Congo
JF-Expert Member
- Mar 13, 2008
- 2,062
- 2,288
Habari za sasa hivi za CNN ni hizi "BREAKING NEWS: Oil dips below $50 a barrel on New York exchange for the first time since reaching record high of $147 in July"
Tatizo kubwa ninaloliona ni EWURA kutokuwa makini au kuna mikono michafu intembea pale ili kutuumiza. Na wala sio kodI, kwa sababu kodi inatozwa kulingana na mwingizaji alivyotoa taaria zake TRA wakati anaingiza mafuta au bidhaa yoyote. Kodi itakuwa kubwa kama bei ya mafuta itakuwa kubwa lakini jinsi mafuta yanavyopungua bei kodi pia inapungua. Ukiondoa "Kodi ya barabara" ambayo ni fixed, kodi ya kuingiza bidhaa "import duty" na kodi ya ongezeko la dhamani "VAT" inatozwa kwa asilimia ya bei ya mafuta wakati wa kuingia. NIjuavyo nchi hii haina matanki yanaweza kutunza mafuta hata kwa mwezi mmoja tu. Ndio maana meli ikichelewa kufika au kuingia bandarini waizaji wa mafuta huhaha.
Na kama kawaida haiwezekani mwingizaji wa mafuta akatoa taarifa TRa za bei yake ya mafuta kuwa kubwa ili aendelee kuuza mafuta akisingizia kodi kubwa. EWURA ingeangalia waingizaji wa mafuta wanatoa taarifa gani TRA na kuzifanyia kazi ingekuwa rahisi kuwabana. Lakini nina mashaka kuna mikono michafu intembea ingawa siamini kama na BP pia wanaweza kuhusika na uchafu huo.
Tatizo kubwa ninaloliona ni EWURA kutokuwa makini au kuna mikono michafu intembea pale ili kutuumiza. Na wala sio kodI, kwa sababu kodi inatozwa kulingana na mwingizaji alivyotoa taaria zake TRA wakati anaingiza mafuta au bidhaa yoyote. Kodi itakuwa kubwa kama bei ya mafuta itakuwa kubwa lakini jinsi mafuta yanavyopungua bei kodi pia inapungua. Ukiondoa "Kodi ya barabara" ambayo ni fixed, kodi ya kuingiza bidhaa "import duty" na kodi ya ongezeko la dhamani "VAT" inatozwa kwa asilimia ya bei ya mafuta wakati wa kuingia. NIjuavyo nchi hii haina matanki yanaweza kutunza mafuta hata kwa mwezi mmoja tu. Ndio maana meli ikichelewa kufika au kuingia bandarini waizaji wa mafuta huhaha.
Na kama kawaida haiwezekani mwingizaji wa mafuta akatoa taarifa TRa za bei yake ya mafuta kuwa kubwa ili aendelee kuuza mafuta akisingizia kodi kubwa. EWURA ingeangalia waingizaji wa mafuta wanatoa taarifa gani TRA na kuzifanyia kazi ingekuwa rahisi kuwabana. Lakini nina mashaka kuna mikono michafu intembea ingawa siamini kama na BP pia wanaweza kuhusika na uchafu huo.