Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,216
- 113,510
Mimi Nyani Floribert Nzagamba wa Ngabu, napenda kuchukua fursa hii kuutangazia umma wa Jamiiforums kuwa sina beef wala ugomvi na yule bilionea wa Kihaya, Bishanga Biakabutuka wa Abashaija.
Kama niliwahi kumkwaza hapo awali basi naomba aniwie radhi. Watu wa pwani husema wagombanao ndiyo wapatanao.
Bishanga ndiyo mshindi nami nimekubali kushindwa kwani asiyekubali kushindwa huyo huwa si mshindani. Kwa hiyo, kutoka kwenye kilindi cha moyo wangu na kwa moyo mkunjufu kabisa nasema hongera bwana Bishanga. Beef sasa kushi nehi.
Kama niliwahi kumkwaza hapo awali basi naomba aniwie radhi. Watu wa pwani husema wagombanao ndiyo wapatanao.
Bishanga ndiyo mshindi nami nimekubali kushindwa kwani asiyekubali kushindwa huyo huwa si mshindani. Kwa hiyo, kutoka kwenye kilindi cha moyo wangu na kwa moyo mkunjufu kabisa nasema hongera bwana Bishanga. Beef sasa kushi nehi.