Ben Saanane amlipua Nape Nnauye

Ben Saanane amlipua Nape Nnauye

Harakati za uongozi bavicha?
Umaarufuuu....nice movu anyway.
 
Yaani huyu Saanane ni Bonge ya kuni yeye amekalia umbea na kufitinisha watu hajui siasa zaidi ya hizo
 
Mmeyataka wenyewe kwahiyo kubalini matokeo wala msijaribu hata mara moja kukimbia hoja mliyoianzisha wenyewe.

Wahenga wanasema achekaye mwishoni ndiye hucheka zaidi. Mwambieni ndugu yenu Nahum Nnauye aache kuulizia elimu za watu wenye rekodi zilizotukuka wakati yeye amefanya kuunga unga na partex!

Mkuu Mwita Maranya unajua watu wengine wa ajabu sana.Nape alienda Goba wiki iliyopita akawatumia Masalia kumkashifu sana Mnyika na kuwatukana matusi viongozi wa Chadema hasa Dr Slaa.WanaCCM hapa jamvini walifurahia sana porojo zile.Jana Chadema imeenda kuhutubia palepale kufuta uchafu wa Masalia,sasa wana CCM hapa jamvini wanatokwa mapovu.
 
Last edited by a moderator:
Juliana Shonza,
Haka kabinti ndiyo kiboko ya Chadema.

Kakitokeza tu Pro-Chadema JF karibia wote mapovu yanawatoka.
 
Last edited by a moderator:
Kamanda wa chama cha Demokrasia na Maendeleo-CHADEMA Ben Saanane amemshangaa Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM Nape Nnauye kwa kupita huku na huko akihoji elimu za viongozi wa CHADEMA.

Akihutubia mkutano mkubwa wa hadhara huko GOBA jana Saanane alisema anamfahamu vema Nape kwani walisoma pamoja huko nchini India.Saanane alieleza kwa kirefu jinsi Nape alivyotumia njia zisizo halali kupata elimu yake.Saanane alimtaka Nape afunge mdomo kwani kamwe hawezi kujilinganisha na John Mnyika kwa sababu ni sawa na kulinganisha na mbingu na ardhi.

Akishangiliwa na umati mkubwa wa watu Saanane pia aliwatahadharisha wananchi kuhusu Juliana Shonza na Mtela Mwampamba ambao walifukuzwa na Chadema na sasa wanatembezwa majukwaa mbalimbali na CCM kwa lengo la kuwatukana matusi viongozi wa Chadema.

Ben Saanane kwa siku za karibuni amejipatia umaarufu mkubwa ndani na nje ya Chadema tangu pale alipofichua njama za usaliti ndani ya Baraza la vijana la Chadema-BAVICHA na hatimaye wasaliti hao walioongozwa na Juliana Shonza na Mtela Mwampamba wakafukuzwa uanachama.

In short: Nape alinunua cheti
 
Watu ni kulipuana tu siku hizi. Kuja jamaa alipost hapa thread ya kumlipua Ben Saanane lakii naona bahati mbaya mods wameilipua! Kumbe Ben alisoma India? Nilikuwa sijui na huyo jamaa aliyemlipua alisema kwamba kuna kitu kilifanyika wakati Ben akiwa India (Sisemi kwa kuwa naona mods hawakuitaka).

Tukutane pm basi. Au nako tutalipuliwa?
 
Leo mtahangaika sana lakini Chadema imewaahika pabaya.

Kwa maelezo yako, aliyekuwa anaongelewa ni mtu siyo chama kwayo kilichofanyika ni kumuanika huyo mtu pabaya.

in an ideal world, CHADEMA kana effective opposition kilitakiwa ku-set a motion and not to be cornered by CCM na kuanza kucheza mchezo ambao CCM ni magwiji. It'll never work.
 
Mmeyataka wenyewe kwahiyo kubalini matokeo wala msijaribu hata mara moja kukimbia hoja mliyoianzisha wenyewe.

Wahenga wanasema achekaye mwishoni ndiye hucheka zaidi. Mwambieni ndugu yenu Nahum Nnauye aache kuulizia elimu za watu wenye rekodi zilizotukuka wakati yeye amefanya kuunga unga na partex!

Mkuu nchi hii bila kuunga unga elimu huifiki!
 
Kwa maelezo yako, aliyekuwa anaongelewa ni mtu siyo chama kwayo kilichofanyika ni kumuanika huyo mtu pabaya.

in an ideal world, CHADEMA kana effective opposition kilitakiwa ku-set a motion and not to be cornered by CCM na kuanza kucheza mchezo ambao CCM ni magwiji. It'll never work.

Ndiyo maana mnampoteza Nape kwa kumdanganya hivi.Wewe ndiye mjuaji huko CCM ndiyo maana sishangai wanafunzi laki 3 kupata sifuri.
 
Back
Top Bottom