Hongereni Vodacom kwa Kuintrouduce ESim

Roadmap

JF-Expert Member
Aug 19, 2013
2,898
5,797
Wakuu Nichukue nafasi hii kuwapongeza Vodacom kwa kuanzisha huduma ya Esim akiwa wa Pili baada ya airtel kutangulia Miezi kadhaa iliyopita ni hatua nzuri sana, Sasa ni wakati wa tigo na Halotel kuleta hii huduma pia

Faida za Esim unaweza kuwa na Line Kumi kwenye Simu moja, Kama simu yako ni Dual utakachokuwa unafanya ni Kuswitch tu Mtando upi unaona mahala hapo coverage yake ipo Super, Mfano mimi namba yangu Kuu ni TTCL hio ndio nafanyia Mawasiliano ya Sms na calls ila linapokuja swala la Internet ntaswich mtandao wowote kutegemea na Eneo nilipo na Coverage, Faida ya Esim ni kuwa namba za mitandao yote zitakuwa kwenye Simu yani simu inaweza kuwa na Line 5 za mitandao yote, Ijapo ntaswitch Line Mbili at a time
 
Wakuu Nichukue nafasi hii kuwapongeza Vodacom kwa kuanzisha huduma ya Esim akiwa wa Pili baada ya airtel kutangulia Miezi kadhaa iliyopita ni hatua nzuri sana, Sasa ni wakati wa tigo na Halotel kuleta hii huduma pia

Faida za Esim unaweza kuwa na Line Kumi kwenye Simu moja, Kama simu yako ni Dual utakachokuwa unafanya ni Kuswitch tu Mtando upi unaona mahala hapo coverage yake ipo Super, Mfano mimi namba yangu Kuu ni TTCL hio ndio nafanyia Mawasiliano ya Sms na calls ila linapokuja swala la Internet ntaswich mtandao wowote kutegemea na Eneo nilipo na Coverage, Faida ya Esim ni kuwa namba za mitandao yote zitakuwa kwenye Simu yani simu inaweza kuwa na Line 5 za mitandao yote, Ijapo ntaswitch Line Mbili at a time
Nilidhani kuna punguzo la garama kwa watumiaji kumbe ndiyo yale yale. Garama zipo juu na hii waliokuja nayo ni kichaka kingine cha kutuumiza tu hamna jipya. Toka nisikie 4g mpaka sasa 5g sijaona chochote kile mtandao slow na wizi wizi unaweka bando dk hiyo hiyi message limeisha.
 
Wakuu Nichukue nafasi hii kuwapongeza Vodacom kwa kuanzisha huduma ya Esim akiwa wa Pili baada ya airtel kutangulia Miezi kadhaa iliyopita ni hatua nzuri sana, Sasa ni wakati wa tigo na Halotel kuleta hii huduma pia

Faida za Esim unaweza kuwa na Line Kumi kwenye Simu moja, Kama simu yako ni Dual utakachokuwa unafanya ni Kuswitch tu Mtando upi unaona mahala hapo coverage yake ipo Super, Mfano mimi namba yangu Kuu ni TTCL hio ndio nafanyia Mawasiliano ya Sms na calls ila linapokuja swala la Internet ntaswich mtandao wowote kutegemea na Eneo nilipo na Coverage, Faida ya Esim ni kuwa namba za mitandao yote zitakuwa kwenye Simu yani simu inaweza kuwa na Line 5 za mitandao yote, Ijapo ntaswitch Line Mbili at a time
Huu Uzi bado haujakaa kichwani
 
Wakuu Nichukue nafasi hii kuwapongeza Vodacom kwa kuanzisha huduma ya Esim akiwa wa Pili baada ya airtel kutangulia Miezi kadhaa iliyopita ni hatua nzuri sana, Sasa ni wakati wa tigo na Halotel kuleta hii huduma pia

Faida za Esim unaweza kuwa na Line Kumi kwenye Simu moja, Kama simu yako ni Dual utakachokuwa unafanya ni Kuswitch tu Mtando upi unaona mahala hapo coverage yake ipo Super, Mfano mimi namba yangu Kuu ni TTCL hio ndio nafanyia Mawasiliano ya Sms na calls ila linapokuja swala la Internet ntaswich mtandao wowote kutegemea na Eneo nilipo na Coverage, Faida ya Esim ni kuwa namba za mitandao yote zitakuwa kwenye Simu yani simu inaweza kuwa na Line 5 za mitandao yote, Ijapo ntaswitch Line Mbili at a time
Kwa jinsi ulivoielezea esim, ninaona haitakuwa na maajabu!
Kwanza inatumia internet, kwamba ni lazima upate internet ya mtandao unaotumia ndo uweze kuzifikia hizo line za e-sim.

Labda ni urahisi tu wa kushift kutoka line moja hadi nyingine. Lakini kama kila line ya e-sim itabidi ununue bando ndo utumie sioni kama ina maana sana, kwani nn tunakosa kwenye line hizi tunazotumia?

Labda ni kama tu ilivo telegram, we chat, fb nk? Hizi pia unapiga simu nk lakini ni mpaka uwe na internet.

Yaani hizi e-sim ukiachana na kubadilisha badilisha mitandao zina advantage gani kuliko line ya kawaida?
 
Kwa jinsi ulivoielezea esim, ninaona haitakuwa na maajabu!
Kwanza inatumia internet, kwamba ni lazima upate internet ya mtandao unaotumia ndo uweze kuzifikia hizo line za e-sim.

Labda ni urahisi tu wa kushift kutoka line moja hadi nyingine. Lakini kama kila line ya e-sim itabidi ununue bando ndo utumie sioni kama ina maana sana, kwani nn tunakosa kwenye line hizi tunazotumia?

Labda ni kama tu ilivo telegram, we chat, fb nk? Hizi pia unapiga simu nk lakini ni mpaka uwe na internet.

Yaani hizi e-sim ukiachana na kubadilisha badilisha mitandao zina advantage gani kuliko line ya kawaida?
Mimi nshawai kutumia esim kwa line ya airtel,sio lazima uwe na internet ndo uweze kuswitch line iliyounganishwa esim
 
Ila bado simu zenye uwezo wa kuwa na line tano za esim hazijatoka

Simu za sasa zina uwezo wa kuwezesha esim kwa line moja tuu.... ,yan unakuta simu imekuja na single line tuu ila ina imei mbili ,imei moja kwa ajili ya physical line ,imei ya pili kwa ajili ya line ya esim

Zikija kutoka simu zenye uwezo wa line sita itakua unyama sana

Kwa hapa tz ni airtel na voda tuu ndo wamefanikiwa kuanzisha hii technologia mpya ya esim ,mitandao mingine bado
 
Ila bado simu zenye uwezo wa kuwa na line tano za esim hazijatoka

Simu za sasa zina uwezo wa kuwezesha esim kwa line moja tuu.... ,yan unakuta simu imekuja na single line tuu ila ina imei mbili ,imei moja kwa ajili ya physical line ,imei ya pili kwa ajili ya line ya esim

Zikija kutoka simu zenye uwezo wa line sita itakua unyama sana

Kwa hapa tz ni airtel na voda tuu ndo wamefanikiwa kuanzisha hii technologia mpya ya esim ,mitandao mingine bado
Ya kwangu mm naona bado inadai iongezewe esim number nyingine 🥲
 
Simu gan hiyo
Samsung
Screenshot_20230916_220906_Call%20settings.jpg
 
Naamini kama mtu atakuwa na simu ya eSim tu ambayo haina sehemu ya kuweka Simcard itapunguza wizi wa simu labda mwizi akauze kwa mafundi simu ajili ya vifaa vilivyopo kwenye hiyo simu wazitumie kutengeneza simu zilizoharibika.
 
Back
Top Bottom