Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,261
- 34,220
Habari wadau!
Utani utani bitcoin sasa imefikia bei ya juu zaidi kuwahi kuonekana tokea imeanza mwaka 2009!
Kwa sasa bitcoin moja ni USD 66,000 sawa na TZS 153 milion!
Najaribu kuwaza kama mtu alinunua walau Bitcoin 20 tu kipindi imeanza au miaka ya 2010 mpaka 2013 leo atakuaje?
Mfano mtu aliyenunua hisa za 1mil za CRDB au NMB au kampuni yeyote hapa Tz miaka ya 2010 mpaka 2014 hiyo pesa angenunua bitcoin au etherium leo angekua wapi?
Dunia inaenda kasi sana!
Utani utani bitcoin sasa imefikia bei ya juu zaidi kuwahi kuonekana tokea imeanza mwaka 2009!
Kwa sasa bitcoin moja ni USD 66,000 sawa na TZS 153 milion!
Najaribu kuwaza kama mtu alinunua walau Bitcoin 20 tu kipindi imeanza au miaka ya 2010 mpaka 2013 leo atakuaje?
Mfano mtu aliyenunua hisa za 1mil za CRDB au NMB au kampuni yeyote hapa Tz miaka ya 2010 mpaka 2014 hiyo pesa angenunua bitcoin au etherium leo angekua wapi?
Dunia inaenda kasi sana!