mud-oil-chafu
JF-Expert Member
- Dec 27, 2020
- 588
- 950
Ok ko inaanza na hatua ipi ili kununua japo nucta kadhaa za hiyo bitcoinSawa.
Ok ko inaanza na hatua ipi ili kununua japo nucta kadhaa za hiyo bitcoinSawa.
Kama kweli alitumia hzo wallet umekula kwake Ila kwa wallet ambazo hazina hzo phase anapata coin zake kikubwa akumbke baadhi ya vielelevyo alivyovitumia wakat anafungua accountSi kweli, kama alitumia cold wallet imekula kwake. Na kesi kama hizi ziko nyingi duniani. Maana by that time hamna mtu alichukulia serious bitcoin
Sawa samakinchangaMotivation speakers at work
Kwa hiyo Akon, Elon Musk maskini?!S F
SI furahii kuwa nyuma ... Ila shida ukipigwa na wahuni huko huna kwa kwenda .. Kama mnahisi hizi ni pesa rahsi basi matajiri na wafanyabiashara wangeingia huku...
Wew binafsi unashingap hukoKwa hiyo Akon, Elon Musk maskini?!
You are asking the wrong question. Ningekua ni wewe ningeuliza "nitumie njia gani kujua coin zenye future nzuri..?"Nahitaji ushaur tu Ni coin ipo Ni hold Kati ya hiz
Safemoon
Cardona
Dogecoin
Stellar
Kumbka nahitaji moja tu Kati ya hzo ushaur tu anayeweza kunichambulia vizur nataka kununua za dollar 180$
Mkuu hujakosea Ni pia so mbaya naomba ushaur wakoYou are asking the wrong question. Ningekua ni wewe ningeuliza "nitumie njia gani kujua coin zenye future nzuri..?"
Habari wadau!
Utani utani bitcoin sasa imefikia bei ya juu zaidi kuwahi kuonekana tokea imeanza mwaka 2009!
Kwa sasa bitcoin moja ni USD 66,000 sawa na TZS 153 milion!
Najaribu kuwaza kama mtu alinunua walau Bitcoin 20 tu kipindi imeanza au miaka ya 2010 mpaka 2013 leo atakuaje?
Mfano mtu aliyenunua hisa za 1mil za CRDB au NMB au kampuni yeyote hapa Tz miaka ya 2010 mpaka 2014 hiyo pesa angenunua bitcoin au etherium leo angekua wapi?
Dunia inaenda kasi sana!
Kupigwa ndiyo ukubwa, scared money don't make money.S F
SI furahii kuwa nyuma ... Ila shida ukipigwa na wahuni huko huna kwa kwenda .. Kama mnahisi hizi ni pesa rahsi basi matajiri na wafanyabiashara wangeingia huku...
More than three yearsNahitaji ushaur tu Ni coin ipo Ni hold Kati ya hiz
Safemoon
Cardona
Dogecoin
Stellar
Kumbka nahitaji moja tu Kati ya hzo ushaur tu anayeweza kunichambulia vizur nataka kununua za dollar 180$
Nipo tayar kumuelekeza mkuu bure kabsaaaaWanao toa taarifa hizi ni Watanzania wema ambao wako tayari kusaidia Watz wenzao,Mi niko tayari kuwekeza ambaye yupo tiyari kunisaidia kujua hii biashara naomba tuwasiliane moja kwa moja tuonane uso kwa uso,najua ipo siku nitakushuru nifanikiwapo, wengine humu tunakatishana tamaa.
Sent from my TECNO B1g using JamiiForums mobile app
Wewe una shilling ngapi NMB?Wew binafsi unashingap huko
7000Wewe una shilling ngapi NMB?
MATAGA7000
Chupi chafu matakoni .. abbreviationMATAGA
Na hasa watanzania wengi wanaamin kila kitu Ni wizi mm nimeijua btc ikiwa dollar 9000/ lakin Hadi naandika ujumbe nimenunua coin nying Sana about 10milion Aina tofaut tofauti