Bei ya Mahindi haishikiki sokoni

Bei ya Mahindi haishikiki sokoni

Peter Mwaihola

JF-Expert Member
Joined
Jun 23, 2022
Posts
289
Reaction score
489
Wakati wananchi wa Tanzania wakilalamika kupanda kwa bei za nafaka sokoni hasa bei ya mahindi hali hiyo imekuwa gumzo zaidi nchini Malawi.

Kwa mujibu wa bei elekezi iliyotolewa na wizara ya kilimo ya nchini Malawi kilo moja ya mahindi inauzwa kwa kwacha 1050 ambayo ni sawa na Tsh 1600 bei imepanda mara dufu ikilinganishwa na mwaka jana ambapo kilo moja iliuzwa kwa Kwacha 660.

Je eneo ulilopo unanunua mahindi kwa bei gani?

Nifollow Peter Mwaihola
Photo_1744098652964.png
 
Wakati wananchi wa Tanzania wakilalamika kupanda kwa bei za nafaka sokoni hasa bei ya mahindi hali hiyo imekuwa gumzo zaidi nchini Malawi.

Kwa mujibu wa bei elekezi iliyotolewa na wizara ya kilimo ya nchini Malawi kilo moja ya mahindi inauzwa kwa kwacha 1050 ambayo ni sawa na Tsh 1600 bei imepanda mara dufu ikilinganishwa na mwaka jana ambapo kilo moja iliuzwa kwa Kwacha 660.

Je eneo ulilopo unanunua mahindi kwa bei gani?

Nifollow Peter MwaiholaView attachment 3296767
mchele bongo 3600 twafa
 
Wakati wananchi wa Tanzania wakilalamika kupanda kwa bei za nafaka sokoni hasa bei ya mahindi hali hiyo imekuwa gumzo zaidi nchini Malawi.

Kwa mujibu wa bei elekezi iliyotolewa na wizara ya kilimo ya nchini Malawi kilo moja ya mahindi inauzwa kwa kwacha 1050 ambayo ni sawa na Tsh 1600 bei imepanda mara dufu ikilinganishwa na mwaka jana ambapo kilo moja iliuzwa kwa Kwacha 660.

Je eneo ulilopo unanunua mahindi kwa bei gani?

Nifollow Peter MwaiholaView attachment 3296767
Mbona Kwingine hakuna Bei
 
Inategemea upo soko lipi... mahindi hata kwa 800 kwa kg unapata ba mchele kwa 2500 unapata.

Mvua zimeitika sehemu nyingi, na bei naona kama itaanza kushuka sehemu nyingi
Mvua ikinyesha lazima yapande namana hatuna uwezo wa kutunza asilimia 80 ya wakulima mazao yakiiva yanauzwa kuziba pengo mengine kufanyia shughuli nyingine
 
Mvua ikinyesha lazima yapande namana hatuna uwezo wa kutunza asilimia 80 ya wakulima mazao yakiiva yanauzwa kuziba pengo mengine kufanyia shughuli nyingine
Kwa saikolojia ya wakulima ikinyesha vizuri maana yake uhakika wa kuvuna unakuwa mkubwa hivo, wanatoa stocks walizokuwa nazo na kuziuza, kitu kinachosababisha kuongeza supply na bei kushuka
 
Inategemea upo soko lipi... mahindi hata kwa 800 kwa kg unapata ba mchele kwa 2500 unapata.

Mvua zimeitika sehemu nyingi, na bei naona kama itaanza kushuka sehemu nyingi
Mvua ziitike wakati msimu wa Kilimo ulishapita! Hali ni mbaya sana hasa kanda ya ziwa
 
Back
Top Bottom