Beauty without brain private parts suffer the most

Beauty without brain private parts suffer the most

RRONDO

Platinum Member
Joined
Jan 3, 2010
Posts
59,509
Reaction score
135,550
Huu msemo alisingiziwa Jongwe ndio kauanzisha, sijui kama kuna ukweli wowote. Vyovyote vile huu msemo una ukweli kwa asilimia 99.99.

Kuna matukio kadhaa yamefanya niuamini huu msemo.

1.Huku uswazi kuna kibanda cha M-Pesa, hapo kuna msichana mmoja mzuri sana lakini nasikitika kusema nilivyoongea nae nikajua huu msemo unamuhusu. Hakukawia baada ya miezi kadhaa vijana wa bodaboda washafanya yao.

2.Kuna siku mchepuko wangu ukaniburuza hadi dukani kwa rafiki yake, pale tulikuta muuzaji ni binti mrembo sana, wakati tunaondoka mchepuko akaniambia umeona mtoto yule nikamwambia nimemuona ila I feel sorry for her, akaniuliza kwanini nikamwambia watamuharibu. Sasa hivi ana mtoto baba kakimbia msichana kachoka vibaya sana.

3.Huyu ni mwingine kibanda cha M-Pesa, ni moja ya wasichana wazuri niliowahi kuwaona 2017. Nilipomfuatilia nilikuja kujua ana watoto watatu baba tofauti

4.Sofia, huyu ni bartender 'kijiweni' kwangu. Mzuri balaa ila ndio kashazalishwa watu wanapokezana tu.

Yaani hawa wanaoponzwa na uzuri wao wapo wengi sana.

Dada zangu JF shukuruni Mungu kwa kuwapa beauty with brain.
 
Its not just the private parts that suffer.

Her parents and the rest of the family suffers.

The society suffers too. As a result of her actions, diseases are spread, families are broken, names are tainted, tribes are stereotyped.....

It only just started with a single beautiful but dumb woman.
 
Its not just the private parts that suffer.

Her parents and the rest of the family suffers.

The society suffers too. As a result of her actions, diseases are spread, families are broken, names are tainted, tribes are stereotyped.....

It only just started with a single beautiful but dumb woman.
Huwa uko smart sana Karucee
You've said it all
 
Its not just the private parts that suffer.

Her parents and the rest of the family suffers.

The society suffers too. As a result of her actions, diseases are spread, families are broken, names are tainted, tribes are stereotyped.....

It only just started with a single beautiful but dumb woman.
Duh this is even worse....but private parts suffer THE MOST!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom