Si mnaipendaSiku hizi wanajua CHURA ndio kila kitu...
Ukiwa BIMBO lazima mbunye iumie.tatizo wanajirahisisha sana.
Rrondo ukishfanya mistake mtoto wa kwanza na jina kazi, wa pili atakuwa kwa nia ya kukusaidia na kuku acha na mimba na watatu na wanne. Ninamsifu kuwa hakutoa hizo mimbaNi kweli kuamua kuzaa na baba tofauti nje ya ndoa ni Wisdom.
Bila kuathiri mada;Kuna wengine walifanya abortion, huyo ana wisdom kumua kuzaa
Kuna aliyelazwa hospital kwakuwa private parts zili suffer?Na hio inazidi kuonesha her private parts suffer...
NdioHicho ndicho mnachofikiri.
Kuna mademu ambao wamekaa kimatamanio(kingono ngono)hawa huwa wanasumbuliwa sana na ni ngumu kuchomoa yaani,Huu msemo alisingiziwa Jongwe ndio kauanzisha, sijui kama kuna ukweli wowote. Vyovyote vile huu msemo una ukweli kwa asilimia 99.99.
Kuna matukio kadhaa yamefanya niuamini huu msemo.
1.huku uswazi kuna kibanda cha mpesa, hapo kuna msichana mmoja mzuri sana lakini nasikitika kusema nilivyoongea nae nikajua huu msemo unamuhusu. Hakukawia baada ya miezi kadhaa vijana wa bodaboda washafanya yao!
2.kuna siku mchepuko wangu ukaniburuza hadi dukani kwa rafiki yake,pale tulikuta muuzaji ni binti mrembo sana, wakati tunaondoka mchepuko akaniambia umeona mtoto yule nikamwambia nimemuona ila I feel sorry for her, akaniuliza kwa nini nikamwambia watamuharibu. Sasa hivi ana mtoto baba kakimbia demu kachoka vibaya sana.
3.huyu ni mwingine kibanda cha mpesa, ni moja ya wasichana wazuri niliowahi kuwaona 2017! Nilipomfuatilia nilikuja kujua ana watoto watatu baba tofauti
4.sofia, huyu ni bartender 'kijiweni' kwangu. Mzuri balaa ila ndio kashazalishwa watu wanapokezana tu
Yaani hawa wanaoponzwa na uzuri wao wapo wengi sana. Dada zangu JF shukuruni Mungu kwa kuwapa Beauty With Brain.
Na hapa ndio msemo wa mbunye ndio inayoumia unapojipigia mstari.Rrondo ukishfanya mistake mtoto wa kwanza na jina kazi, wa pili atakuwa kwa nia ya kukusaidia na kuku acha na mimba na watatu na wanne. Ninamsifu kuwa hakutoa hizo mimba
Maisha yanawapiga.Kuna aliyelazwa hospital kwakuwa private parts zili suffer?
Hata ukinunua gari unaangalia limetembea km ngapi, sasa huyo mtu ana ex's wanne ukimuoa/kuolewa tambua kabisa atakua mchepuko wa mmoja kati ya hao....Ukitafuta kazi bank ulisoma ulushafanya kazi kwenye bank tatu/nne ni bonus lakini mchumba ukimwambia ukishakuwa na watatu/wanne anaweza aikupigie simu tena why?
At least brain itawasaidia kufannya wise decisionsKuna mademu ambao wamekaa kimatamanio(kingono ngono)hawa huwa wanasumbuliwa sana na ni ngumu kuchomoa yaani,
Alafu utakuta hawajijui kama wanatamanisha kiasi hicho sometimes wanatia huruma na hakuna option na personality zao zinawatesa pia hao ndio asili yao hakuna namna