Jamani we mdada upogoObviously!!!
If you consent to bringing yourself harm, then nobody should feel sorry for you.Emotional
Unatujua eeehTungekuwa page ya 60 sasa hivi.
Kuna wengine walifanya abortion, huyo ana wisdom kumua kuzaaHuku ninapoishi niliona mdada mzuri balaa, kama 32yrs hivi. Katika kupitisha macho jamaa akaniambia usitizame sana, huyo dada ana watoto watano, kila mmoja ana baba yake.
Nikachoka mwili na roho.
Hili hata mshana analitambua vyemaYaani hawa wanaoponzwa na uzuri wao wapo wengi sana. Dada zangu JF shukuruni Mungu kwa kuwapa Beauty With Brain.
Hizo abortion sijaziona hivyo hazinipi pressure, mwanamke amezaa five kids kila mmoja na babaye hudhani "her private parts have suffered enough"?Kuna wengine walifanya abortion, huyo ana wisdom kumua kuzaa
And that is the truth, wamepewa uzuri, akili hakuna. Wanadhan uzur tu utawasaidia kupata chochote kumbe ndio huwa unatumiwa kuwachezea na kuachwa.Hizo abortion sijaziona hivyo hazinipi pressure, mwanamke amezaa five kids kila mmoja na babaye hudhani "her private parts have suffered enough"?
Wanawake wengi wazuri wa sura wamenyimwa intelligence quotient
Mi nimeona likes 5 nikaona niongezee 1! Mengine sijui!Its not just the private parts that suffer.
Her parents and the rest of the family suffers.
The society suffers too. As a result of her actions, diseases are spread, families are broken, names are tainted, tribes are stereotyped.....
It only just started with a single beautiful but dumb woman.
Maybe wisdom has a new definitionHizo abortion sijaziona hivyo hazinipi pressure, mwanamke amezaa five kids kila mmoja na babaye hudhani "her private parts have suffered enough"?
Wanawake wengi wazuri wa sura wamenyimwa intelligence quotient