Beauty without brain private parts suffer the most

Beauty without brain private parts suffer the most

haya matatizo yanaanzia ndani ya familia.
mzazi hajawahi kumwambia binti yake we mnzuri akazoea kudhaminiwa toka ndani lakini kila saa anakutana na lugha za kitumwa utasikia "we mwajuma ushaosha vyombo, sasa akisema bado jibu la mama linakuja liangalie kwanza jiuso kama mbwa koko!" sasa hayo maumivu anaondoka nayo na huku anakutana na vimeo vyenye vess zao utafikiri wanaoa kweli wakimwonyesha ni kwa jinsi gani yeye ni wadhamani na wakati mwingine wanaeleza ukweli mtupu mwisho wa siku binti anawaamini na kumzawadia utupu wake.
hivyo tuanze kudhamini watoto wetu toka ndani.
pia tuwe wazi kuwaeleza changamoto mbalimbali za maisha wanazoweza kukabiliana nazo ni vizuri mzazi ikitokea ameangalia thamthilia na familia, ni vizuri aweze kutoa tafsiri sahihi ya tafsiri halisi katika maisha na jamii yetu.
 
Wanaume watano "waliomzalisha", ukipata mdada alotembea na wanaume watano in her lifelime basi umeoa bikra kabisa.
hahaaa kwahali ya sasa jinsi ilivyo kama nikweli aliwahi kuwa na wanaume wa5 tu ..basi huyo ni bikira kabisaaa..

shida nipale anapokwambia wewe ni watano ..kumbe yupo kwenye 50k huko
 
KE wengi wazuri ni vizibo walio na akili na hekima wengi huwa na sura chachu!
ndio maana kuna msemo uswazi kuwa ukioa mke mzuri ni sawa na umejitafutia ugonjwa wa moyo kwa makusudi kabisa..
 
I know Daby mi mwenyewe nawamiss sana sema kazi zimezidi. Ila nataka nijaribu kuwepo mara moja moja isije siku nikakuta nimefunguliwa thread ya RIP.
Haha na kweli.

Ok, You're welcome.
 
Its not just the private parts that suffer.

Her parents and the rest of the family suffers.

The society suffers too. As a result of her actions, diseases are spread, families are broken, names are tainted, tribes are stereotyped.....

It only just started with a single beautiful but dumb woman.
Nakukubali sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom