia mkuu ni yeye na vijana wake wanaoshindia mahindi ya kuchemsha pale kino mtaa wa ufipa

m.chan..ge hiyo tabia ya kujiachia kwa mwanaume mwenzio itakuponza..zitto anakutumia vibaya,mwenzio katangaza kutogombea tena ubunge sababu keshapiga za mafisadi za kutosha..urais asahau labda wa wachawi wenzie
 
Haya mambo yanafanywa na watoto wa chekechea lol..
Itaneni sasa muweke mambo sawa ..mabandiko yanachosha
 
Tufafanulie na sisi tufurai

quote_icon.png
By nyabhingi
hivi huyu ni nani kwenye chama,..mimi mbona sikujui?naona unajiingiza kwenye makwapa ya zitto ili na wewe ujulikane!!ok..mshikaji kanitonya kuwa uligombea kibaha koka akakumwaga..najiuliza umakini wa cdm mpaka wamsimamishe mtu kama wewe kugombea ubunge..naenda kuanzisha kampeni kibaha kukuonyesha wewe ni nani na wale waendesha bodaboda ninaoambiwa ndio waliokusapoti kupata hivyo vikura naanza nao..oops mshikaji ananiambia ulichukua mlungula wa koka!!!siamini hili sababu umeonyesha uwezo mdogo wa kudanganya kwa hiyo huwezi kumshinda huyo koka..
ben anasema mlilishwa yamini kwa mganga kwa hiyo hamuwezi kumkana zitto...wachawi wanaruhusiwaje chadema?
mimi sitoki kigoma na wala sijaaga kwetu..[/QUOTE]

quote_icon.png
By Taswira
we dogo usiweuke na elimu yako ya uganda mwenye cv ya kaptula,,mbona juzi nilikwambia katafute credit ndo uje humu ndani.siyo kila umzaniye ndiye,na nawaapieni nag'oka na nyie
 
Haya mambo yanafanywa na watoto wa chekechea lol..
Itaneni sasa muweke mambo sawa ..mabandiko yanachosha
dada angu firstlady1 huwezi kukaa meza moja na hawa wahuni wanaweza wakaanzisha ngumi ikawa kama yale mambo ya nccr tanga!!these little rats need a street justice like this one we are doing..eti mtu anaitwa mchange akae meza moja na slaa ana make peace nae!!!what a slap in the face
 
Wote mmekosa hekima na busara ya kuongea upuuzi wenu kwa ajili ya mambo yenu ya ajabu kama haya tumechoka na majungu yenu sasa ni wakati wa kujenga chama
 
Wachawi aka TUNTE'S leo mmekuja na Id kwa majinayenu halisi baada ya kuvuliwa nguo tangu juzi. Mbona mlikuwa ham2mii majinayenu halisi? Nawaambieni hujuma zote mnazozipanga sasa zinajulikana. Chagueni moja..either mhame chama na mchawi wenu au muokoke kama ben. Kitengo cha ujasusi wa ndani na nje ya CDM kimeimarishwa vyakutosha..hamuwezi kufurukuta. Wachawi wakubwa nyie.
 
Keep them rolling maana sisi wengine tunategemea siasa safi kumbe nyie mnaendeleza vingine! Keep them coming tutawajua zaidi!
 
Ni kwa sababu niliipima akili yake na kujua anachokitaka, na nisingeweza kumkimbia mapema kwa sababu angewasingizia mambo mengi sana wenzake.

Mpaka sasa baadhi ya viongozi wa chama wananichukia sana mimi, wanamchukia mwampamba na wengine, lakini hii ni kwa sababu ya uwongo waliokuwa wakilishwa na SAA NANE, yeye alikuwa anatuita tupumzike ama tupige story, halafu anakibadilisha kinakuwa kikao cha mikakati ya PM7 halafu anaanzisha maada za kujadili kisha anawarekodi na kupeleka kwa hao baadhin ya viongozi, masikini ya mungu viongozi wetu wanaamini na kuanza kuwaona wenzao waongo nakadharika.

Hii ni aina mbaya sana ya kufanya strugle, sisi hapa adui yetu ni CCM tu, tunavyopoteza muda kurekodiana wenyewe kwa wenyewe haisaidii kitu.

Muda alioutumia SAA NANE kuturekodi ili akauze habari angeutumia kufanya maswala ya msingi kwa chama hakika tungezidi kuwa mbali.

Lakini ndio hivyo tena njia ya mwongo fupi, na kila kitu sasa kipo hadharani.....NAENDELEA KU-COMPILE MANENO YAKE NILIYOMREKODI AKISISITIZA UANZISHWAJI WA PM7 NITAYAWEKA HUMU KILA MTU AMUELEWE SAA NANE NI NANI

Huu mwandiko unafanana sana na wa Tuntemeke.
 
Back
Top Bottom