markbusega
JF-Expert Member
- Oct 12, 2015
- 826
- 846
Bei ya kawaida sana hiyo..wote mnaolalamika humu nyie ni wapitaji tu na sio wachaga,wachaga hatulalamikii bei ya chakula bhana sisi tunajali ubora wa chakula na usafi...unataka nile mataputapu kama hotel zenu za chato ili nisumbuliwe na tumbo la kuhara kisa nini??
Tunajali afya hata magari yanakuja kuja kaskazn ni mazuri sio kama mikweche yenu uko kanda ya ziwa (CCM).gari zetu ni daraja la juu,hatutaki ujinga ukishindwa bei beba vitumbua vyako na maji ya kiroba
Una element za ukabila tu hayo magari wanapanda wachaga tu! Narrow minded!