Barabara ya Dar hadi Msata Vituo vyote leo vina Petrol na Diesel tofauti na jana 80% ya Vituo havikuwa na Mafuta!

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,972
141,984
Jana jioni natoka Dar kuja Msata Vituo vingi sana vilikuwa havina Diesel wala Petrol

Leo asubuhi Vituo Vyote vinasoma Mafuta yapo na bei ya Mkoa wa Tanga

Ndio nashangaa haya Mafuta yameshusbwa Usiku wa manane?

Kidumu Chama cha Mapinduzi!
 
Back
Top Bottom