you can say that againUna silaha za ziada...?
Its not just the private parts that suffer.
Her parents and the rest of the family suffers.
The society suffers too. As a result of her actions, diseases are spread, families are broken, names are tainted, tribes are stereotyped.....
It only just started with a single beautiful but dumb woman.
He heZinasuffer kivipi tena wakati ndo kazi yake? Au mlitaka zitumikeje?
Hii nzuri unabadilibadili ladhaMwaka kajitahidi sana. Kuna wale hit and run!
NakujaNjoo tubadili ladha basi.
Huu msemo alisingiziwa Jongwe ndio kauanzisha, sijui kama kuna ukweli wowote. Vyovyote vile huu msemo una ukweli kwa asilimia 99.99.
Kuna matukio kadhaa yamefanya niuamini huu msemo.
1.Huku uswazi kuna kibanda cha M-Pesa, hapo kuna msichana mmoja mzuri sana lakini nasikitika kusema nilivyoongea nae nikajua huu msemo unamuhusu. Hakukawia baada ya miezi kadhaa vijana wa bodaboda washafanya yao.
2.Kuna siku mchepuko wangu ukaniburuza hadi dukani kwa rafiki yake, pale tulikuta muuzaji ni binti mrembo sana, wakati tunaondoka mchepuko akaniambia umeona mtoto yule nikamwambia nimemuona ila I feel sorry for her, akaniuliza kwanini nikamwambia watamuharibu. Sasa hivi ana mtoto baba kakimbia msichana kachoka vibaya sana.
3.Huyu ni mwingine kibanda cha M-Pesa, ni moja ya wasichana wazuri niliowahi kuwaona 2017. Nilipomfuatilia nilikuja kujua ana watoto watatu baba tofauti
4.Sofia, huyu ni bartender 'kijiweni' kwangu. Mzuri balaa ila ndio kashazalishwa watu wanapokezana tu.
Yaani hawa wanaoponzwa na uzuri wao wapo wengi sana.
Dada zangu JF shukuruni Mungu kwa kuwapa beauty with brain.
hahahahaha, huamini au? ni ukweli ninachosema ujueNiambie PM
Mkuu wenyewe wanakwambia ndom unatumia mara ya kwanza,pili...mkizoeana kitu dry!Wamezidi kuvua picchu kwa kila mtu. Wanajua fika kuna ndom ili kujikinga na magonjwa na UNWANTED PREGNANCIES lakini bado wanarudia makosa yale yale kila mara.
Nimeipenda hii.Still private parts suffer the most.
Mkuu wenyewe wanakwambia ndom unatumia mara ya kwanza,pili...mkizoeana kitu dry!
nini huamini niambie hapa nikujibuNataka athibitishe...
Sorry for interaction madame perfect ,, are you married ?.nini huamini niambie hapa nikujibu
that question is more in close session than open sessionSorry for interaction madame perfect ,, are you married ?.
Close session ?/then no more questions baby bear !!. I just had to come and talk with you coz sweetness is my weakness !!that question is more in close session than open session
any other question mr. Perfect that I may help you?
Do you see sweetness in my replies? just a question though?Close session ?/then no more questions baby bear !!. I just had to come and talk with you coz sweetness is my weakness !!
Just like the other days ,you always sound good and yes I see it ,I love the way you taste !!.Do you see sweetness in my replies? just a question though?