Beauty without brain private parts suffer the most

Beauty without brain private parts suffer the most

Huu msemo alisingiziwa Jongwe ndio kauanzisha, sijui kama kuna ukweli wowote. Vyovyote vile huu msemo una ukweli kwa asilimia 99.99.

Kuna matukio kadhaa yamefanya niuamini huu msemo.

1.Huku uswazi kuna kibanda cha M-Pesa, hapo kuna msichana mmoja mzuri sana lakini nasikitika kusema nilivyoongea nae nikajua huu msemo unamuhusu. Hakukawia baada ya miezi kadhaa vijana wa bodaboda washafanya yao.

2.Kuna siku mchepuko wangu ukaniburuza hadi dukani kwa rafiki yake, pale tulikuta muuzaji ni binti mrembo sana, wakati tunaondoka mchepuko akaniambia umeona mtoto yule nikamwambia nimemuona ila I feel sorry for her, akaniuliza kwanini nikamwambia watamuharibu. Sasa hivi ana mtoto baba kakimbia msichana kachoka vibaya sana.

3.Huyu ni mwingine kibanda cha M-Pesa, ni moja ya wasichana wazuri niliowahi kuwaona 2017. Nilipomfuatilia nilikuja kujua ana watoto watatu baba tofauti

4.Sofia, huyu ni bartender 'kijiweni' kwangu. Mzuri balaa ila ndio kashazalishwa watu wanapokezana tu.

Yaani hawa wanaoponzwa na uzuri wao wapo wengi sana.

Dada zangu JF shukuruni Mungu kwa kuwapa beauty with brain.
kabla siachangia kula like 600
 
Kuna wengine walifanya abortion, huyo ana wisdom kumua kuzaa
hahaaa ..lakini angalau ya hao maana waliamua kufnya hvyo baada ykuona hawana Uhakika wa kuwapa ugali wale watakao wazaa..mwisho wa siku watakuwa na familia zilizokosa muelekeo ..
ijpokuwa twaweza jiuliza kwanini hawakutumia kings !!!
 
Kwa nini ionekane aliyezaa baba tofauti ndo ionekane her private parts have suffered the most? Kuna tofauti gani na yule aliyezaa baba mmoja wote?
kuna wengine hawaja zaa kabisa..kina sepenga lakini balaa lao nikama jehanam
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom