Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,785
- 28,806
PigeonpeaMbaazi kwa kizungu ni nini ?
PigeonpeaMbaazi kwa kizungu ni nini ?
aisee kwa makadilio hayo bado ni hasara, mwaka jana tuliuza mpaka kilo 300 ilikuwa hasara sanaMwaka huu natabili bei inaweza kuwa kati ya 800 hadi 400 kwa kila kilo moja ya mbaazi safi. Hapo ndio mararajio yangu mkuu
hahahaDuh! Wakati dunia inazungumzia hi-tech issues sie twazungumzia mbaazi.
Mwaka huu pia naona ndio dalili ilivyo....tujipe mda kidogo hadi tarehe moja July....wiki ijayoaisee kwa makadilio hayo bado ni hasara, mwaka jana tuliuza mpaka kilo 300 ilikuwa hasara sana
kama july itafika sh 1000 ni kheri kuuza na si kusubiri labda itapanda, august bei hushuka zaidiMwaka huu pia naona ndio dalili ilivyo....tujipe mda kidogo hadi tarehe moja July....wiki ijayo
Bei itakayoanzia ndio hiyo itakayokuwa kubwa na itadumu kwa kipindi kifupi sana....baada ya hapo itashuka sana, mwezi wa kumi na moja inaweza panda kidogo sana let say 100-200TZS increase per kilo, kutoka Kwenye hiyo bei itakayokuwepo sokoni wakati wa mauzo ya october. Elfu moja ni kubwa sana mkuu, inaweza ikaanza na 700/800 per kilo.kama july itafika sh 1000 ni kheri kuuza na si kusubiri labda itapanda, august bei hushuka zaidi
Vipi nikiwa na mbaazi miezi ya january - February, soko litakuwepo?Bei itakayoanzia ndio hiyo itakayokuwa kubwa na itadumu kwa kipindi kifupi sana....baada ya hapo itashuka sana, mwezi wa kumi na moja inaweza panda kidogo sana let say 100-200TZS increase per kilo, kutoka Kwenye hiyo bei itakayokuwepo sokoni wakati wa mauzo ya october. Elfu moja ni kubwa sana mkuu, inaweza ikaanza na 700/800 per kilo.
Ulitaka na Nyinyi mzungumzie hizo issueDuh! Wakati dunia inazungumzia hi-tech issues sie twazungumzia mbaazi.
Acha kuelekeza wajuajiMbaazi si kwaajili ya mboga tu. Mbaazi ni km unavyoona korosho, mihogo, Nazi na karanga. Wewe unadhani vile zinalimwaga nyingi na wahindi wana nunua na kusafiRisha unadhani ni kwaajili ya kula tu.? Hizo upelekwa viwandani na kuzalisha bidhaa zengine.
Hajitambui huyo achana nae jibu post za msingiMkuu kula mbaazi sio shida ya chakula, nyingi zinasafirishwa kwenda nchi za Asia na ulaya, huko nako kuna shida ya chakula?
Anayeishi kwa ushemeji utamjua tu. Hujajua kutafuta pesa.Duh! Wakati dunia inazungumzia hi-tech issues sie twazungumzia mbaazi.
Anafikiria Ndan ya box achana naeMkuu nafikiri haujaelewa huu uzi. Maana sidhani kama kuna hi-tech bila watu kula na malighafi.
Mkuu, natafuta ufuta mweupe! Kuna mtu aliyenaye uniunganishe naye?Huku mkoa wa Lindi na Mtwara tunatarajia kuvuna mbaazi nyingi sana, je kuna mtu anajua bei ya Mbaazi kwa mwakahuu? Au matarajio ya soko litakuwa vipi? Mwaka jana najua soko liliyumba kidongo lakini kwa mwaka huu sijajua uzoefu utakuwaje.
Khah! Kwa kumwambia atumie akili umemstahi! Ilitakiwa umwambie hivi, 'Acha kutumia masaburi kufikiri'...Wakati mwingine tumia akili kabla hujaposti utumbo wako humu.
Naishi kwa ushemeji? Usidhani kila mtu ni kama wewe. Shilingi naipenda na inanipenda, najua kuitafuta na haijawahi kuniangusha kijana; kuwa na heshima dogo.Anayeishi kwa ushemeji utamjua tu. Hujajua kutafuta pesa.
HahahaNaishi kwa ushemeji? Usidhani kila mtu ni kama wewe. Shilingi naipenda na inanipenda, najua kuitafuta na haijawahi kuniangusha kijana; kuwa na heshima dogo.
Mbaazi kilo buku KilomberoMwaka huu natabili bei inaweza kuwa kati ya 800 hadi 400 kwa kila kilo moja ya mbaazi safi. Hapo ndio mararajio yangu mkuu
Kiongozi, kumwita dogo nimemdharau kiheshima badala ya kumporomoshea matusi humu kama wendawazimu wengine waliotangulia. Nilishasema tangu mwanzo, kwangu kutukanwa sio issue wala matusi hayanisumbui; pili sikimbizani na mwendawazimu - kutukana unapotukanwa.Hahaha
Mkuu ulipotoka kwenye ile kauli yako kwa kifupi haikukaa sawa
Ndio maana jamaa kaona wewe sio mtafutaji nadhani hayo yalikuwa mawazo yake kulingana na kauli yako
Ila pia ni vizuri kutumia maneno mengine kwa mtu usiye mjua kuliko kuhita kijana au dogo wakati umri wake hujui
Usiangalie kajiunga mwaka gani umu hicho siyo kigezo cha kupima umri maana wengine umu ni watu wazima japo hatupo Sikh nyingi jamii forum
Nawasilisha ova
Ziko nyingi mkuu? Afu kilombero sehemu gani?Mbaazi kilo buku Kilombero
Hiyo miezi inawezekana bei ikawa sio nzuri sana...maana India ndiko walaji walipo...kama mbaazi nyingi zitatoka mwezi wa 8-12 inamaana soko la January litakuwa baya (demand ya India ndio itatueleza hapo).Vipi nikiwa na mbaazi miezi ya january - February, soko litakuwepo?
Na bei inaweza ikawaje?