Ben Saanane amlipua Nape Nnauye

Ben Saanane amlipua Nape Nnauye

Watu ni kulipuana tu siku hizi. Kuja jamaa alipost hapa thread ya kumlipua Ben Saanane lakii naona bahati mbaya mods wameilipua! Kumbe Ben alisoma India? Nilikuwa sijui na huyo jamaa aliyemlipua alisema kwamba kuna kitu kilifanyika wakati Ben akiwa India (Sisemi kwa kuwa naona mods hawakuitaka).
mkuu hawa mamods wananibore kweli. wako so biased. wakiona kitu chochote ambacho kiko anti-chadema fasta wanakiondoa.
 
kamanda wa chama cha demokrasia na maendeleo-chadema ben saanane amemshangaa katibu wa itikadi na uenezi ccm nape nnauye kwa kupita huku na huko akihoji elimu za viongozi wa chadema.

Akihutubia mkutano mkubwa wa hadhara huko goba jana saanane alisema anamfahamu vema nape kwani walisoma pamoja huko nchini india.saanane alieleza kwa kirefu jinsi nape alivyotumia njia zisizo halali kupata elimu yake.saanane alimtaka nape afunge mdomo kwani kamwe hawezi kujilinganisha na john mnyika kwa sababu ni sawa na kulinganisha na mbingu na ardhi.

Akishangiliwa na umati mkubwa wa watu saanane pia aliwatahadharisha wananchi kuhusu juliana shonza na mtela mwampamba ambao walifukuzwa na chadema na sasa wanatembezwa majukwaa mbalimbali na ccm kwa lengo la kuwatukana matusi viongozi wa chadema.

Ben saanane kwa siku za karibuni amejipatia umaarufu mkubwa ndani na nje ya chadema tangu pale alipofichua njama za usaliti ndani ya baraza la vijana la chadema-bavicha na hatimaye wasaliti hao walioongozwa na juliana shonza na mtela mwampamba wakafukuzwa uanachama.

mnyika vs nape, form four results
nape nnauye

div iv-29
kisw d, hist d, geog d, eng f, b/math f, biol d, chem d, phy d, civ f

john mnyika
div i-7
phy a, chem a, biol a, civ a, engl a, geog a, hist a, b/math a, kisw a, b/know a
 
Mkuu wangu,
Usiku na mchana viongozi wako macho wakiumiza kichwa jinsi ya kutatua changamoto hizi zinazoikabili nchi yetu.
Tuwaombee viongozi Mungu awajalie afya njema, nguvu na jitihada zaidi katika kuijenga nchi yetu. Wakati huohuo na sisi wananchi tuwe na bidii ya kutii sheria, kutoa taarifa za uhalifu, kufanya kazi kwa bidii pamoja na kuwa wabunifu.

Mkuu kwa zaidi ya miaka 52 BADO VIONGOZI WETU wanaumiza bongo zao kutupa maji saafi ya kunywa?Maji tu yametumia miaka zaidi ya 52?
 
hivi Nape anahusika nini katika serikali hadi aombwe maji?? sawa unataka raisi akuletee maji wewe je kama mwananchi umefanya juhudi gani ili kweza kupata maji?? unatunza vanzo vya maji inavyotakiwa?? unatunza miundo mbinu ya maji?? je huibii mamlaka ya maji mapato yake?? si miongoni mwa wale ambao hawataki kulipa bili zao kwa wakati??

je umeoesha juhudi ganii kwamba unahitaji maji?? umewah kuvuna hata kwa kutumia gutters nyumban kwako??, umewa kujaribu japo kutengeneza kikundi cha watumia maji cha kijiji ama mtaa wako??

Mbona unatupa wananchi kazi zinazotakiwa kufanywa na serikali jamani?Nitajie nchi moja tu duniani ambayo wakazi wake wanajitafutia maji wenyewe!Kwa mfano USA serikali inatoa tender za maji kwa makampuni ambayo yanawatoza watumiaji huduma!

Haya sijui umejaribu nn kujitafutia maji ni mapya!Tunataka maji tu wala sio umeme ambao ni anasa!Miaka 50 + ya Uhuru unataka tuamini kujitengenezea miundo mbinu ya maji ni kazi ya watanzania wenyewe?CCM wapo tayari kusema hivyo kwenye kampeni za 2015?
 
mnyika vs nape, form four results
nape nnauye

div iv-29
kisw d, hist d, geog d, eng f, b/math f, biol d, chem d, phy d, civ f

john mnyika
div i-7
phy a, chem a, biol a, civ a, engl a, geog a, hist a, b/math a, kisw a, b/know a

"Wanafunzi wengi waliomaliza Form Four mwaka 2012 wamefeli kwa sababu Serikali imedhibiti uvujaji wa mitihani" - Dr. Shukuru Kawambwa - Waziri wa Elimu.
 
hivi Nape anahusika nini katika serikali hadi aombwe maji?? sawa unataka raisi akuletee maji wewe je kama mwananchi umefanya juhudi gani ili kweza kupata maji?? unatunza vanzo vya maji inavyotakiwa?? unatunza miundo mbinu ya maji?? je huibii mamlaka ya maji mapato yake?? si miongoni mwa wale ambao hawataki kulipa bili zao kwa wakati??

je umeoesha juhudi ganii kwamba unahitaji maji?? umewah kuvuna hata kwa kutumia gutters nyumban kwako??, umewa kujaribu japo kutengeneza kikundi cha watumia maji cha kijiji ama mtaa wako??

Yaani wewe ni Mpuuzi au hukuwahi kwenda Shule, unafahamu maji ni PUBLIC GOOD hivyo uwepo wake ni lazima Serikali iwezeshe au iweke mazingira stahili ya kuwashirikisha wananchi???. Ninyi ndiyo wale msiopenda kushirikisha akili zenu ili kuleta majibu sahihi zaidi ya kudandia hoja na majibu mepesi. Na haya majibu yenu ya kipuuzi ndiyo yanawakasirisha wananchi wenye kuelewa stahili zao. Yaani umeniudhi sana.
 
"Wanafunzi wengi waliomaliza Form Four mwaka 2012 wamefeli kwa sababu Serikali imedhibiti uvujaji wa mitihani" - Dr. Shukuru Kawambwa - Waziri wa Elimu.

ili ungelianzishia uzi wake ingekaa poa sana....anyway ngoja niulize swali dogo tu kwani nimeshindwa kumvumilia,ii ina maana kwa takribani miaka 50+ serikali haikuweza kudhibiti uvujaji uo ila mwaka 2012 ndo imeweza..
Nadhani ni bora angekaa kimya kuliko uu utumbo alioongea.
 
Mbona unatupa wananchi kazi zinazotakiwa kufanywa na serikali jamani?Nitajie nchi moja tu duniani ambayo wakazi wake wanajitafutia maji wenyewe!Kwa mfano USA serikali inatoa tender za maji kwa makampuni ambayo yanawatoza watumiaji huduma!

Haya sijui umejaribu nn kujitafutia maji ni mapya!Tunataka maji tu wala sio umeme ambao ni anasa!Miaka 50 + ya Uhuru unataka tuamini kujitengenezea miundo mbinu ya maji ni kazi ya watanzania wenyewe?CCM wapo tayari kusema hivyo kwenye kampeni za 2015?

unless kama hukunielewa nilichomaanisha kwa usahihi. ngoja ikupe mfano halisi. kuna kijiji kimoja kinaitwa KWARE wilayani Hai, wananchi baada ya kuish miaka mingi pasi maji na hali ya hewa kule ikiwa ni ukame waliamua kuunda kamati ya maji ya kijiji, kisha wakaipa mamlaka ya kuainisha mahitaji yao ya maji na aina ya miundo mbinu ya maji wanayoitaka.

walipeleka wilayani mapendekezo yao tena huku wakionyesha nyenzo walizo improvise kwaajili ya maji wanayoyataka. kiukweli ilibidi mkuu wa wilaya kulazimisha mamlaka ya maji hai kupeleka maji huko kwani mpaka wanaenda kudai maji walikuwa wameonyesha nia ya dhati na wakafika mahali kwamba hawataki ahadi za serikali bali wanataka mamlaka iwape maji kulingana na miundo mbinu yao waliyoiweka.
 
Yaani wewe ni Mpuuzi au hukuwahi kwenda Shule, unafahamu maji ni PUBLIC GOOD hivyo uwepo wake ni lazima Serikali iwezeshe au iweke mazingira stahili ya kuwashirikisha wananchi???. Ninyi ndiyo wale msiopenda kushirikisha akili zenu ili kuleta majibu sahihi zaidi ya kudandia hoja na majibu mepesi. Na haya majibu yenu ya kipuuzi ndiyo yanawakasirisha wananchi wenye kuelewa stahili zao. Yaani umeniudhi sana.

uwe na nidhamu kama huna hoja kashfa zako nyamaza. shule yangu haikauhusu ila nakuuliza hivi umewah hata kuimprovise mazingira ya kuweza kupata maji??
 
kweli viwanda vya mabomu vipo vingi tanzania maana kila mtu anamlipua mwenzake.......
 
kiukweli ilibidi mkuu wa wilaya kulazimisha mamlaka ya maji hai kupeleka maji huko kwani mpaka wanaenda kudai maji walikuwa wameonyesha nia ya dhati na wakafika mahali kwamba hawataki ahadi za serikali bali wanataka mamlaka iwape maji kulingana na miundo mbinu yao waliyoiweka.

Tunarudi palepale!Mm hii dhana yako kuwa lzm tujiwekee miundo mbinu then tuiwakilishe kwa DC then aikague aone kweli tuna dhamira ya kupata maji ndipo tuletewe hayo maji NAIPINGA!

Maji sio anasa ila ni huduma muhimu mno kwa binadamu!Ama nimuonyeshe DC miundo mbinu yetu ama nisiwe kabisa cha kumuonyesha DC haki yangu ya kupata huduma za maji ipo pale pale!

Kama sasa JK kabadili nia na kauli zake kuwa ifikikapo February 2013(mwaka huu na bado wiki tu ahadi hii ISITEKELEZE)maji mkoa wa Dar es salaam itakuwa historia basi atueleze!

JK kwenye kampeni wakati anatuomba kura HAKUSEMA KUWA KAMA MNATAKA MAJI JITOLEENI KUJENGA MIUNDO MBINU YENU!Maji hamna Kyela toka uhuru!
 
uwe na nidhamu kama huna hoja kashfa zako nyamaza. shule yangu haikauhusu ila nakuuliza hivi umewah hata kuimprovise mazingira ya kuweza kupata maji??

Please give us a break!
Unacho ongea dada hakipo duniani popote pale!Narudia tena kupata maji ni haki yangu maana nalipa kodi!Inachotakiwa ni serikali kuniletea maji then kuni bill mm mtumiaji na nchi nyingi zinafanya hivi!Hamna hiyo sijui ni"improvise then DC to prove the project"

Serikali inayojivua kuwapa watu wake PUBLIC GOODS haifai kuwepo madarakani!
 
Watu ni kulipuana tu siku hizi. Kuja jamaa alipost hapa thread ya kumlipua Ben Saanane lakii naona bahati mbaya mods wameilipua! Kumbe Ben alisoma India? Nilikuwa sijui na huyo jamaa aliyemlipua alisema kwamba kuna kitu kilifanyika wakati Ben akiwa India (Sisemi kwa kuwa naona mods hawakuitaka).
Ben saa 8 is a disaster,yuko tayari afanywe lolote ili mradi apate hata ujumbe wa nyumba kumi,naona sasa chadema wanamtembeza majukwaani nchi zima wakimgharamia kwa kila kitu!
 
Hata msemeje haitabadili fact kuwa nape ana masters degree na mnyika ana degree tu
 
Hata msemeje haitabadili fact kuwa nape ana masters degree na mnyika ana degree tu

Mnyika hana degree jamani hajawahi kuwa nayo na amesema hana mpango wa kuwa nayo hivi karibuni hadi CCM ing'oke madarakani. Na kwa hesabu za darasa la tatu hiyo ni miaka 50 toka sasa.
 
Mnyika hana degree jamani hajawahi kuwa nayo na amesema hana mpango wa kuwa nayo hivi karibuni hadi CCM ing'oke madarakani. Na kwa hesabu za darasa la tatu hiyo ni miaka 50 toka sasa.

Kazi yako kushinda JF kuhesabu degree za watu.
 
Back
Top Bottom