Ben Saanane anastahili Tuzo CHADEMA

Ben Saanane anastahili Tuzo CHADEMA

mi mawazo yangu ni haya ZITO ni mtu ambae siasa zake zimeshindwa kutabirika na hazieleweki sio CHADEMA tu hata CCM
inavyoonekana inaonekana ZITO aliwatega CCM wamuone kama ni wao washirikiane nae ili a win simpathy kutoka ccm ili KUIVURUGA cdm KUMBE zito halikua lengo lake hilo na ushahidi ni huuu zito hajawai hata siku moja kumsema kikwete na kikwete wakati wa kampeni alitembea majimbo yote tanzani kasoro jimbo la kigoma kaskazini na viongozi wengi wa ccm waliona zito ndo sehemu ya kukimbilia kuivuruga CDM wapo vijana ambao walikua kwenye huo mkumbo bila kujijua...

kilichofata.....baada ya CCM kuona kwamba zito haelekei na wale madogo walivyotoswa bila hata zito kutoa tamko wakastuka na ikumbukwe hata huo uenyekiti wa POAC zito alipewa na kikwete kwa kuamrisha wabunge wake wampigie kura na ndio maana baada ya jaribio lao kushindwa wakaona wamkomoe kwa kufuta kamati yake sababu cheo walimpa wao na wanamuona kama mtu ambae hatabiriki nini hasa anachokitaka kwa maoni yangu hayo ndo yamejificha chini ya kapeti...ila wale madogo imekula kwao ndo mana habibu machange hajui afanyeje mpaka sasa kwenda ccm anashindwa kuomba msamaha chadema anashindwa hata chagulani wa MWANZA nae yupo kwenye mkumbo huo huo ni kama ameshapotea mwenzake matata keshajitambulisha kama yeye ni CCM SASA chagulani hajui afanyeje alitumika bila kujua linalofata kama wenzie kina habibu machange

A possible assumption!
 
mi mawazo yangu ni haya ZITO ni mtu ambae siasa zake zimeshindwa kutabirika na hazieleweki sio CHADEMA tu hata CCM
inavyoonekana inaonekana ZITO aliwatega CCM wamuone kama ni wao washirikiane nae ili a win simpathy kutoka ccm ili KUIVURUGA cdm KUMBE zito halikua lengo lake hilo na ushahidi ni huuu zito hajawai hata siku moja kumsema kikwete na kikwete wakati wa kampeni alitembea majimbo yote tanzani kasoro jimbo la kigoma kaskazini na viongozi wengi wa ccm waliona zito ndo sehemu ya kukimbilia kuivuruga CDM wapo vijana ambao walikua kwenye huo mkumbo bila kujijua...

kilichofata.....baada ya CCM kuona kwamba zito haelekei na wale madogo walivyotoswa bila hata zito kutoa tamko wakastuka na ikumbukwe hata huo uenyekiti wa POAC zito alipewa na kikwete kwa kuamrisha wabunge wake wampigie kura na ndio maana baada ya jaribio lao kushindwa wakaona wamkomoe kwa kufuta kamati yake sababu cheo walimpa wao na wanamuona kama mtu ambae hatabiriki nini hasa anachokitaka kwa maoni yangu hayo ndo yamejificha chini ya kapeti...ila wale madogo imekula kwao ndo mana habibu machange hajui afanyeje mpaka sasa kwenda ccm anashindwa kuomba msamaha chadema anashindwa hata chagulani wa MWANZA nae yupo kwenye mkumbo huo huo ni kama ameshapotea mwenzake matata keshajitambulisha kama yeye ni CCM SASA chagulani hajui afanyeje alitumika bila kujua linalofata kama wenzie kina habibu machange

mchambuzixx umeeleza vizuri sana na kwa mapana yake.
 
Last edited by a moderator:
Much respect o you my hero Ben Saanane,
Usiache kuchukua fomu ya ubunge kamanda kwani nakukubali sana kwa ujasiri wako na nina imani huko mbeleni utakuja kuwa hazina kubwa sana kwa CHADEMA. Belive me.
 
Last edited by a moderator:
kweli anastahili kwa kuanzisha Masalia.
 
Tuzo ya nini? hapo huenda ni tofauti ya interest ndo maana akawalipua wenzie!!!
interest zingeendelea kuwa sawa angesema? tusifanye mind zetu kuwa cheap kiasi hiki.....
 
Tuzo ya nini? hapo huenda ni tofauti ya interest ndo maana akawalipua wenzie!!!
interest zingeendelea kuwa sawa angesema? tusifanye mind zetu kuwa cheap kiasi hiki.....

Nimekuwa nasema mara kwa mara kwamba huyu anayeitwa Ben Saanane ni mtu wa kuchunga sana na hasa hawa viongozi wa chadema!,nasema hivyo kwa ababu kama ni kweli kwamba alikuwa amewekwa kwa ajili ya kazi maalum ya kuwafuatilia wenzake ama kuwategeshea hayo yaliyojitokeza kama ambavyo amejipambanua na kupambanuliwa huko nyuma,bsi huyu ni tatizo!:Ni mtu hatari na lazima waliomtuma kufanya hivyo atakuja kuwageuzia kibao siku za usoni ama atatumiwa na chama kingine kuwamaliza viongozi hao kama ambavyo alitumiwa na kuwamaliza wenzake.

Nasema hivyo kwa sababu kiongozi ama mtu mwenye busara ambaye an nia njema ya kujenga hawezi kukubali ushauri wa kuwamaliza wenzake anaokula nao,anaotembea nao,anaoshinda nao na kupangiana mikakati mbalimbali!,ukimweleza jambo kama hilo lazima atabaini kwamba kuna hatari inakuja mbele ya safari na lazima atawaa-Lert wenzake.Ben Atambue kwamba wenzake wametangulia kutokana na mikono yake yeye,na yeye atafuata kwa mikono yake mwenyewe na wao wenyewe.
 
Mi nilikubali kazi iliyofanywa na na Ben! Walijifaragua eti kila anayekuwa na mtazamo tofauti siyo kwamba ametumwa, mbona sasa wamerudi kule kule tulikoambiwa walitokea kuja kuvuruga chama? Dr alifanya vizuri sana kumziua Shonza asijushishe na kazi za chama. Swali langu kubwa Shonza alipenyaje mpaka akafika nafasi kama ile?
 
[QUOTE Exactly,precise and excellent.CHA MSINGI MIMI NAONA KAZI YA KUTIMUA MASALIA NI MPANGO AMBAO MUNGU ANAJUA YEYE PEKE YAKE.TUNAWEZA KUONGEA SANA NA KWA MANENO MENGI SANA.LAKINI TUNAWEZA KU-DRAW Conculusion ileile ya Mh. Zito Z kabwe"MWAKA 2015 NI LAZIMA CHADEMA ITAKAMATA DOLA,KINYUME CHAKE HAKUNA CHAMA KINGINE CHA UPINZANI KITAKACHOTOKEA KIKAWA NA NGUVU KAMA CHADEMA NA NI VEMA CCM KIKAJIANDAA NAMNA KITAKAVYO ONGOZA KAMBI RASMI YA UPINZANI 2015-2020".Maneno ya Mh ZZK MIMI NIMEYABOLD NA KUYAWEKA kwenye FRAME JUU YA KABATI LA VYOMBO PALE NYUMBANI KWA KUWA YANATOA MATUMAINI KWANGU NA FAMILIA YANGU.ASANTE SAA NANE,ASANTE SANA MH ZITO Z K,LONG LIVE CHADEMA.
 
Nimekuwa nasema mara kwa mara kwamba huyu anayeitwa Ben Saanane ni mtu wa kuchunga sana na hasa hawa viongozi wa chadema!,nasema hivyo kwa ababu kama ni kweli kwamba alikuwa amewekwa kwa ajili ya kazi maalum ya kuwafuatilia wenzake ama kuwategeshea hayo yaliyojitokeza kama ambavyo amejipambanua na kupambanuliwa huko nyuma,bsi huyu ni tatizo!:Ni mtu hatari na lazima waliomtuma kufanya hivyo atakuja kuwageuzia kibao siku za usoni ama atatumiwa na chama kingine kuwamaliza viongozi hao kama ambavyo alitumiwa na kuwamaliza wenzake.

Nasema hivyo kwa sababu kiongozi ama mtu mwenye busara ambaye an nia njema ya kujenga hawezi kukubali ushauri wa kuwamaliza wenzake anaokula nao,anaotembea nao,anaoshinda nao na kupangiana mikakati mbalimbali!,ukimweleza jambo kama hilo lazima atabaini kwamba kuna hatari inakuja mbele ya safari na lazima atawaa-Lert wenzake.Ben Atambue kwamba wenzake wametangulia kutokana na mikono yake yeye,na yeye atafuata kwa mikono yake mwenyewe na wao wenyewe.

Mkipanga dili, mkatofautiana hata kidogo mahali lazma atokee wa kujifanya msamalia mwema wa kulipua wenzie!!!
nawachek tu wanavommwagia misifa.....akilipuka tena ndo watajua ye ni nani!!!
 
Tuzo ya nini? hapo huenda ni tofauti ya interest ndo maana akawalipua wenzie!!!
interest zingeendelea kuwa sawa angesema? tusifanye mind zetu kuwa cheap kiasi hiki.....

Yote tisa, kumi nimefurahi sana wale waganga njaa kutoka CDM. Hata kama Ben atakuwa mmoja wao lakini wale ndo walikuwa wanatoa focus yetu na kuanza kufikiria watu.

Bye Shonza aka mgombea uenyekiti 'BAVICHA' uchaguzi ujao.
 
mi mawazo yangu ni haya ZITO ni mtu ambae siasa zake zimeshindwa kutabirika na hazieleweki sio CHADEMA tu hata CCM
inavyoonekana inaonekana ZITO aliwatega CCM wamuone kama ni wao washirikiane nae ili a win simpathy kutoka ccm ili KUIVURUGA cdm KUMBE zito halikua lengo lake hilo na ushahidi ni huuu zito hajawai hata siku moja kumsema kikwete na kikwete wakati wa kampeni alitembea majimbo yote tanzani kasoro jimbo la kigoma kaskazini na viongozi wengi wa ccm waliona zito ndo sehemu ya kukimbilia kuivuruga CDM wapo vijana ambao walikua kwenye huo mkumbo bila kujijua...

kilichofata.....baada ya CCM kuona kwamba zito haelekei na wale madogo walivyotoswa bila hata zito kutoa tamko wakastuka na ikumbukwe hata huo uenyekiti wa POAC zito alipewa na kikwete kwa kuamrisha wabunge wake wampigie kura na ndio maana baada ya jaribio lao kushindwa wakaona wamkomoe kwa kufuta kamati yake sababu cheo walimpa wao na wanamuona kama mtu ambae hatabiriki nini hasa anachokitaka kwa maoni yangu hayo ndo yamejificha chini ya kapeti...ila wale madogo imekula kwao ndo mana habibu machange hajui afanyeje mpaka sasa kwenda ccm anashindwa kuomba msamaha chadema anashindwa hata chagulani wa MWANZA nae yupo kwenye mkumbo huo huo ni kama ameshapotea mwenzake matata keshajitambulisha kama yeye ni CCM SASA chagulani hajui afanyeje alitumika bila kujua linalofata kama wenzie kina habibu machange

Kweli wewe ni Mchambuzi na ninakupa 100%. Uliyoandika mimi naona ni ukweli mtupu. Lakini turudi nyuma Ben alicheza sana. Tunaweza kuona aliyoyasema ni madogo lakini impact yake imekuwa kubwa sana.
 
Yote tisa, kumi nimefurahi sana wale waganga njaa kutoka CDM. Hata kama Ben atakuwa mmoja wao lakini wale ndo walikuwa wanatoa focus yetu na kuanza kufikiria watu.

Bye Shonza aka mgombea uenyekiti 'BAVICHA' uchaguzi ujao.

Mi pia nimefurahi wabunge wa kitunguu swaumu kuondoka.....
walikuwa wanaleta jam tu!!!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom