Ben Saanane amlipua Nape Nnauye

Ben Saanane amlipua Nape Nnauye

Nadhani wewe ndiye unaishi kwa kukariri dada wewe gfsonwin. Hili liko dhahiri kwamba serikali yenu ya ccm imeshindwa kabisa kuwahudumia watanzania.
So fara sisi kama wananchi tunafanya mambo mengi sana kuisaidia serikali mambo ambayo kimsingi yalipaswa kufanywa na serikali.
Jambo la kwanza na muhimu zaidi tunalipa kodi, tena kwa taarifa zilizopo mwezi wa november na december 2012 TRA wameweza kukusanya kodi inayofikia kiasi cha shilingi trilioni moja kwa mwezi, sas utaona kuwa fedha zipo za kuweza kuhudumia wananchi katika miradi yao ya kijamii kama maji, afya na elimu kwa kutaja chache.

Wakati sis tunalipa kodi na kujitolea kuisaidia serikali nyie wa ccm na serikali yenu mnakwiba fedha zetu na kwenda kuzificha nje ya nchi, mnatengeneza miradi feki na kila aina ya hujuma katika fedha za umma. sasa tumefika mahali tunasema hatuwezi kukaa kimya ccm wanafuja fedha zetu na huduma za kijamii zinadorora, lazima tuwalazimishe kutuhudumia kwakuwa huo ni wajibu wao.

Wananchi walijitolea kujenga shule za kata na zahanati katika kata na vijiji/mitaa, serikali ilipaswa kutoa vifaa na wataalamu lakini hadi leo hii tunafikia hatua ya 60% ya wanafuzi wanafeli mtihani wa kidato cha nne kwa sababui serikali imeshindwa kabisa kutekeleza wajibu wake, imeshindwa kuandaa na kuajiri walimu, imeshindwa kuandaa na kuajiri watumishi wa sekta ya afya na imeshindwa kabisa kuimarisha na kuwekeza katika upatikanaji wa maabara, maktaba na vifaa tiba pam oja na madawa.

Sasa inapotokea mtu unakuja hapa kuitetea serikali ya hovyo kama hii ni dhahirti kwamba wewe mwenyewe unakuwa wa hovyo pia.

Vipi ule mradi wa nembo wa pikipiki Chadema?
 
Traitor....Si ungekuja na ID yako?I thoght you were bold enough kuwafuata wenzako walikohamia.

Huu mjadala ambao umeletwa na Greenwich hauongelei Internal Election.Can you respect that instead of showing insecurity and an attention-seeking desire to make things about you and yours? If you have nothing to contribute to the subject matter, please clear off instead of talking irrelevantly . Freedom of speech does not mean you must comment on every topic verbosely and irrelevantly.Behave yourself Mr.PRESIDENT.

Do you understand the word TRAITOR? Where did you get a guts to call somebody traitor? Just look at the mirror you will get my point traitor!
 
Do you understand the word TRAITOR? Where did you get a guts to call somebody traitor? Just look at the mirror you will get my point traitor!

Umekurupuka kuja kujibu kila Post hapa.Uzuri mmoja Masalia wote tunawajua kwa sura na kwa matendo yao ya kisaliti.

Hatimaye Chadema bila Masalia Imewezekana.
 
Ritz kujifanya kujua kila kitu ndicho kinachoonyesha jinsi ulivyo watupu kichwani.
Wewe unashangaa Dr. Slaa kupata PhD bila B.A wala M.A??? kwani wapi imeandikwa kwamba lazima awe na bachelor degree na masters ndipo asome PhD???

Kuna watu wamepata Masters baada ya kuhitimu FTC na hawakusoma Bachelor degree!! Inategemea tu umeisomea hiyo Phd au Masters nchi gani, na wao wana vigezo vyao wanavyoazingatia si kama huku kwetu. Mathalani nchi kama za Holland, Canada na Germany hawana complications za kijinga kama hapa kwetu.

Kwa hiyo unataka kutuambia Italy hawana complications PhD zao hazina B.A wala M.A.
 
Last edited by a moderator:
Nadhani wewe ndiye unaishi kwa kukariri dada wewe gfsonwin. Hili liko dhahiri kwamba serikali yenu ya ccm imeshindwa kabisa kuwahudumia watanzania.
So fara sisi kama wananchi tunafanya mambo mengi sana kuisaidia serikali mambo ambayo kimsingi yalipaswa kufanywa na serikali.
Jambo la kwanza na muhimu zaidi tunalipa kodi, tena kwa taarifa zilizopo mwezi wa november na december 2012 TRA wameweza kukusanya kodi inayofikia kiasi cha shilingi trilioni moja kwa mwezi, sas utaona kuwa fedha zipo za kuweza kuhudumia wananchi katika miradi yao ya kijamii kama maji, afya na elimu kwa kutaja chache.

Wakati sis tunalipa kodi na kujitolea kuisaidia serikali nyie wa ccm na serikali yenu mnakwiba fedha zetu na kwenda kuzificha nje ya nchi, mnatengeneza miradi feki na kila aina ya hujuma katika fedha za umma. sasa tumefika mahali tunasema hatuwezi kukaa kimya ccm wanafuja fedha zetu na huduma za kijamii zinadorora, lazima tuwalazimishe kutuhudumia kwakuwa huo ni wajibu wao.

Wananchi walijitolea kujenga shule za kata na zahanati katika kata na vijiji/mitaa, serikali ilipaswa kutoa vifaa na wataalamu lakini hadi leo hii tunafikia hatua ya 60% ya wanafuzi wanafeli mtihani wa kidato cha nne kwa sababui serikali imeshindwa kabisa kutekeleza wajibu wake, imeshindwa kuandaa na kuajiri walimu, imeshindwa kuandaa na kuajiri watumishi wa sekta ya afya na imeshindwa kabisa kuimarisha na kuwekeza katika upatikanaji wa maabara, maktaba na vifaa tiba pam oja na madawa.

Sasa inapotokea mtu unakuja hapa kuitetea serikali ya hovyo kama hii ni dhahirti kwamba wewe mwenyewe unakuwa wa hovyo pia.

sawa kabisa ccm ni hovyo kama ambavyo CDM ni Hovyo hasa katika maswala ya kuhadaa wananchi sio?? mnataka kuwaaminisha watu kwamba wanafunzi wa form 4 kufeli ni kosa la serikali pekee mkasahau kwamba hata hiyo mikutano na uhamasishaji wenu mnaoufanya kila siku uunakula na kupoteza muda wa wanafunzi kuwa mashulen badala yake wanakaa kuwaskiliza nyie.
 
sawa kabisa ccm ni hovyo kama ambavyo CDM ni Hovyo hasa katika maswala ya kuhadaa wananchi sio?? mnataka kuwaaminisha watu kwamba wanafunzi wa form 4 kufeli ni kosa la serikali pekee mkasahau kwamba hata hiyo mikutano na uhamasishaji wenu mnaoufanya kila siku uunakula na kupoteza muda wa wanafunzi kuwa mashulen badala yake wanakaa kuwaskiliza nyie.

Sorry for you!
 
sawa kabisa ccm ni hovyo kama ambavyo CDM ni Hovyo hasa katika maswala ya kuhadaa wananchi sio?? mnataka kuwaaminisha watu kwamba wanafunzi wa form 4 kufeli ni kosa la serikali pekee mkasahau kwamba hata hiyo mikutano na uhamasishaji wenu mnaoufanya kila siku uunakula na kupoteza muda wa wanafunzi kuwa mashulen badala yake wanakaa kuwaskiliza nyie.
gfsonwin hebu punguza hasira,nashauri usome maelezo ya kamanda Mwita Maranya btn lines then umpe majibu ya msingi. Kumbuka JF imekuwa ni kimbilio la watanzania wengi wanaotaka kupata majibu stahiki kwa maswali magumu,
 
Last edited by a moderator:
sawa kabisa ccm ni hovyo kama ambavyo CDM ni Hovyo hasa katika maswala ya kuhadaa wananchi sio?? mnataka kuwaaminisha watu kwamba wanafunzi wa form 4 kufeli ni kosa la serikali pekee mkasahau kwamba hata hiyo mikutano na uhamasishaji wenu mnaoufanya kila siku uunakula na kupoteza muda wa wanafunzi kuwa mashulen badala yake wanakaa kuwaskiliza nyie.
gfsonwin Hapa ndipo umeonyesha jinsi ulivyo na uelewa mdogo sana katika issues. Mimi nilianza kuhudhuria na kushiriki harakati za NCCR Mageuzi nikiwa kidato cha kwanza lakini niliweza kufaulu kwa kiwango cha daraja la kwanza katika mitihani yangu ya kidato cha nne. Sasa kwakuwa upeo wako ni mdogo sana ndio maana unajaribu kuhusianisha mikutano na maandamano ya Chadema na kufeli kwa wanafunzi waliomaliza kidato cha nne mwaka jana. Hahahaha kweli sasa nimeamini akili yako fupi sana, si ajabu watoto wetu wataendelea kufeli ikiwa viongozi tulionao ndio wa aina yako, wenye uwezo wa kuona umbali wa urefu wa pua yako tu!!!

Serikali yenu ya ccm imeshindwa kabisa kuelekeza fedha za kutosha kwa ajili ya kuweka miundombinu inayostahili katika mashule, shule za kata hazina maabara, hazina maktaba na hazina walimu wa kutosha, na hazina walimu walioandaliwa kutoa elimu bora.
Matokeo ya kidato cha nne mwaka jana ni katika kuthibitisha tu ujinga na uhovyo wa serikali yenu pamoja na ninyi mnaoiunga mkono.

Viongozi wenu wa ccm na serikali ndio wamekuwa wakiwalazimisha walimu kuwapanga barabarani wanafunzi ili wawapokee viongozi wenu wa ccm na serikali wanapokuwa na ziara maeneo mbalimbali ya nchi huku watoto wao vigogo wa ccm na serikali wakiwa wanasoma shule bora za binafsi zenye mazingira bora ya kusomea pamoja na walimu bora wanaoweza kuwafundisha.

Miaka zaidi ya 50 baada ya uhuru na chini ya uongozi wa ccm pamoja na baba yake tanu lakini bado maisha ya wananchi ikiwa ni pamoja na huduma za muhimu za kijamii kama elimu zimezidi kuporomoka sana, mnachojua kukifanya kwa ustadi mkubwa huko ccm ni wizi, ufisadi na ufujaji wa mali ya umma, kama hiyo akili mngeielekeza katika kutekeleza miradi ya maendeleo ya kijamii tungekuwa tumepiga hatua kubwa sana kimaendeleo.
 
Last edited by a moderator:
Jamani Kamanda Ben-Saanane ni Jembe,ni kichwa na LULU muhimu katika katika nchi na hasa katika siasa na uhai wa chadema!

jamani mmekosa chakujadili.hivi mumjadili kilaza,mbumbumbu,kanjanja,mnafiki na kibaraka wa mafisadi.yani kwa uelewa wa nanenane hanauwezo wa kumjadili nape.na hana hadhi ya kua hata diwani wa kijijini.anafaa kua jumbe au akida.
 
jamani na saa 8ajadiliwe.kweli tumeflisika kifikra.huyu jamaa ni kilaza na mbumbumbu.hajui hata kama anaishi kwa kupumua.hajui chochote na ndio mana slaa kamgeuza kua jumbe na akida wake.yaani hajitambui.
 
Ni nani huyo anathubutu kujilinganisha na John Mnyika!!? Nape tuambie kiwango chako cha ufaulu Secondary na Chuoni India? Mnyika I ya pt 7!!! Wapia na wapi? Mnyika ni mwandishi na reader mzuri mno hata Mataifa ya nje yalimtumia sana kusoma machapisho na mambo mengine!! Ni kipanga upstairs!! Huyu ndiye Rais wangu ajaye miaka 10 ijayo!! Penda msipende Mnyika ndiye mwenye busara ya kuwa Rais wa nchi hii baada ya Dr. Slaa!!! Mcha Mungu na mwenye hofu ya Mungu, na utashi wa kuwatumikia Watanzania.
 
gfsonwin Hapa ndipo umeonyesha jinsi ulivyo na uelewa mdogo sana katika issues. Mimi nilianza kuhudhuria na kushiriki harakati za NCCR Mageuzi nikiwa kidato cha kwanza lakini niliweza kufaulu kwa kiwango cha daraja la kwanza katika mitihani yangu ya kidato cha nne. Sasa kwakuwa upeo wako ni mdogo sana ndio maana unajaribu kuhusianisha mikutano na maandamano ya Chadema na kufeli kwa wanafunzi waliomaliza kidato cha nne mwaka jana. Hahahaha kweli sasa nimeamini akili yako fupi sana, si ajabu watoto wetu wataendelea kufeli ikiwa viongozi tulionao ndio wa aina yako, wenye uwezo wa kuona umbali wa urefu wa pua yako tu!!!

Serikali yenu ya ccm imeshindwa kabisa kuelekeza fedha za kutosha kwa ajili ya kuweka miundombinu inayostahili katika mashule, shule za kata hazina maabara, hazina maktaba na hazina walimu wa kutosha, na hazina walimu walioandaliwa kutoa elimu bora.
Matokeo ya kidato cha nne mwaka jana ni katika kuthibitisha tu ujinga na uhovyo wa serikali yenu pamoja na ninyi mnaoiunga mkono.

Viongozi wenu wa ccm na serikali ndio wamekuwa wakiwalazimisha walimu kuwapanga barabarani wanafunzi ili wawapokee viongozi wenu wa ccm na serikali wanapokuwa na ziara maeneo mbalimbali ya nchi huku watoto wao vigogo wa ccm na serikali wakiwa wanasoma shule bora za binafsi zenye mazingira bora ya kusomea pamoja na walimu bora wanaoweza kuwafundisha.

Miaka zaidi ya 50 baada ya uhuru na chini ya uongozi wa ccm pamoja na baba yake tanu lakini bado maisha ya wananchi ikiwa ni pamoja na huduma za muhimu za kijamii kama elimu zimezidi kuporomoka sana, mnachojua kukifanya kwa ustadi mkubwa huko ccm ni wizi, ufisadi na ufujaji wa mali ya umma, kama hiyo akili mngeielekeza katika kutekeleza miradi ya maendeleo ya kijamii tungekuwa tumepiga hatua kubwa sana kimaendeleo.

mwita bana sasa unataka kuniambia kwamba wanafunzi hawa mnaowashirikisha kwenye hizi siasa zenu wakakoasa masomo ni kosa la ccm na waalimu wake??

hebu fungueni akili nyie CDM muangalie swala la wadogo zenu kufeli kwamba linahitaji jitihada kutoka kwenu, mngepoteza nguvu zenu kuwahubiria kupenda kusoma na kuskiliza waalimu wao kuwa na tabia njema sidhan kama wangefika huku.

sitoshangaa mkafanya hii ndio moja ya kauli mbiu ya kapeni zenu kwamba hamuoni serikali ya cm imewafanya watoto wenu wamefeli wote?? huku mkisahau kwamba bado hamjaongeza hata nukta moja ya uwezo wa mtoto kupambanua na kuelewa masomo. na wala kelele zenu haziwez kuwafanya wafaulu manake kipimo cha mtihani ni akili na haipimwi na cdm bali na wasahihishaji mtihani.
 
gfsonwin Hapa ndipo umeonyesha jinsi ulivyo na uelewa mdogo sana katika issues. Mimi nilianza kuhudhuria na kushiriki harakati za NCCR Mageuzi nikiwa kidato cha kwanza lakini niliweza kufaulu kwa kiwango cha daraja la kwanza katika mitihani yangu ya kidato cha nne. Sasa kwakuwa upeo wako ni mdogo sana ndio maana unajaribu kuhusianisha mikutano na maandamano ya Chadema na kufeli kwa wanafunzi waliomaliza kidato cha nne mwaka jana. Hahahaha kweli sasa nimeamini akili yako fupi sana, si ajabu watoto wetu wataendelea kufeli ikiwa viongozi tulionao ndio wa aina yako, wenye uwezo wa kuona umbali wa urefu wa pua yako tu!!!

Serikali yenu ya ccm imeshindwa kabisa kuelekeza fedha za kutosha kwa ajili ya kuweka miundombinu inayostahili katika mashule, shule za kata hazina maabara, hazina maktaba na hazina walimu wa kutosha, na hazina walimu walioandaliwa kutoa elimu bora.
Matokeo ya kidato cha nne mwaka jana ni katika kuthibitisha tu ujinga na uhovyo wa serikali yenu pamoja na ninyi mnaoiunga mkono.

Viongozi wenu wa ccm na serikali ndio wamekuwa wakiwalazimisha walimu kuwapanga barabarani wanafunzi ili wawapokee viongozi wenu wa ccm na serikali wanapokuwa na ziara maeneo mbalimbali ya nchi huku watoto wao vigogo wa ccm na serikali wakiwa wanasoma shule bora za binafsi zenye mazingira bora ya kusomea pamoja na walimu bora wanaoweza kuwafundisha.

Miaka zaidi ya 50 baada ya uhuru na chini ya uongozi wa ccm pamoja na baba yake tanu lakini bado maisha ya wananchi ikiwa ni pamoja na huduma za muhimu za kijamii kama elimu zimezidi kuporomoka sana, mnachojua kukifanya kwa ustadi mkubwa huko ccm ni wizi, ufisadi na ufujaji wa mali ya umma, kama hiyo akili mngeielekeza katika kutekeleza miradi ya maendeleo ya kijamii tungekuwa tumepiga hatua kubwa sana kimaendeleo.

Mkuu Mwita Maranya hapo kwenye red umenikumbusha ni jinsi gani zile kampeni za Igunga wakati mufilisi Kafumu akigombea jinsi walivyotoa wanafunzi mashuleni!! Shame on them. Tena wenye clips waziweke hapa ili waumbuke. Nani kasema mtu akiwa Siasa atafeli? Mdogo wangu miaka ya 90 alikuwa UDSM na mambo ya Siasa ya Vyama vingi yalipoanza alikuwa NCCR mageuzi na akajihusisha sana mpaka familia tukawa na hofu atafeli. Alipomaliza tu alipiga first class ya 4.8 tena ya masomo makali ya UDSM -Engineering!! Kama wewe ni kilaza hata ulale nyumbani umeweka maji kwa karai usome utafeli tu!!! Chezea geneus wewe!! Nape ni mweupe kama karatasi kichwani, kapewa mdomo wa kupepeta tu!! Mnyika is a sword!! Kichwani makini na hata maandikoa yake ni makini sana.
Ben Saaa nane amekuwa mkweli kabisa kumlipua Nape!! CDM ina watu ambao kichwani wanazo za kutosha!! Tukianza kuwaorodhesha hapa nafasi haitoshi!!
 
saa8 hapaswi kujadiliwa hapa mana hajitambui hata kama anaishi kwa kupumua.
 
mwita bana sasa unataka kuniambia kwamba wanafunzi hawa mnaowashirikisha kwenye hizi siasa zenu wakakoasa masomo ni kosa la ccm na waalimu wake??

hebu fungueni akili nyie CDM muangalie swala la wadogo zenu kufeli kwamba linahitaji jitihada kutoka kwenu, mngepoteza nguvu zenu kuwahubiria kupenda kusoma na kuskiliza waalimu wao kuwa na tabia njema sidhan kama wangefika huku.

sitoshangaa mkafanya hii ndio moja ya kauli mbiu ya kapeni zenu kwamba hamuoni serikali ya cm imewafanya watoto wenu wamefeli wote?? huku mkisahau kwamba bado hamjaongeza hata nukta moja ya uwezo wa mtoto kupambanua na kuelewa masomo. na wala kelele zenu haziwez kuwafanya wafaulu manake kipimo cha mtihani ni akili na haipimwi na cdm bali na wasahihishaji mtihani.

Hivi hapa ndio umeandika kitu gani sasa gfsonwin?? are you out of your mind? Kuna watu huwa nawasoma wanakuita mwalimu nadhani wewe ndiye umeshiriki kikamilifu kuwafelisha kwakuwa kama mwalimu unaandika pumba kama hizi sitarajii mwanafunzi wako aambulie kitu mbele ya wasahihishaji makini.

Haya nakubaliana na wewe kwamba Chadema ndio chanzo cha wanafunzi kufeli mitihani ya kidato cha nne mwaka jana kwa kiwango hicho cha 60% kupata daraja zero. Sasa kawaambie wahariri wa magazeti yenu ya uhuru, jambaleo na habari leo waandika kurasa za mbele juu ya huu utafiti wako kwamba Chadema ndio chanzo cha kufeli kwa wanafunzi.
 
Last edited by a moderator:
Hivi hapa ndio umeandika kitu gani sasa gfsonwin?? are you out of your mind? Kuna watu huwa nawasoma wanakuita mwalimu nadhani wewe ndiye umeshiriki kikamilifu kuwafelisha kwakuwa kama mwalimu unaandika pumba kama hizi sitarajii mwanafunzi wako aambulie kitu mbele ya wasahihishaji makini.

Haya nakubaliana na wewe kwamba Chadema ndio chanzo cha wanafunzi kufeli mitihani ya kidato cha nne mwaka jana kwa kiwango hicho cha 60% kupata daraja zero. Sasa kawaambie wahariri wa magazeti yenu ya uhuru, jambaleo na habari leo waandika kurasa za mbele juu ya huu utafiti wako kwamba Chadema ndio chanzo cha kufeli kwa wanafunzi.

watu haniiti bana bali mimi ni mwl mwita maranya, nashangaa sana kuona kwamba hamkubali kuwa kelele zenu majukwaani hazimwongezei mto ufaulu hata siku moja zaid ya kumjaza jazba, na chuki nafsini.

hebu fikiria mwita kama kwakweli kampeni zenu zina tija kwa wanafunzi, wamefeli sawa je nyie mna njia gani mbadala ya kuwafanya wafaulu?? mbona sioni hizo jitihada zenu?? bora hata Mbatia alisemea mitaala nyie je?? kimsingi chama lenu ni la wahuni tu ambao hawana tija kwa maendeleo bali wana ta kwa kupiga kelele.
 
watu haniiti bana bali mimi ni mwl mwita maranya, nashangaa sana kuona kwamba hamkubali kuwa kelele zenu majukwaani hazimwongezei mto ufaulu hata siku moja zaid ya kumjaza jazba, na chuki nafsini.

hebu fikiria mwita kama kwakweli kampeni zenu zina tija kwa wanafunzi, wamefeli sawa je nyie mna njia gani mbadala ya kuwafanya wafaulu?? mbona sioni hizo jitihada zenu?? bora hata Mbatia alisemea mitaala nyie je?? kimsingi chama lenu ni la wahuni tu ambao hawana tija kwa maendeleo bali wana ta kwa kupiga kelele.
Nasikia eti walimu walifail? Je, wewe kama mwalimu ulifail kwa sababu ya mikutano ya CHADEMA? Ebu kumbuka enzi za mwalimu jinsi wanafunzi katika ngazi mbalimbali za elimu walivyoshiriki katika shughuli za kisiasa kama kuwapokea viongozi (till today) na kushiriki mikutano mbalimbali still hawakufail kwa kiwango cha miaka ya hivi karibuni ya viongozi vihiyo wa sasa wa CCM. Ni mpumbavu pekee atayekuelewa. Your argument is not only that bad complicated, but you just wrong. Pathetic!
 
watu haniiti bana bali mimi ni mwl mwita maranya, nashangaa sana kuona kwamba hamkubali kuwa kelele zenu majukwaani hazimwongezei mto ufaulu hata siku moja zaid ya kumjaza jazba, na chuki nafsini.

hebu fikiria mwita kama kwakweli kampeni zenu zina tija kwa wanafunzi, wamefeli sawa je nyie mna njia gani mbadala ya kuwafanya wafaulu?? mbona sioni hizo jitihada zenu?? bora hata Mbatia alisemea mitaala nyie je?? kimsingi chama lenu ni la wahuni tu ambao hawana tija kwa maendeleo bali wana ta kwa kupiga kelele.
Nasikia eti walimu walifail? Je, wewe kama mwalimu ulifail kwa sababu ya mikutano ya CHADEMA? Ebu kumbuka enzi za mwalimu jinsi wanafunzi katika ngazi mbalimbali za elimu walivyoshiriki katika shughuli za kisiasa kama kuwapokea viongozi (till today) na kushiriki mikutano mbalimbali still hawakufail kwa kiwango cha miaka ya hivi karibuni ya viongozi vihiyo wa sasa wa CCM. Ni mpumbavu pekee atayekuelewa. Your argument is not only that bad complicated, but you just wrong. Pathetic!es
 
Back
Top Bottom