HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 69,513
- 94,958
Watu hawaelewi na hawajifunzi.
Ukiitwa kwenye fursa wewe ndo fursa.
Tujiulize kwanini MO, AZAM, Azania,Camel, Oilcom, Lake Oil, GSM, FSM, HHL, Cello
Hawaiti watu kwenye fursa na wao ndo matajiri?
Inabaki pale pale, hawawezi kukuita wakati wana neemeka, ukiitwa jua waenda lizwa
Ukiitwa kwenye fursa wewe ndo fursa.
Tujiulize kwanini MO, AZAM, Azania,Camel, Oilcom, Lake Oil, GSM, FSM, HHL, Cello
Hawaiti watu kwenye fursa na wao ndo matajiri?
Inabaki pale pale, hawawezi kukuita wakati wana neemeka, ukiitwa jua waenda lizwa