King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 60,419
- 88,749
Wa tz hatuna akili yani riz1 kawarubuni wakwele wa uwt ili apewe chance ya kupiga pix na obama.
Obama kauliza ndio Huyu aliekamatwa china?
![]()
Mke wa Raisi Obama Michelle alipata nafasi ya kutembelea ofisi ya Mwenyeji wake Mke wa Raisi Kikwete Mama Salma ...(WAMA)
![]()
![]()
Obama na Bush uso kwa uso
Kwa pamoja watembelea makaburi ya wahanga wa mlipuko wa bomu uliotokea mnamo 2/07/2013,katika ubalozi wa MarekaniDar Es Salaam, Tanzania
![]()
![]()
![]()
![]()
Walipata wasaa wa kusalimiana na wahanga waliopoteza ndugu zao kwenye mlipuko wa bomu huo
![]()
Alipata muda maalumu na waandishi wa habari
Obama kauliza ndio Huyu aliekamatwa china?
he knows pretty well!!Remember what Obama said on corruptions,kupeana kazi na Biashara kwa watoto wa wakubwa on his speech pale Ikulu nam-quote "No one should have to pay a bribe to start a business or ship their goods. You shouldn't have to hire somebody's cousin who doesn't come to work just to get your business done.Trade will flow where rules are predictable and investment is protected." So Obama knows those dirt games played by these Africa leaders.
Obama kauliza ndio Huyu aliekamatwa china?
Obama kauliza ndio Huyu aliekamatwa china?
Mkuu mbavu sinaaaaaaaaa!Umetishaaaaaaa kinomaaaaaaaa!Body language ya Obama ni kama kweli anauliza!Obama kauliza ndio Huyu aliekamatwa china?
ivi ingekuwa slaa angemtambulisha mtoto yupi
ivi ingekuwa slaa angemtambulisha mtoto yupi
ivi ingekuwa slaa angemtambulisha mtoto yupi
ivi ingekuwa slaa angemtambulisha mtoto yupi
Obama kauliza ndio Huyu aliekamatwa china?
ivi ingekuwa slaa angemtambulisha mtoto yupi