Ben Saanane amlipua Nape Nnauye

Ben Saanane amlipua Nape Nnauye

Watu ni kulipuana tu siku hizi. Kuja jamaa alipost hapa thread ya kumlipua Ben Saanane lakii naona bahati mbaya mods wameilipua! Kumbe Ben alisoma India? Nilikuwa sijui na huyo jamaa aliyemlipua alisema kwamba kuna kitu kilifanyika wakati Ben akiwa India (Sisemi kwa kuwa naona mods hawakuitaka).

Wale wale ambao wanapiga kelele kwamba Nape amefilisika kisiasa kwa kuongelea watu na wayapuuze yale anayoyaongea, hao hao wanakuja kuanza kuyachagiza katika jukwaa lile lile. kama niya kupuuzwa, kuna maana gani basi kutumia jukwaa kuyarudia tena na tena.
Kwa maana nyingine, Huku ni kucheza muziki unaopigwa na Nape & co-
Siasa bana.

Ok hata km Mods kuna story watabana iko siku itakuwa Hewani hata majukwaa mengine maana leo akilipuliwa Huyu watu wanashangilia lakini akilipuliwa wa kwao wakali km pilipili
 
Namkubali sana huyu kamanda wangu my hero Ben Saanane, una uwezo wa kutosha kabisa, msomi na kila sifa za kuwa mpiganaji wetu unazo kamanda, Usisahau 2015 kuvuta form ili ukawabane vilivyo huko mjengoni.
 
Last edited by a moderator:
Namkubali sana huyu kamanda wangu my hero Ben Saanane, una uwezo wa kutosha kabisa, msomi na kila sifa za kuwa mpiganaji wetu unazo kamanda, Usisahau 2015 kuvuta form ili ukawabane vilivyo huko mjengoni.

Mkuu Shardcole najua Ben Ni role model wako.Laiti jana ungekuwepo Goba na kuona alivyowachakaza masalia na magamba ungesuuzika sana roho yako.
 
Last edited by a moderator:
wabongo mnapenda kupoteza muda mkijali unnecessary issues
 
wabongo mnapenda kupoteza muda mkijali unnecessary issues

jf ni kama jua kuchomoza na kuzama.likizama usiku kwa wengine at the same time kwa wengine ni asubuhi.usijali mkuu!
 
Kuna watu wanapenda kusafiria nyota za wenzao!!!! Hivi huyu Ben saanane ana ubavu wa kupambana na Nape au kujipromo tu kila wiki humu JF?
Tena anatumia ID kibao kazi kuuza sura! kwani kusoma na Nape ni nongwa au Ulimbukeni tu!
Sasa hapa kamlipua nini!? Ataishia na dua la kuku halimpati mwewe kamwe!!!!
Njaa tu inawasumbua hamna lolote, kazi kushinda JF kujipa promo.
 
Wewe kila mkutano wa Nape ndiye unaripoti hapa Jamvini alichokisema halafu unakuja hapa eti kushauri Chadema.Pole sana Gamba.

Mkuu Wewe kweli umepotea njia. Ushauri kwa CHADEMA unafanyika kwenye mtandao wa JF. toka lini JF ikawa ni ofisi ya CHADEMA. Kuwa na watu wenye mawazo kama yako, Sishangai kuona maswala ya chama ambayo yanatakiwa yajadiliwe kwenye vikao mbadala vya chama huwa yanaletwa hapa.

Bunduki yako ya kisiasa unailengesha kusiko. Uko vitani bila hata kujua ufanye nini na adui yako ni yupi.

Samahani, Rudi kambini ukapate maelezo na uelewa zaidi juu ya Katiba, Kanuni, Maadili na Itifaki za CHADEMA bila kusahau Falsafa na Itikadi zake, kufanya hivyo, kutakufungua na kuwa well equipped political soldiery

Ni ushauri tu.
 
Ni ujinga mambo ya mimba yanstihusu nini kams syo umbea mbona kuna wengi wamitiana mimba unawajua na magwanda yao ya kijani husemi?
 
Juliana Shonza,
Haka kabinti ndiyo kiboko ya Chadema.

Kakitokeza tu Pro-Chadema JF karibia wote mapovu yanawatoka.

kumbe shonza wa maana,mbona sasa mlikuwa mnaponda alivyokuwa CDM?kweli izi ni siasa za maji taka hata ivyo ongeleni kwa kupata majembe(shonza na....)
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Wewe kweli umepotea njia. Ushauri kwa CHADEMA unafanyika kwenye mtandao wa JF. toka lini JF ikawa ni ofisi ya CHADEMA. Kuwa na watu wenye mawazo kama yako, Sishangai kuona maswala ya chama ambayo yanatakiwa yajadiliwe kwenye vikao mbadala vya chama huwa yanaletwa hapa.

Bunduki yako ya kisiasa unailengesha kusiko. Uko vitani bila hata kujua ufanye nini na adui yako ni yupi.

Samahani, Rudi kambini ukapate maelezo na uelewa zaidi juu ya Katiba, Kanuni, Maadili na Itifaki za CHADEMA bila kusahau Falsafa na Itikadi zake, kufanya hivyo, kutakufungua na kuwa well equipped political soldiery

Ni ushauri tu.

Magamba wewe ni wa kupuuzwa tu.Tangu lini magamba ukashauri Chadema jambo jema?
 
Kuna watu wanapenda kusafiria nyota za wenzao!!!! Hivi huyu Ben saanane ana ubavu wa kupambana na Nape au kujipromo tu kila wiki humu JF?
Tena anatumia ID kibao kazi kuuza sura! kwani kusoma na Nape ni nongwa au Ulimbukeni tu!
Sasa hapa kamlipua nini!? Ataishia na dua la kuku halimpati mwewe kamwe!!!!
Njaa tu inawasumbua hamna lolote, kazi kushinda JF kujipa promo.

Masalia wote mnamuunga mkono Nape.Kaazi kweli kweli.!
 
Magamba wewe ni wa kupuuzwa tu.Tangu lini magamba ukashauri Chadema jambo jema?
Mimi niishauri CHADEMA kama nani?. Sina uwezo wa kuishauri CHADEMA, washauri wa CHADEMA ni ninyi ambao hata ofisi na taratibu za chama inavyoonekana zinawapita kushoto.

Mkuu, Kwani viongozi wa CHADEMA wanapoishauri serikali ya CCM kufanya jambo kwa mtazamo wako huu huwa hawaitakii mema!! Ndiyo maana nikakupa ushauri wa kurudi base kupata nondo za kisiasa.

Sikujua kama JF ni ofisi za CHADEMA mpaka ulivyonidokeza ambapo ushauri nasaha hutolewa na kupatikana.

Tukubali kutokubaliana kama falsafa ya demokrasia inavyotuasa.
 
Uko zamu leo? Maana kila thread ya Chadema uko busy kuhadili.Njaa mbaya sana!
..mkuu huyu jamaa ana phd lakini kwa vuvuzela a k a mwenezi kaamua kuwa mtumwa wa fikra pale lumumba...nakubaliana na wewe njaa ni hatari...
 
Kwanza watu waliwaamini sana cdm kama mkombozi wao kumbe ovyoo.ongeeni mambo ya maendeleo.wkt mkijadili mambo ya unyago na nape wakina magufuli na mwakyembe wanachapakazi .mnaajingiza wenyewe kwenye mtego wa ccm.wenzenu ccm wanaonyesha mafanikio yao kwa vitendo.nyie kwa ndoto za kusadikika.
 
Cha kufurahisha ni kwamba hata makamanda wenu sasa wamebaini ugumu wa kuingia ikulu sasa wanapigania posho tu.mmebaki nyie manyigu ambao hamna adhari zozote kwenye siasa za nchi hii.
 
Mimi niishauri CHADEMA kama nani?. Sina uwezo wa kuishauri CHADEMA, washauri wa CHADEMA ni ninyi ambao hata ofisi na taratibu za chama inavyoonekana zinawapita kushoto.

Mkuu, Kwani viongozi wa CHADEMA wanapoishauri serikali ya CCM kufanya jambo kwa mtazamo wako huu huwa hawaitakii mema!! Ndiyo maana nikakupa ushauri wa kurudi base kupata nondo za kisiasa.

Sikujua kama JF ni ofisi za CHADEMA mpaka ulivyonidokeza ambapo ushauri nasaha hutolewa na kupatikana.

Tukubali kutokubaliana kama falsafa ya demokrasia inavyotuasa.

Kuna kikao Lumumba sasa hivi mkuu,kimbia unachelewa.
 
..mkuu huyu jamaa ana phd lakini kwa vuvuzela a k a mwenezi kaamua kuwa mtumwa wa fikra pale lumumba...nakubaliana na wewe njaa ni hatari...

Mkuu wangu uzuri mmoja tunawajua wote wala hawatupi shida.
 
Back
Top Bottom