Preta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 24,323
- 18,793
mpwa wangu akili kichwani mbona leo una hasira?
AU NI STRESS ZA BOX NA JUNK-FOOD?
nafuu umekuja binam maana....mmhh
mpwa wangu akili kichwani mbona leo una hasira?
AU NI STRESS ZA BOX NA JUNK-FOOD?
mpwa wangu akili kichwani mbona leo una hasira?
AU NI STRESS ZA BOX NA JUNK-FOOD?
kwa kweli mie siijui nyimbo yake original maana zote ametoa ktk kitabu cha nyimbo za injili cha lutheran,bwana yesu yuko wapi,kijito cha utakaso n.k.sio mbaya lkn anaimba vizuri na hayo mabadiliko yake siyajui!ukimtukuza mungu haimaanishi ujiweke kijima.
DUUUU....!
INAPOFIKIA KUTOA COMMENT JUU YA "WATUMISHI TATA/UNBIBLICAL" BIBLE SHOULD BE THE REFERENCE NA SIYO "MARKET". SOKO LINATAKA LIPSTICK,MINI-SKIRT,WANJA,SAUTI NYORORO iliyolishwa asali na mayai mabichi E.T. C ILI "kazi"IUZIKE......! UJUMBE WA MUNGU UNATAKA "ANOINTING" ILI UWAFIKIE NA KUWABADILISHA WASIKIAO.....neno lasema ""kila asikiaye ujumbe masikio yatamuwasha""
TUOMBE SANA KWANI KAZI YA MUNGU INARUDISHWA NYUMA NA WATU "waliokwisha mjua"
DUUUU....!
INAPOFIKIA KUTOA COMMENT JUU YA "WATUMISHI TATA/UNBIBLICAL" BIBLE SHOULD BE THE REFERENCE NA SIYO "MARKET". SOKO LINATAKA LIPSTICK,MINI-SKIRT,WANJA,SAUTI NYORORO iliyolishwa asali na mayai mabichi E.T. C ILI "kazi"IUZIKE......! UJUMBE WA MUNGU UNATAKA "ANOINTING" ILI UWAFIKIE NA KUWABADILISHA WASIKIAO.....neno lasema ""kila asikiaye ujumbe masikio yatamuwasha""
TUOMBE SANA KWANI KAZI YA MUNGU INARUDISHWA NYUMA NA WATU "waliokwisha mjua"
kuna mahali maandiko yanasema ukimsifu Mungu uwe kama wazimu? Musa aliambiwa 'enenda kwa watu wako, ukawatakase leo na kesho,wakazifue nguo zao, wawe tayari kwa siku ya tatu, maana siku ya tatu BWANA atashuka katika mlima wa Sinai machoni pa watu hawa wote' ref: kut 19:10, hii inaelezea kuwa Mungu anapenda watu wasafi na walio smart...nadhani umenielewa
Preta, hongera mama kumbe na mambo ya injili unayapandisha!! Bwana yesu asifiwe1
Heshima zenu wakubwa!
Mimi sio sana msikilizaji au muangaliaji wa nyimbo za huyo dada na wengineo.Hii ni kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo ambazo kwa sasa si lazima kuzitaja.Ila baada ya kusoma the whole story,nadhani si busara kumhukumu huyu dada kwa sababu kama kumtukuza Mungu anamtukuza.Kwani kuna sehemu inasema mtu ukiwa unaimba kwaya ni lazima ufie kwenye kwaya?I thought zote ni huduma za kumtukuza Mungu aliyetuumba?!Kila mtu anaitwa kwa karama yake.Mimi pia sidhani kama Mungu wa kweli anapenda wanadamu wakae kwenye state moja ya maisha na siyo kuendelea mbele.Au mimi nina mtazamo tofauti kuhusu neno maendeleo?If she is doing well kwenye shughuli zake za kumuimbi Mungu,si vyema kuanza kumnyooshea vidole kwa kufananisha na alipotoka.Kwani mtu mwingine akija na kusema pia hizi zote ni jitihada za shetani kuwa mnataka arudi nyuma mtakataa?Si kila mtu ana mtizamo wake?
Samahani sana kama itakuwa imemkwaza mtu.
Mbarikiwe
Leo nilikuwa naangalia kaseti ya picha (video) ya kwaya ya Shangalieni ya Arusha nikamuona huyu dada akianzisha wimbo huku akiimba kwa hisia (ukipenda katika roho na kweli). Ukiamuangalia alivyokuwa amevaa, nywele zake na muonekano wake hutasita kusema hakika huyu ni mtumishi wa bwana.
Hapo hapo nikachukua VCD yake (nafikiri kapigia picha Uganda) akiwa mwimbaji binafsi nikaangalia alivyovaa, alivyoweka urembo sura yake, nywele zake, anavyoimba, bila ubishi nikasema huyu dada lazima kuna mabadiliko katika maisha yake ya kiroho- yaani amerudi nyuma huihitaji kuwa na karama ya maarifa kubaini hilo.
Dada Beatice nakuomba rudia enzi yako ambapo ulikuwa ukiimba tunabarikiwa sana- nini kimempata huyu dada?
Leo nilikuwa naangalia kaseti ya picha (video) ya kwaya ya Shangalieni ya Arusha nikamuona huyu dada akianzisha wimbo huku akiimba kwa hisia (ukipenda katika roho na kweli). Ukiamuangalia alivyokuwa amevaa, nywele zake na muonekano wake hutasita kusema hakika huyu ni mtumishi wa bwana.
Hapo hapo nikachukua VCD yake (nafikiri kapigia picha Uganda) akiwa mwimbaji binafsi nikaangalia alivyovaa, alivyoweka urembo sura yake, nywele zake, anavyoimba, bila ubishi nikasema huyu dada lazima kuna mabadiliko katika maisha yake ya kiroho- yaani amerudi nyuma huihitaji kuwa na karama ya maarifa kubaini hilo.
Dada Beatice nakuomba rudia enzi yako ambapo ulikuwa ukiimba tunabarikiwa sana- nini kimempata huyu dada?
Watu tunapenda kweli ku-jurge wenzetu