Beauty with brain wanavyopangwa

Wale wadada wanaopata client wa kiarabu bwana, wanakwambia jamaa hawanywi pombe, mara nyingi wao wanapenda matunda na maji, lakini wanaweza kusoma kitabu siku tatu hamtoki nje. Let say ameingia Friday, mkutano wake ni Monday, unakabidhiwa client Friday hiyo akiingia.
 
Mmmh ina maana hapo wakina dada wanatumia na papuchi ili kumshawishi mteja
Wewe jamaa.

Unanikumbusha kuna pande za kufanyiwa masaji/kukandwa, hapo hapo unauliziwa kali na anaekufanyia masaji.

Kama uko tayari kuna kachumba kaofisi humo humo mnaingia mnamalizana, ila dau limeamka kidogo.

Sababu wanaofanya hizo shughuli sio choka mbaya, halafu matawi.

Na wako kikazi zaidi, si kimapenzi, na namba za simu hawatoi.

Bembeleza utakavyobembeleza, namba za simu hawatoi ng'oo.

Na mipira wala usisumbuke wanayo wenyewe
 
Hilo gazeti hiyo article inaitwa 'beauty with brains'?

hukumbuki jina la gazeti? TIME? Economist?

Nono hiyo haikuwa heading yenyewe, ninadhani heading ilikuwa based with the greater IQ level in modelling agency.
Ilimaanisha wale wazuri wanasecure better deals.
 
Nono hiyo haikuwa heading yenyewe, ninadhani heading ilikuwa based with the greater IQ level in modelling agency.
Ilimaanisha wale wazuri wanasecure better deals.

gazeti lipi?
 
Naomba link ya hicho kitabu kama unayo please
 
kuna sehem nilisoma wanasema Viongozi wengi wa bongo wanafanyiwa hii,unaletewa mtoto mzuri wa kulala nae kesho asubui atakuchelewesha hili ukifika usaini mikataba bila ya kuisoma
 

Kwa mwendo huu sasa ndiyo maana mikataba mingi ya kibongo unajiuliza hivi waliosaini walifikiria nini? Kumbe wanasaini wakiwa kwenye PAPUCHI
 
Bora umeleta hii mada!! Na mimi nahisi niko na mmoja hapa!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…