Bei ya vyakula "Kilimanjaro Fast Food" pale Mombo si rafiki

Nadhani 7000 ni bei halali sana ukizingatia ubora na usafi wa chakula na hoteli. Kumbuka Kilimanjaro ni basi lenye ubora hivyo wewe unapochagua basi hilo unajua umechagua a high end service. Safari ni ndefu zaidi ya masaa 10 hivyo usalama wa afya yako ni muhimu.
Pia tusipende kuweka comparison ya bei za dar na mombo pengine malighafi zingine , hidden costs zipo nyingi hivyo kupeleka uongezekaji wa gharama.
Yashazoea kula vibudu kwa bei chee...mimi napapenda sana pale Kilimanjaro haswa kwa mda wao wa kula kuepusha usumbufu wa watu kula ndan ya bus,pia kujaza mizigo ndani ya bus n.k

Wale hata ukinunua machungwa yanasweka kwenye buti
 
Ukiwa njiani kuelekea Arusha-Dsm/ Dsm-Arusha .. sasa Magari Mengi yanapita Pale Hotel Mpya Ya Kilimanjaro.

Hakika Bei ya Vyakula waliyoweka Si Rafiki kabisa Kwa msafiri na nnadhani wanakomoa kwa Vile Msafiri anakua hana Option Mbadala.

COUPON YA CHIPS KUKU POTION /NYAMA FINYANGO TANO NI Tsh 7000/=

Kumbuka Kuku wanamgawa mara nne.

MISHKAKI YENYE VINYANGO NNE HAFIFU NI TSH 2000/=.

SAMBUSA/MAANDAZI NI TSH 2000/=
Utaishia kicheka ukiziona.
Imepelekea mpaka wale jamaa wanaouza matunda maeneo yale nao kua na Bei Juu .
Kamfuko ka Machungwa ni Tsh 5000/= . ...
Ipo haja ya Bei hizi kuingiliwa na mamlaka husika , wakiachiwa ipo siku tutauziwa andazi Tsh 5000/=
Na wasipolitizama Hili kwa Haraka , italeta Athari mpaka kwnye magari yanayopita pale.
087cbc8680fe2ac39dd9750bcbd15b69.jpg
Sana mkuu chai eti sh1000 kikombe wizi mtupu hotel ya kula ni ile baada ya hiyo kama unatoka korogwe au kabla ya hiyo kama unatoka mombo
 
Kabisaaaaa mkuu, binafsi sihangaikagi na vyakula vya njiani najiandaliaga mwenyewe nyumbani, tukifika sehem ya kula nitashuka kunyoosha miguu basi
hao kilimanjaro express tena hawaruhusu hata abiria kuyingia ndani ya basi na chakula chake ,wanakupeleka kwenye hotel yao na bei zake ndio hizo zilizotajwa hapo juu na vyakula vyebyewe wala si vya quality ya hoteli za kitalii ni vya kawaida sana
 
mkiambiwa gharama ya usafiri iliyopatikana hadi hivyo vitu vikafika hapo ndio mtaelewa kuwa ni haki yao kuuza hivyo,kwanza unalalamika yanini wakati safari ni mara moja moja tuu

Kuna shida gani kama itakulazimu kununua andazi kwa 5000 si nanunua tu kama hela ninayo,safari yenyewe kwa mwaka napita hapo mara mbili 1 wakat wa kwenda na 1 wakati wa kurudi ndio mpka tena mwakani..shida iko wapi?

Kama umeweza kumudu kwenda arusha kwa k/njaro basi kubaliana na bei za hotel watakayokupeleka kula otherwise beba bites zako ukifika sehemu ya kula nunua maji kula.

Ukiona pia tatizo Usipande k.njaro panda mabus mengine mengi tu yanalisha watu Korogwe pale unashuka kula changanyikeni chips za buku buku..

Mabus yapo mengi tu yasioingia kula k/njaro hotel wala pale Mombo..Panda hayo ila ukipanda k/njaro Jiandae!
 
Ukiwa njiani kuelekea Arusha-Dsm/ Dsm-Arusha .. sasa Magari Mengi yanapita Pale Hotel Mpya Ya Kilimanjaro.

Hakika Bei ya Vyakula waliyoweka Si Rafiki kabisa Kwa msafiri na nnadhani wanakomoa kwa Vile Msafiri anakua hana Option Mbadala.

COUPON YA CHIPS KUKU POTION /NYAMA FINYANGO TANO NI Tsh 7000/=

Kumbuka Kuku wanamgawa mara nne.

MISHKAKI YENYE VINYANGO NNE HAFIFU NI TSH 2000/=.

SAMBUSA/MAANDAZI NI TSH 2000/=
Utaishia kicheka ukiziona.
Imepelekea mpaka wale jamaa wanaouza matunda maeneo yale nao kua na Bei Juu .
Kamfuko ka Machungwa ni Tsh 5000/= . ...
Ipo haja ya Bei hizi kuingiliwa na mamlaka husika , wakiachiwa ipo siku tutauziwa andazi Tsh 5000/=
Na wasipolitizama Hili kwa Haraka , italeta Athari mpaka kwnye magari yanayopita pale.
087cbc8680fe2ac39dd9750bcbd15b69.jpg
Dawa yake ni kujifungashia vyakula mkifika pale hakuna kununua.
 
Suluhisho ni kuwasusia.Mimi huwa nabeba ya mayai ya kuchemsha.Namenya nakula njianj.
 
Mbona migahawa yote mizuri maeneo hayo bei ni hiyohiyo? kama vile kwa Festo na kwa Dar exp.
Huenda wewe umezoea vyakula vya elfu 3 ndio maana unaona hiyo ni kubwa. Nakushauri panda mabasi ambayo yanaingia ktk hoteli za chakula cha elfu 3 ili uridhike.
 
Watu hatujielewi tu, we usihangaike na mtu muache na vyakula vyake.
Cha kufanya ukijua unasafiri mwambie mama watoto akutayarishie dry food kama halfcakes, maandazi, kuna vidude flani wanaita vikokoto safi sana kwa safari, usisahau kununua soda yako au hata juice ya azam mango hapo mtaani kwenu maana ukinunua hoteli ya njian bei yake ni balaa.

Tutawanyoosha wauza vyakula njiani tuache kuwalea wanapandisha bei kiholea ili kupata super profit kwa kua wanajua hatuna option.

Tujipange ukienda safarini kula kwenye hotel zao acha.
umenena vema mkuu, me hua naandaa msosi (nyama iliyokaangwa ikakaushwa vizuri) pamoja na vitafunwa vyake vingine, najua 100% imetoka wap na imeandaliwa kwa mazingira gani, huko njiani bn ni juice na maji na biscuit (ambavyo vyote navisoma expire date kabla sijanunua) hapo mombo ndo navyonunuaga hivyo tu
 
Kuwa hatuna sehemu nyingine ya kula isiwe sababu ya kutupiga bei kubwa ya vyakula wakati tunasafiri. Tena nahisi walipaswa kuuza bei ya chini zaidi kuliko mtaani kwa sababu wanapelekewa wateja wengi kwa mkupuo
Kinachotokea kwenye sehemu kama hizi ni kwamba kunakuwa na mipango ya hila kati ya madereva/wamiliki wa mabasi na wamiliki wa hizi Restaurant
Cha msingi hapa ni kuangalia nyuma ya Ticket kuna contacts za Owners ni kuwatumia message na kuwaambia jinsi gani tunavyopigwa bei kubwa kwenye migahawa tunayolengeshwa na mabasi yao na kusistiza kwamba wasipobadilisha hatutosafiri tena na Mibasi yao
 
Mimi nikifika pale sipati shida naenda kwa jamaa zangu wa matunda pale nawauliza kama msosi wao ushafika,mara nyingi huwa ndio mida io io wanaletewa nazungua nyuma nagonga wali samaki safi wa 2000 nasepa.
 
Mimi nikifika pale sipati shida naenda kwa jamaa zangu wa matunda pale nawauliza kama msosi wao ushafika,mara nyingi huwa ndio mida io io wanaletewa nazungua nyuma nagonga wali samaki safi wa 2000 nasepa.
😂 😂
 
Back
Top Bottom