Behind the scenes - Obama na Rizwan Kikwete

Behind the scenes - Obama na Rizwan Kikwete

Viswahili uavijua....ukifika tuu ndio utaona viwatu vya ajabuajabu vinatokea na kutambulishwa hovyo hovyo...
 
Obama kauliza ndio Huyu aliekamatwa china?

China alikamatwa kwa kosa gani, je alishtakiwa? je yuko nje kwa dhamana au amemaliza kifugo au alilipa faini?. Samahani, "aliyekamatwa" ni kama nilivyoelewa au ina maana nyingine?
 
Yes sir,my name is Riz,you are welcome home.i know you.i used to see you in our tv, the cnn channel,you look beautif...aah we Riz,haya tayari nishakutambulisha nenda kakae!mr O:"i see mr J,don't you have "tall"people like Hasheem in your country?,because mr Nkapa,Mwinye,you,Maembe,and now your son...!
 
I would have done the same. Mbona obama alikuja na wake?
 
China alikamatwa kwa kosa gani, je alishtakiwa? je yuko nje kwa dhamana au amemaliza kifugo au alilipa faini?. Samahani, "aliyekamatwa" ni kama nilivyoelewa au ina maana nyingine?

mkuu humu humu jf kuna uzi wa hiyo issue kwa hiyo fuatilia
 
Back
Top Bottom