Greenwhich
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 1,337
- 968
- Thread starter
- #121
Cha kufurahisha ni kwamba hata makamanda wenu sasa wamebaini ugumu wa kuingia ikulu sasa wanapigania posho tu.mmebaki nyie manyigu ambao hamna adhari zozote kwenye siasa za nchi hii.
Leo hata zile ID zilizosahaulika maktaba zitatumika.