Remmy
JF-Expert Member
- Jun 9, 2009
- 4,701
- 1,799
This is news to me!!!
Mi na wewe tuna beef? Imeanza lini?
Haya basi kama tuna beef tui-squash.
That's good news aisee..
Thank you!
This is news to me!!!
Mi na wewe tuna beef? Imeanza lini?
Haya basi kama tuna beef tui-squash.
Pope Mwenyewe napita tu hapa
wewe ndo nilikuwa nakutafuta zaidi.....ni nini lakini....?
Pope Mwenyewe napita tu hapa
wewe ndo nilikuwa nakutafuta zaidi.....ni nini lakini....?
Nipe mkuu natabahuruki tu humu ndaniMambo vipi wewe!
Habari ya kitambo!
Sijakuona...!
hahaha nipo busy na Tume ya Katiba, BTW ushatoa maoni yako kweliSijui kabanwa na majukumu?
Yaani ni kitambo!
hahaha nipo busy na Tume ya Katiba, BTW ushatoa maoni yako kweli
sasa sie madereva tutatokeamo kwenye majina ya muheshimiwa!Majina yawaliotajwa hata sikulisikia wala kuliona jinalo.
Kwetu hawajapita bado. Wakipita nitatoa maoni yangu
Kuwa akina dada nasi turuhusiwe kuoa.
Aaaah, unapunguza utamu wa foramu bwana.
Unakubalije kirahisi mtoto wa kiume? Kama vipi zipangwe tena...
...na apute mchanga ..kisha walipe Ng'ombe zetuLabda ni mtoto wa kiume kweli...ila angekuwa mwanaume hakuna kusarenda mpaka kieleweke Mphamvu chora mstari atakayevuka amemtukana mwenzie......ajua
...na apute mchanga ..kisha walipe Ng'ombe zetu
sasa sie madereva tutatokeamo kwenye majina ya muheshimiwa!
Mbona kwetu kusini kule wadada wanaruhusiwa kuoa au ulikua hulijui hili