M-pesa
JF-Expert Member
- Sep 4, 2011
- 602
- 151
Wana jamvi nina malizia baadhi ya vyumba! Nimepita kariakoo nikiwa na haraka nikaambiwa bei ya bidhaa ni kama ifuatavyo:-
1) Ceiling board ya south africa = Tshs. 15,000 kenya = Tshs 14,500 Tanzania Tshs. 14,500
2) Chokaa nyeupe (25 Kg) = Tshs.9,OOO
Je, hizi bei ziko sawa au jamaa walitaka kunilangua? Wapi nitapata kwa bei nzuri?
1) Ceiling board ya south africa = Tshs. 15,000 kenya = Tshs 14,500 Tanzania Tshs. 14,500
2) Chokaa nyeupe (25 Kg) = Tshs.9,OOO
Je, hizi bei ziko sawa au jamaa walitaka kunilangua? Wapi nitapata kwa bei nzuri?