Behind the scenes - Obama na Rizwan Kikwete

Behind the scenes - Obama na Rizwan Kikwete

safi sana riz, kijana nyota inakuwakia mapema asubuhi, wenye roho mbaya washaanza kuchonga
Endelea kijana maana naona spidi yako sio mbaya kama mwezi bado umepost namna hii kwa mwaka utakuwa na kiasi chakutosha Buku 7@post....
. Member Array

Join Date : 1st July 2013
Posts : 13

Rep Power : 304
Likes Received 2
 
Nchi imesha huzwa jamani so nilazima watambulishane ili asije uguza picha mbele ya safari
 
Marekani wakimkamata uyu dogo na unga sio kama china, hawatakumbuka kuwa ni mtoto wa kikwete.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
alishasafishwa huyu na fbi, rais wa marekani hawezi kupiga picha na mhalifu, acha majungu! hukusikia wa kupeana nae mikono walikuwa wanachujwa?
 
obama-tanzania.jpg

Mke wa Raisi Obama Michelle alipata nafasi ya kutembelea ofisi ya Mwenyeji wake Mke wa Raisi Kikwete Mama Salma ...(WAMA)
613x.jpg

613x.jpg


Obama na Bush uso kwa uso
Kwa pamoja watembelea makaburi ya wahanga wa mlipuko wa bomu uliotokea mnamo 2/07/
2013,​
katika ubalozi wa Marekani
Dar Es Salaam, Tanzania​


51d332f91d2be.preview-620.jpg


51d3330151b3f.image.jpg

article-2352491-1A9B61A8000005DC-171_634x438.jpg


921-Xy29j.SlMa.55.jpeg

Walipata wasaa wa kusalimiana na wahanga waliopoteza ndugu zao kwenye mlipuko wa bomu huo
51d33302949b0.image.jpg

Alipata muda maalumu na waandishi wa habari

Picha ya mwisho sio waandishi wa habari hao ni ndugu wa waliouawa na mabomu yaliyopigwa katika ubalozi wa marekani
 
hakuna kiongozi wa kiafrika atakaye fanikiwa bila msaada wa usa na marafiki zake.....ni ukweli unaotia uchungu......tumejiwekea wenyewe....
 
Duh. mawaziri kibao walitoswa lakini dogo akapewa shavu. Naona CDM na CCM wamegeuza thread ya malumbano sasa.
 
safi sana riz, kijana nyota inakuwakia mapema asubuhi, wenye roho mbaya washaanza kuchonga

Ni kweli aisee hata mimi nakubali huyu dogo nyota inang'aa kweli kweli cause isingekua inang'aa angeshapigwa kitanzi China
 
Obama, "Nikikuona unaongea na binti zangu utakula shaba za ma.ta.ko"

Obama, "What do you do?"
Riz, "I am a lawyer"
Obama, "Prosecutor or defense?"
Riz, "I don't know."
Obama, "OK. How many cases have you prosecuted?"
Riz, "Zero"
Obama, "How many cases have you defended?"
Riz, "Zero"
Obama, "How the h.e.l.l can you be a lawyer?"
Riz, "Because Dr Dr Dr Dr my dad say so"
Obama, "Your dad must be cool!"
Riz, "Yes, he travels all over the world."
 
safi sana riz, kijana nyota inakuwakia mapema asubuhi, wenye roho mbaya washaanza kuchonga

watu wengine bana cjui wanatumia nini kufikiri!kusalimiana na obama inausiana nini nyota kuwaka..mbona kitu cha kawaida sanaa.
 
Mh JK " Mr. President this is my son, Ridhiwani, he is attorney like you Mr. President. Obama " How are you Riz1? what kind of law are you practicing? Mh Riz1 "I am fine thank you Mr. President, I am a defense attorney,
 
Alafu huyo muhuni mbona hajafunga vifungo vya koti

Hivi hakunaga hata watu wanaowafundisha uvaaji?
 
Kama JK alimtambulisha Riz kwa Barack Obama kweli mzee kachemsha, hii sio Kingdom of Tanzania.
 
ipo siku ridhiwan ataongoza nchi hii. 2015 atagombea ubunge. 2025 urais
 
Back
Top Bottom