Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 36,258
- 71,891
Acha wivu JoowzeyHawa wa jf ni ugly with brain
Acha wivu JoowzeyHawa wa jf ni ugly with brain
Hivi family planning pills hazitolewi bure siku hizi? Enzi zetu ilikuwa kama lazima hivi na ukizaa kabla ya miaka mitatu huna likizo.Still private parts suffer the most.
Asante.Nakukubali sana
Wewe unafikiri nani alaumiwe?Ni,Beauty with brain and private parts don't suffer at all but the world suffers most. ni kweli ni wazuri ila wajanja wame wazidi akili nakuwa laghai na kuwaekea mitego mikali kisha kuwachezea nakuwa dumb hasa hapo nani alaumiwe?????
Return of Karucee.Uko active last few days...nini kimetokea?
Haikuhusu hiiNitarudi Keshooo
Without beauty eeh?My Pacha with brain....
[emoji16][emoji16][emoji16] usinitafute maneno mimi leo nimeshinda nasaliHa ha ha WITH BEAUTY
Nawe piaHa ha ha jumapili njema.
Sio kweli...Hizo abortion sijaziona hivyo hazinipi pressure, mwanamke amezaa five kids kila mmoja na babaye hudhani "her private parts have suffered enough"?
Wanawake wengi wazuri wa sura wamenyimwa intelligence quotient
Unachopinga ni nini?Sio kweli...
Hadi uwe waziri ina maana una brain. Haiwezi kukuhusu hii.