Njoo tufanye biashara ya ufuta

Kaiche

Senior Member
Jan 23, 2017
141
269
Habari Wafanyabiashara ,

Kwa sasa soko la zao la Ufuta ni kubwa sana, Msimu wa mwaka jana ufuta ulinunuliwa kwa bei ya Tsh 4000 kwa kilogram moja.

Msimu huu kuna uwezekano mkubwa wa bei ya ufuta kupanda kutoka hiyo 4000 hadi 5000 hapa kati.

Zao la ufuta hulimwa zaidi mikoa ya Lindi na Mtwara, na kwa msimu huu ufuta umelimwa zaidi na maendeleo yake ni mazuri.

Kuna biashara kama 2 za ufuta, hizi ni za chomachoma, yaani unanunua kutoka kwa mkulima.

Aina ya kwanza inaitwa KULA MAUA, hii ni biashara maarufu sana ukija huku Mtwara na Lindi, hii mkulima anaenda kwa tajili anachukua pesa kwa mkataba maalumu, baadae analeta ufuta, kwasasa KULA MAUA kwa kg ni sh elf 1 hadi 1500, Mfano anachukua sh 15,000 baadae analeta kg 10 za ufuta.

Ni biashara ambayo ina faida kubwa sana, mfano ukilisha maua milion 15, utapata ufuta tani 10, Ukauza kg 3000 baadae, unapata Tsh mili 30, yaan tele kwa tele.

Sasa kwa aliye tayari kupata elimu na kufanya hii biashara, namkaribisha, Napatikana Mtwara, Masasi.
 
Habari Wafanyabiashara ,

Kwa sasa soko la zao la Ufuta ni kubwa sana, Msimu wa mwaka jana ufuta ulinunuliwa kwa bei ya Tsh 4000 kwa kilogram moja.

Msimu huu kuna uwezekano mkubwa wa bei ya ufuta kupanda kutoka hiyo 4000 hadi 5000 hapa kati.

Zao la ufuta hulimwa zaidi mikoa ya Lindi na Mtwara, na kwa msimu huu ufuta umelimwa zaidi na maendeleo yake ni mazuri.

Kuna biashara kama 2 za ufuta, hizi ni za chomachoma, yaani unanunua kutoka kwa mkulima.

Aina ya kwanza inaitwa KULA MAUA, hii ni biashara maarufu sana ukija huku Mtwara na Lindi, hii mkulima anaenda kwa tajili anachukua pesa kwa mkataba maalumu, baadae analeta ufuta, kwasasa KULA MAUA kwa kg ni sh elf 1 hadi 1500, Mfano anachukua sh 15,000 baadae analeta kg 10 za ufuta.

Ni biashara ambayo ina faida kubwa sana, mfano ukilisha maua milion 15, utapata ufuta tani 10, Ukauza kg 3000 baadae, unapata Tsh mili 30, yaan tele kwa tele.

Sasa kwa aliye tayari kupata elimu na kufanya hii biashara, namkaribisha, Napatikana Mtwara, Masasi.

Kila jema mkuu, ila mwaka huu watu wengi wameingia mashambani kulima ufuta na mvua hizi ufuta utakuwa mwingi sana mwaka huu, bei lazima ishuke, usijiaminishe sana kama ilivyokuwa kwenye korosho.
 
  • Thanks
Reactions: K11
Habari Wafanyabiashara ,

Kwa sasa soko la zao la Ufuta ni kubwa sana, Msimu wa mwaka jana ufuta ulinunuliwa kwa bei ya Tsh 4000 kwa kilogram moja.

Msimu huu kuna uwezekano mkubwa wa bei ya ufuta kupanda kutoka hiyo 4000 hadi 5000 hapa kati.

Zao la ufuta hulimwa zaidi mikoa ya Lindi na Mtwara, na kwa msimu huu ufuta umelimwa zaidi na maendeleo yake ni mazuri.

Kuna biashara kama 2 za ufuta, hizi ni za chomachoma, yaani unanunua kutoka kwa mkulima.

Aina ya kwanza inaitwa KULA MAUA, hii ni biashara maarufu sana ukija huku Mtwara na Lindi, hii mkulima anaenda kwa tajili anachukua pesa kwa mkataba maalumu, baadae analeta ufuta, kwasasa KULA MAUA kwa kg ni sh elf 1 hadi 1500, Mfano anachukua sh 15,000 baadae analeta kg 10 za ufuta.

Ni biashara ambayo ina faida kubwa sana, mfano ukilisha maua milion 15, utapata ufuta tani 10, Ukauza kg 3000 baadae, unapata Tsh mili 30, yaan tele kwa tele.

Sasa kwa aliye tayari kupata elimu na kufanya hii biashara, namkaribisha, Napatikana Mtwara, Masasi.
Habari Mkuu!
Naulizia ufuta unaanza kulimwa Mwezi wa ngapi na huchukua muda gani mpaka kukomaa. Naomba majibu tafadhali.
 
Habari Mkuu!
Naulizia ufuta unaanza kulimwa Mwezi wa ngapi na huchukua muda gani mpaka kukomaa.Naomba majibu tafadhali
Ufuta huanza kulimwa mwezi wa 11, 12, 1 na 2 lakini kuvuna ni kuanzia mwez wa 5, inategemea ni aina gani ya mbegu umelima, kwa sababu kuna mbegu ya muda mfupi na muda mrefu,

Lakini wataalam wanasema hata ukiharaka kupanda mwez wa 11 na huyu kapanda mwez wa 2, mara nyingi mtavuna pamoja.
 
Habari Wafanyabiashara ,

Kwa sasa soko la zao la Ufuta ni kubwa sana, Msimu wa mwaka jana ufuta ulinunuliwa kwa bei ya Tsh 4000 kwa kilogram moja.

Msimu huu kuna uwezekano mkubwa wa bei ya ufuta kupanda kutoka hiyo 4000 hadi 5000 hapa kati.

Zao la ufuta hulimwa zaidi mikoa ya Lindi na Mtwara, na kwa msimu huu ufuta umelimwa zaidi na maendeleo yake ni mazuri.

Kuna biashara kama 2 za ufuta, hizi ni za chomachoma, yaani unanunua kutoka kwa mkulima.

Aina ya kwanza inaitwa KULA MAUA, hii ni biashara maarufu sana ukija huku Mtwara na Lindi, hii mkulima anaenda kwa tajili anachukua pesa kwa mkataba maalumu, baadae analeta ufuta, kwasasa KULA MAUA kwa kg ni sh elf 1 hadi 1500, Mfano anachukua sh 15,000 baadae analeta kg 10 za ufuta.

Ni biashara ambayo ina faida kubwa sana, mfano ukilisha maua milion 15, utapata ufuta tani 10, Ukauza kg 3000 baadae, unapata Tsh mili 30, yaan tele kwa tele.

Sasa kwa aliye tayari kupata elimu na kufanya hii biashara, namkaribisha, Napatikana Mtwara, Masasi.
Mkuu unajua changamoto za "KULA MAUA"?.

Unaweza toa milioni 15 kwa makadirio ya kuletewa tani 15 wakulima wakivuna, ila mwisho wa siku utapewa na hao wakulima ikizidi sana labda tani 5.

Bora ungeshauri mtu aje kununua kwa njia ya chomachoma wakianza kuvuna, hii inaitwa nipe nikupe, hivyo haina kudhulumiana fedha wala mzigo.

Hiyo njia ya kula maua ilihali mtu hajaenda hata kulima inawafaa wazawa tena wale makatiri wa kiwango cha juu, hao kidogo kati ya tani 15 alizolipia mzigo anaweza letewa tani 10-12.

Changamoto nyingine ya haya mazao ya STAKABADHI GHARANI bei mnapangiwa siku ya mnada, inawezekana mwaka jana bei ilikiwa Tsh 3800/= ila mwaka huu matajiri wakanunua kwa Tshs 2300/= kwa kilo moja.

Binafsi ninawashauri wenye uhitaji wa kufanya biashara hiyo ya ufuta, waje kipindi cha uvunaji ili wapate mzigo moja kwa moja kuliko hiyo ya ku-bet mwisho wa siku unaishia kuumia nafasi.
 
Habari Wafanyabiashara ,

Kwa sasa soko la zao la Ufuta ni kubwa sana, Msimu wa mwaka jana ufuta ulinunuliwa kwa bei ya Tsh 4000 kwa kilogram moja.

Msimu huu kuna uwezekano mkubwa wa bei ya ufuta kupanda kutoka hiyo 4000 hadi 5000 hapa kati.

Zao la ufuta hulimwa zaidi mikoa ya Lindi na Mtwara, na kwa msimu huu ufuta umelimwa zaidi na maendeleo yake ni mazuri.

Kuna biashara kama 2 za ufuta, hizi ni za chomachoma, yaani unanunua kutoka kwa mkulima.

Aina ya kwanza inaitwa KULA MAUA, hii ni biashara maarufu sana ukija huku Mtwara na Lindi, hii mkulima anaenda kwa tajili anachukua pesa kwa mkataba maalumu, baadae analeta ufuta, kwasasa KULA MAUA kwa kg ni sh elf 1 hadi 1500, Mfano anachukua sh 15,000 baadae analeta kg 10 za ufuta.

Ni biashara ambayo ina faida kubwa sana, mfano ukilisha maua milion 15, utapata ufuta tani 10, Ukauza kg 3000 baadae, unapata Tsh mili 30, yaan tele kwa tele.

Sasa kwa aliye tayari kupata elimu na kufanya hii biashara, namkaribisha, Napatikana Mtwara, Masasi.
Kaka hao matajiri hutumia vigezo gani kutoa huo mkopo?
 
Kila jema mkuu, ila mwaka huu watu wengi wameingia mashambani kulima ufuta na mvua hizi ufuta utakuwa mwingi sana mwaka huu, bei lazima ishuke, usijiaminishe sana kama ilivyokuwa kwenye korosho.
Unaposema mwaka huu watu wengi wamelima ufuta hizo takwimu umezitoa wapi?endelea kubashiri tu
 
Mwaka huu ufuta utakuwa mchache sababu mvua zimekuwa nyingi hivyo ufuta mwingi umefukiwa na maji mashambani
 
Ufuta huanza kulimwa mwezi wa 11, 12, 1 na 2 lakini kuvuna ni kuanzia mwez wa 5, inategemea ni aina gani ya mbegu umelima, kwa sababu kuna mbegu ya muda mfupi na muda mrefu,

Lakini wataalam wanasema hata ukiharaka kupanda mwez wa 11 na huyu kapanda mwez wa 2, mara nyingi mtavuna pamoja.
Sawa Mkuu, shukrani
 
Mkuu unajua changamoto za "KULA MAUA"?.

Unaweza toa milioni 15 kwa makadirio ya kuletewa tani 15 wakulima wakivuna, ila mwisho wa siku utapewa na hao wakulima ikizidi sana labda tani 5.

Bora ungeshauri mtu aje kununua kwa njia ya chomachoma wakianza kuvuna, hii inaitwa nipe nikupe, hivyo haina kudhulumiana fedha wala mzigo.

Hiyo njia ya kula maua ilihali mtu hajaenda hata kulima inawafaa wazawa tena wale makatiri wa kiwango cha juu, hao kidogo kati ya tani 15 alizolipia mzigo anaweza letewa tani 10-12.

Changamoto nyingine ya haya mazao ya STAKABADHI GHARANI bei mnapangiwa siku ya mnada, inawezekana mwaka jana bei ilikiwa Tsh 3800/= ila mwaka huu matajiri wakanunua kwa Tshs 2300/= kwa kilo moja.

Binafsi ninawashauri wenye uhitaji wa kufanya biashara hiyo ya ufuta, waje kipindi cha uvunaji ili wapate mzigo moja kwa moja kuliko hiyo ya ku-bet mwisho wa siku unaishia kuumia nafasi.
Ushauri mzuri sana.
 
  • Thanks
Reactions: K11
Kula maua kama mgeni sikushauri uende,, wakulima majeuri sana kipind hich anashida na dawa za kupuliza shamban anakuja kukulilia ila akivuna akiskia bei elf 3 anawaza akupe ww kg 100 kisa ulimpa 150k anakukwepa kwa visingizio ving atakuambia sijapata mwaka huu zaid ya kg 10 tu ila wenyew kwa wenyw wanaonana mashamban ngumu kukwepana, halaf pia mwaka huu pamoja na kuwa wamelima weng ila serikal imewapa dawa za bure sasa hilo ni tatz hakuna kitu cha bure nchi hii waulize wazee wa korosho wanalia kila mwaka ila ttz ni zile dawa wanazopewa makato yake makubwa na hawaambiwi inakatwa juu kwaju wanaambuli 1900 tu kwa kg 1 sasa na waufuta mwaka huu wajipange kisaikolojia wasitarajie bei ya mwaka jana, mwaka jana hawakupata dawa
 
Back
Top Bottom