KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 26,215
- 56,855
Wallet gani unatumia na ni yakuaminika sio unatumia wallet baada ya miaka miwili tu inafungwa..đŸ˜‚Na wengi ndio wana mawazo haya! Siku ukizinduka gari limekuacha!
Wallet gani unatumia na ni yakuaminika sio unatumia wallet baada ya miaka miwili tu inafungwa..đŸ˜‚Na wengi ndio wana mawazo haya! Siku ukizinduka gari limekuacha!
Ko ulipigwa huko unaanzia wapi?Ni taifa gani limekataa mkuu? Unafwatiliaga hotuba za Mama samia kweli?
SI furahii kuwa nyuma ... Ila shida ukipigwa na wahuni huko huna kwa kwenda .. Kama mnahisi hizi ni pesa rahsi basi matajiri na wafanyabiashara wangeingia huku...Yani unafurahia kuwa nyuma daaah!!
Kinacho uma zaidi ni watu wenye mawazo kama yako wamejazana kwenye ofisi nyingi za serikali. Wengine ukiwaambia watumie hata email kutuma ujumbe wanaona unawaibia.
China.Ni taifa gani limekataa mkuu? Unafwatiliaga hotuba za Mama samia kweli?
Mm nilizungumzia shiling maana tunaochat hapa Ni watz na Kama ungelikuwa dollar ningeandika 0.1$ but all in all nilitaka kumaanisha hvyo mkuuKwenye global markets huwa hatutumii Tsh mara nyingi tunatumia USD.
Nimeliza swali hujajibu.Ko ulipigwa huko unaanzia wapi?
Hatuishi China, hapa ni Tanzania. Jibu swali.China.
China regulators to ban crypto trading and speculation
Chinese authorities have banned all virtual currency trading and speculation.www.pinsentmasons.com
Hata Tanzania inafaa kuiga China.This is why China finally killed its bitcoin boom
Chinese authorities have tried to ban cryptocurrencies many times before. This time, it’s differentwww.wired.co.uk
Ni kujipumbaza kuhamasisha aina ya shughuli kama hii Kwa TZ, ni swala la kukemea.Hatuishi China, hapa ni Tanzania. Jibu swali.
Unajua samia kasema nini kuhusu cryptocurrencies?
Kama Ni swala la kusahau paswadi hzo zipo salama unaomba kurest paswadNilinunuaga bitcoin kadhaa mwaka 2012 tatizo nimeshasahau password
Yani sawa una gari lakini huna ufunguo. Hutaliendesha mpaka upaka upate ufunguo.Nilinunuaga bitcoin kadhaa mwaka 2012 tatizo nimeshasahau password
Sawa.Ni kujipumbaza kuhamasisha aina ya shughuli kama hii Kwa TZ, ni swala la kukemea.
Usiponde ununuzi wa hisa kwa sababu kuna kanuni za kununua hisa ili uwe milionea pia.Hisa hazinunuliwi kwa hisia.Unanunua hisa tu pale unapo-spot institutional accumulations.Habari wadau!
Utani utani bitcoin sasa imefikia bei ya juu zaidi kuwahi kuonekana tokea imeanza mwaka 2009!
Kwa sasa bitcoin moja ni USD 66,000 sawa na TZS 153 milion!
Najaribu kuwaza kama mtu alinunua walau Bitcoin 20 tu kipindi imeanza au miaka ya 2010 mpaka 2013 leo atakuaje?
Mfano mtu aliyenunua hisa za 1mil za CRDB au NMB au kampuni yeyote hapa Tz miaka ya 2010 mpaka 2014 hiyo pesa angenunua bitcoin au etherium leo angekua wapi?
Dunia inaenda kasi sana!
Usiponde ununuzi wa hisa kwa sababu kuna kanuni za kununua hisa ili uwe milionea pia.Hisa hazinunuliwi kwa hisia.Unanunua hisa tu pale unapo-spot institutional accumulations.
Mimi najua kanuni za kutrade karibia financial markets zote kama vile bonds,indices,stocks,commodities na currency lakini huwa sijui chochote kuhusu bitcoin.Hivi mkuu bitcoin huwa zinanunuliwa tu kwa kubahatisha au huwa kuna kanuni zake pia?
Hamna njia ya kutekenya waya?Yani sawa una gari lakini huna ufunguo. Hutaliendesha mpaka upaka upate ufunguo.
Kama ulitumia hizi walet za online zenye 12 words au cold wallets jibu ni kwamba kama ulipoteza seed phrase au password HUPATI KITU.Hamna njia ya kutekenya waya?
How and why?. What is the difference between the stock market and crypto currency market?. For me I see all based in speculation. What drive gold and silver to rise and fall?Hu nao ukichaa kama mwingine,Pesa ifanye kazi yake ya ku exchange good and services.Hizi speculations kwenye fedha ni ukichaa (easy money),yani Pesa haitengenezi value yoyote.
Trust me! Great economic depression inayofuata itatokana na haya makitu
Niliiona .. na ilijibiwa kwamba hawawezi kuunganisha mfumo huo kiserikali kwa sabab hawana watu wenye utaalam kuisimamiaNimeliza swali hujajibu.
Unafwatilia hotuba za samia? Je unajua katoa maelekezo gani kwa BoT kuhusu cryptocurrencies?
Unasema ukipigwa, upigwe na nani?
Tafadhali jibu maswali yote.
Niliiona .. na ilijibiwa kwamba hawawezi kuunganisha mfumo huo kiserikali kwa sabab hawana watu wenye utaalam kuisimamia