hatari sana aiseeBinamu yangu alinunua shiling 1200 kwakilo tangu juzi amegoma kula alinunua tani 26
Mtazipika mule.....oktoba tunatiki tuMnada wa kwanza umesomwa na bei kama inavyoonekana
Asiuze sahivi.....asubiri Msimu huu uishe. Atauza bei nzuri tu baada ya miezi mitatuBinamu yangu alinunua shiling 1200 kwakilo tangu juzi amegoma kula alinunua tani 26
Kwanza kaanza kufeli kwenye ufuta alilima heka 47 na akaambulia kilo 560hatari sana aisee
upo sahihi kabisa mkuuAsiuze sahivi.....asubiri Msimu huu uishe. Atauza bei nzuri tu baada ya miezi mitatu
Mvua hazikuwa nzuri mikoa ya kusiniKwanza kaanza kufeli kwenye ufuta alilima heka 47 na akaambulia kilo 560
Dah huu mwaka mkulima anataabika sana, ekari 47 kilo 560 pigo kubwa sana kwa mkulima aiseeKwanza kaanza kufeli kwenye ufuta alilima heka 47 na akaambulia kilo 560
Nilishalimaga hizo nambo hekari tatu, nilipata kilo 97...(Uzuri nilielewa wapi nilikosea)Kwanza kaanza kufeli kwenye ufuta alilima heka 47 na akaambulia kilo 560
Hapo alichoma si chini ya 15m, mi mhanga mwenzake nililima 20 heka nikaambulia kilo 450. Nilichoma 10m.Kwanza kaanza kufeli kwenye ufuta alilima heka 47 na akaambulia kilo 560
Hatari sanaHapo alichoma si chini ya 15m, mi mhanga mwenzake nililima 20 heka nikaambulia kilo 450. Nilichoma 10m.
Nilifungulia Uzi hapa ulisema shikamoo kilimo. Mods wamepita nao.
Ulikosea wapi kiongozi?Nilishalimaga hizo nambo hekari tatu, nilipata kilo 97...(Uzuri nilielewa wapi nilikosea)
Aanze kutumia pills za BPBinamu yangu alinunua shiling 1200 kwakilo tangu juzi amegoma kula alinunua tani 26