Ben Saanane anastahili Tuzo CHADEMA

Ben Saanane anastahili Tuzo CHADEMA

hamna kutoa tuzo,adhabu ibak palepale ili kila mtu ajifunze na awe na adabu!hata Zitto nahc atakua kwene adhabu nzito ndani ya chama aliyopewa kimyakimya ndo maana amebadilika siku hizi!CDM sio genge au kijiwe cha wahuni ambao unafikiri unaweza ukawasaliti kirahisi, it can cost even your last breath trying to do that.
TULIANZA NA MUNGU,TUNAENDELEA NAE NA TUTAMALIZA NAE..LONG LIVE CDM, LONG LIVE TZ.

Ukweli umesema,ukweli umejianika kwa kuwa ukweli haupendi kupuuzwa.Ukweli unahitaji ujasiri,himaya yako kisiasa,kijamiii na kiuchumi itazungukwa na ngome ya maadui wasiopenda ukweli.Nilikua na maana kubwa niliposema kwamba ‘MASALIA/PM-7 wakishughulikiwa,watakaolia na kuomboleza zaidi ni CCM na maadui wa CHADEMA'.Leo hii Limedhihirika.Namshukuru Mungu haya yametimia,na yataendelea kutimia.

CCM wamepokea Oil Chafu.Mwenyekiti wao kwa sababu anapenda Misiba haishangazi kuona amekua mstari wa mbele katika msiba huu wa kisiasa kwa vijana hawa na wafuasi wao.Ni jambo la ajabu kwa Rais wa nchi na Mwenyekiti wa chama tawala kushiriki katika kuwaharibia vijana hawa future yao kisiasa kwa kuwahadaa katika mapozi ya picha.Hawa ndiyo wazee wanaowatumia vijana vibaya kwa maslahi yao binafsi.Juliana Shonza umenisikitisha,mavazi ya kijani na fikra zao hazikufai.Waliwaharibia dada Nakaaya Sumari,Shaibu Akwilombe,Tambwe Hizza na Dr.Walid Kaborou.Sisi tunasonga mbele,Subirini mafuriko ya M4C huko mliko

Mwenyekiti wa CCM ana historia na tuhuma ya Ubaguzi kwamba walimbagua sana Dr.Salim Ahmed Salim katika kinyang'anyiro cha urais mwaka 2015.Kijana Hussein Bashe anabaguliwa na hapewi thamani ndani ya chama chake.Namshangaa kijana mwenzangu (kwa muonekano siyo kifikra) Nape Nnauye kushindwa kuona ubaguzi huu dhidi ya Hussein Bashe


Nawashukuru marafiki wa facebook na twitter kwa sapoti,nawashukuru marafiki wa JF na mitandao yote ya kijamii kwa sapoti katika kipindi hiki kilichokua kimegubikwa na harakati za kunichafua,vitisho,hongo,habari za uongo na jitihada za kutunga stori nyingi kwenye magazeti. WASALITI mliobaki jipangeni vyema.Bado safari ni ndefu na mbichi.Juliana na mwampamba Hamtaweza kuwa kama mwanasiasa Raila Odinga wa Kenya katika game hili la kisiasa la kubadili vyama.labda mfanane na mwanasiasa wa Sierra Leone Joseph Bandabla Dauda, aliyetoka chama cha APC na kuhamia SLPP miaka ya tisini kwa kukichafua na kukitukana but Joseph Bandabla Dauda returned to the APC fold last year(2012), followed this year by heavy weights like Tom Nyuma of Kailahun.Hakuna ajenda ya itikadi hapo.hii ni aibu sana kwa vijana wasomi.Nitawamiss ila nitaulaani usaliti wenu siku zote.Bye bye Jully,I'll miss you!
 
Lisemwalo lipo kama halipo basi laja! Tuwe makini na kila mtu kama kweli cdm twataka mustakabali wa nchi hii uwe chini yetu!

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
mi mawazo yangu ni haya ZITO ni mtu ambae siasa zake zimeshindwa kutabirika na hazieleweki sio CHADEMA tu hata CCM
inavyoonekana inaonekana ZITO aliwatega CCM wamuone kama ni wao washirikiane nae ili a win simpathy kutoka ccm ili KUIVURUGA cdm KUMBE zito halikua lengo lake hilo na ushahidi ni huuu zito hajawai hata siku moja kumsema kikwete na kikwete wakati wa kampeni alitembea majimbo yote tanzani kasoro jimbo la kigoma kaskazini na viongozi wengi wa ccm waliona zito ndo sehemu ya kukimbilia kuivuruga CDM wapo vijana ambao walikua kwenye huo mkumbo bila kujijua...

kilichofata.....baada ya CCM kuona kwamba zito haelekei na wale madogo walivyotoswa bila hata zito kutoa tamko wakastuka na ikumbukwe hata huo uenyekiti wa POAC zito alipewa na kikwete kwa kuamrisha wabunge wake wampigie kura na ndio maana baada ya jaribio lao kushindwa wakaona wamkomoe kwa kufuta kamati yake sababu cheo walimpa wao na wanamuona kama mtu ambae hatabiriki nini hasa anachokitaka kwa maoni yangu hayo ndo yamejificha chini ya kapeti...ila wale madogo imekula kwao ndo mana habibu machange hajui afanyeje mpaka sasa kwenda ccm anashindwa kuomba msamaha chadema anashindwa hata chagulani wa MWANZA nae yupo kwenye mkumbo huo huo ni kama ameshapotea mwenzake matata keshajitambulisha kama yeye ni CCM SASA chagulani hajui afanyeje alitumika bila kujua linalofata kama wenzie kina habibu machange

Japo tunakubaliana kwa mengi lakini naomba kusema kuna tofauti ya mkakati ku fail na kutokutabirika......Alichokidhani kitamsaidia katika malengo yake ya kisiasa amegundua at a right time kuwa kita back-fire so ame retreat kwanza huku akijipa nafasi ya ama akubali defeat au asome mchezo na kuelekeza mashambulizi ya mwisho mwisho.....

One thing I want to declare is, yeyote atakayeenda kinyume na maslahi mapana ya nchi hii safari hii hatafanikiwa iwe yupo CDM ama CCM ndani ama nje ya nchi. I am here established with full authority over all powers and principalities to set a course hii siyo demokrasia is a decree anayeona anaweza kwenda kinyume ajaribu.....
 
kWA MAONI YANGU, UPO UWEZEKANO MKUBWA KWAMBA ZITTO ALIKUWA AKICHEZA KETE ZAKE KWA UANGALIFU MKUBWA SANA ILI AWEZE KUWIN PANDE ZOTE NA HATIMAYE AFANIKISHE MIPANGO YAKE. BAADA YA KUONA MWELEKEO BASI KAJIWEKA PEMBENI. nI MZURI WA SIASA ZA FITINA... tUNAHITAJI VIJANA WAZALENDO WENGI KAMA BEN SAANANE ILI KUUFIKIA MSTAKABALI MZIMA WA MAFANIKIO YA NCHI YETU...:target:
 
wanaotoka chadema kwenda CCM ni mapandikizi

wanaotoka CCM kwenda chadema si mapandikizi.

1 + 1 = 11
 
Vipi utabiri wenu Chadema itakufa ndani ya mwaka mmoja bado ipo? Unacheza na Intelejensia ya Chadema nini!

Chadema iwepo au ife hatuzii kwa jambo lolote wewe endelea na kujifariji pamoja na huyo mnafiki wako Ben Saanane vipi lengo kuu lilikuwa kumng`oa Zitto vipi azma yanu imefanikiwa?

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Last edited by a moderator:
Chadema iwepo au ife hatuzii kwa jambo lolote wewe endelea na kujifariji pamoja na huyo mnafiki wako Ben Saanane vipi lengo kuu lilikuwa kumng`oa Zitto vipi azma yanu imefanikiwa?

Chama
Gongo la mboto DSM

Mkuu mtaaibika sana mwaka huu.Zitto aliwachambua kama karanga Maccm pale Temeke Mwisho.Kisha akatangaza rasmi Dr Slaa alidhulumiwa Urais na ndiye Rais wa wanyonge.

Tafuteni mbinu nyingine.Ben Saanane ni kiboko ya kila mtu wa CCM
 
Last edited by a moderator:
CCM ndo wamefika uwezo wao wa mwisho kufikiri kwa kujua kua wanamkomoa zito pamoja na maadui zao ndani ya ccm akina lowasa......sasa hili la zito wameingia choo cha kike zito hana cha kupoteza sababu ile kamati ndo ilikua inamfanya mda wote yupo press conference kusulubu mashirika yenye ubadhirifu kwa mdaa huu nina uhakika silaa pekee ya zito ni M4C hana kingine zaidi ya kujiunga na kina kamanda mawazo na wengineo kuimaliza CCM KUPITIA m4c sidhani kama anaweza kuteuliwa na wabunge wa ccm kumshinda cheyo

na mtakubalina na mimi zito ni mmoja wa wanasiasa wenye mvuto mkubwa sana JUKWAANI kuteka hadhira katika kujenga hoja akiamua kujiunga na makamanda kwenye M4C litakua pigo takatifu kwa CCM na watakosa pa kukimbilia
na kwa wanachadema huu ndo mda wa kudill na adui mmoja tu yaani CCM.....makapi yote yanaanza kujichuja yenyewe yaani kuhama kwa hawa pandikizi ndo imeleta picha kwamba hakuna anaeonewa bali ni kweli kuna watu wamepandikizwa kuja kuharibu upinzani ila wameshindwa.......

sasa juliana na wenzako bila pesa uongozi ccm hakuna bora wewe una kingine cha ziada cha kutoa ili upate hata ukuu wa wilaya ila huyo mwingine ataishia kua mpiga debe wa kundi flani kwa madhumuni flani imekula kwenu
Kweli Umenena Mkuu! Juliana anaweza kupata hata Ukuu wa Wilaya au Ubunge wa Viti Maalum, hata kwa kucheka tu! Lakini hata yeye anaweza yakamkuta yaliyo mkuta NAKAAYA SUMARI!! Japo nae alikuwa na cha ziada chakuweza kutowa kama JULIANA SHONZA. Au Wanawake na Maendeleo [VIKY KAMATA] lakini bado anasikilizia Maumivu!!

Kwa hawa NJEMBAZ imekula kwao, kwani pamoja na kwamba hawana cha ziada cha kutowa, mimi Nadhani bado wanaweza kumuona MWIGULU MZINZI, kwani anaweza kuwavisha hata Gunia, Usoni Kuficha hizo nyuso zao zilizokomaa na Shuguli ikaendelea kama kawa,ili kulipia vyeo walivyo haidiwa! [watu wazima mnaelewa nacho maanisha]!

Wote wiliokuwa wanalaumu uongozi wa juu wa Chadema kwa kuwafukuza,Masalia leo wataamini Chadema ni Chama,chenye Wasomi na kina Malengo ya Dhati kabisa kumkombowa Mtanzania kutoka Mikononi mwa Mkoloni Mweusi CCM!

MUNGU IBARIKI TANZANIA!!!!
MUNGU IBARIKI CHADEMA!!!!
 
Napendekeza Ben Sanane akabidhiwe kitengo cha kurugenzi ya Intellegencia ya CHADEMA.

Am wishing ALL ZE BEST my Brother.
 
mi mawazo yangu ni haya ZITO ni mtu ambae siasa zake zimeshindwa kutabirika na hazieleweki sio CHADEMA tu hata CCM
inavyoonekana inaonekana ZITO aliwatega CCM wamuone kama ni wao washirikiane nae ili a win simpathy kutoka ccm ili KUIVURUGA cdm KUMBE zito halikua lengo lake hilo na ushahidi ni huuu zito hajawai hata siku moja kumsema kikwete na kikwete wakati wa kampeni alitembea majimbo yote tanzani kasoro jimbo la kigoma kaskazini na viongozi wengi wa ccm waliona zito ndo sehemu ya kukimbilia kuivuruga CDM wapo vijana ambao walikua kwenye huo mkumbo bila kujijua...

kilichofata.....baada ya CCM kuona kwamba zito haelekei na wale madogo walivyotoswa bila hata zito kutoa tamko wakastuka na ikumbukwe hata huo uenyekiti wa POAC zito alipewa na kikwete kwa kuamrisha wabunge wake wampigie kura na ndio maana baada ya jaribio lao kushindwa wakaona wamkomoe kwa kufuta kamati yake sababu cheo walimpa wao na wanamuona kama mtu ambae hatabiriki nini hasa anachokitaka kwa maoni yangu hayo ndo yamejificha chini ya kapeti...ila wale madogo imekula kwao ndo mana habibu machange hajui afanyeje mpaka sasa kwenda ccm anashindwa kuomba msamaha chadema anashindwa hata chagulani wa MWANZA nae yupo kwenye mkumbo huo huo ni kama ameshapotea mwenzake matata keshajitambulisha kama yeye ni CCM SASA chagulani hajui afanyeje alitumika bila kujua linalofata kama wenzie kina habibu machange

Briliant.!
 
umenena ukweli mtupu,,,zitto hasdomeki mkuu:bowl:
 
Ha ha haaa, daktareee! Wapi Prof. Mtabaji????

Mkuu Manyi umenikumbusha mbali.... The only professor in endocrinology in east and central Africa.....who are you by the way....
 
Last edited by a moderator:
Ukweli umesema,ukweli umejianika kwa kuwa ukweli haupendi kupuuzwa.Ukweli unahitaji ujasiri,himaya yako kisiasa,kijamiii na kiuchumi itazungukwa na ngome ya maadui wasiopenda ukweli.Nilikua na maana kubwa niliposema kwamba ‘MASALIA/PM-7 wakishughulikiwa,watakaolia na kuomboleza zaidi ni CCM na maadui wa CHADEMA’.Leo hii Limedhihirika.Namshukuru Mungu haya yametimia,na yataendelea kutimia.

CCM wamepokea Oil Chafu.Mwenyekiti wao kwa sababu anapenda Misiba haishangazi kuona amekua mstari wa mbele katika msiba huu wa kisiasa kwa vijana hawa na wafuasi wao.Ni jambo la ajabu kwa Rais wa nchi na Mwenyekiti wa chama tawala kushiriki katika kuwaharibia vijana hawa future yao kisiasa kwa kuwahadaa katika mapozi ya picha.Hawa ndiyo wazee wanaowatumia vijana vibaya kwa maslahi yao binafsi.Juliana Shonza umenisikitisha,mavazi ya kijani na fikra zao hazikufai.Waliwaharibia dada Nakaaya Sumari,Shaibu Akwilombe,Tambwe Hizza na Dr.Walid Kaborou.Sisi tunasonga mbele,Subirini mafuriko ya M4C huko mliko

Mwenyekiti wa CCM ana historia na tuhuma ya Ubaguzi kwamba walimbagua sana Dr.Salim Ahmed Salim katika kinyang’anyiro cha urais mwaka 2015.Kijana Hussein Bashe anabaguliwa na hapewi thamani ndani ya chama chake.Namshangaa kijana mwenzangu (kwa muonekano siyo kifikra) Nape Nnauye kushindwa kuona ubaguzi huu dhidi ya Hussein Bashe


Nawashukuru marafiki wa facebook na twitter kwa sapoti,nawashukuru marafiki wa JF na mitandao yote ya kijamii kwa sapoti katika kipindi hiki kilichokua kimegubikwa na harakati za kunichafua,vitisho,hongo,habari za uongo na jitihada za kutunga stori nyingi kwenye magazeti. WASALITI mliobaki jipangeni vyema.Bado safari ni ndefu na mbichi.Juliana na mwampamba Hamtaweza kuwa kama mwanasiasa Raila Odinga wa Kenya katika game hili la kisiasa la kubadili vyama.labda mfanane na mwanasiasa wa Sierra Leone Joseph Bandabla Dauda, aliyetoka chama cha APC na kuhamia SLPP miaka ya tisini kwa kukichafua na kukitukana but Joseph Bandabla Dauda returned to the APC fold last year(2012), followed this year by heavy weights like Tom Nyuma of Kailahun.Hakuna ajenda ya itikadi hapo.hii ni aibu sana kwa vijana wasomi.Nitawamiss ila nitaulaani usaliti wenu siku zote.Bye bye Jully,I’ll miss you!

Teh teh teh...mie nitam-miss Shonza kwa Interview na tamko reeeeeefu kuwa atagombea uenyekiti wa BAVICHA mwaka huu halafu less than 7 days anakimbilia kupiga picha na DHAIFU. Ni kitu gani ambacho kimemsukuma less than 7 days kuwa chama kinachomfaa ni CCM!! Au katiba ya BAVICHA inaruhusu mwanachama wa chama kingine kuja kugombea uongozi BAVICHA. Naamini atakuwa anaiota BAVICHA........atai-miss kweli ila ajiandae kukumbana ya malipo ya usaliti wake.
Good job Ben.
 
Back
Top Bottom