Beatrice Muhone

umecharukia maandiko usiyoyajua!!!!!!!!!!........... Mungu angekuwa anataka watu wawe smart, nadhani Yesu angekuwa "bishoo" kuliko wote na hata msalabani angepanda na suti.................. jifunze kwanza umjue Mungu na tabia zake kabla hujaanza kuhubiri................ rejea tena mara nyingi sana imeandikwa kuwa mavazi yazunguzwayo sio ya nje wala vidani vya dhahabu, bali moyo safi uliopondeka, ndio ambao Bwana hataudharau.................

kwamba alichoandika ni cha uongo au umejisikia tu kucrash kwa kuwa umekariri kupinga tu?

tambua kuwa Mungu ni mpana sana, na tena si Mungu wa sheria bali ni Mungu wa neema

tena hakuandaa jehanamu kwa mavazi au kula, bali ni kwa watenda dhambi,

na wala hatamhukumu mtu kwa mavazi ya mwilini, bali kwa matendo ya roho yako,

mwili ni wa duniani unavaa vya duniani, bali roho ya mwanadamu ivae neno la Uzima

wa milele.
 
sijamuona alivyobadilika...so i cant coment on that...ila sio siri katika wadada wanaoimba injili...nampenda sana huyu dada,wimbo wake kijito cha utakaso,si njia rahisi etc...huwaga nasikilizaga mpk nalewa!anaimba sana jamani...

Wimbo wa Si Njia Rahisi ni wimbo wa vitabuni (Church Hymns), and umeimbwa na wanamuziki mbali mbali na ulivuma zaidi alipouimba mwanamuziki mkongwe wa kikenya ambaye ni kipofu (Reuben Kigame).

Wimbo wa Kijito Cha utakaso ni wimbo pia wa vitabuni na uko kwenye kanda ya Ingoje Ahadi kama sikosei ambayo imeleta utata kwa jamii kuhusu ni nani mmliki halali wa album hiyo kati ya Upendo Kilahiro na Beatrice Muhone au wote. Niliwahi kusikia tuhuma za yeye kutofautiana na mwimbaji mwenzie (Upendo Kilahiro) katika kanda ya Ingoje Ahadi. Na hii ilihusishwa na swala la the same kanda kuwa covers mbili tofauti, kuna ambazo wamepiga picha yeye na Upendo Kilahiro na kuna ambazo kaweka picha yake mwenyewe. Na ukiisikiliza kanda ya Ingoje Ahadi utagundua kuwa almost 80% ya nyimbo zimeimbwa na Upendo Kilahiro. Kama kuna mtu ana information toka chanzo cha karibu na wanamuziki hawa wawili atupe data.

Kama mdau aliyepita alivyosema; cha muhimu ni kuwaombea watumishi wa sasa. Wengi wanaweza kuwa wameanguka katika tamaa au fashion au maisha ya kiusasa zaidi na kupoteza muonekano unaopaswa kupeleka ujumbe katika jamii iliyojaa watu walio na uwezo wa juu katika kujudge vitabu by their covers. Pia shetani yuko very sharp kwenye kuyafumbua macho ya wanadamu wa sasa katika kuona mapungufu waliyonayo watumishi. Hivyo kama mtumishi, ingawa ni ngumu kumridhisha kila mwanadamu lakini, mtu inabidi uhakikishe unasimama imara ukiomba hekima ya Mungu katika kufanya mambo yasiyoweka utata wa uimara wako katika jamii.
 
Hongera mwandishi kwa kumuuza msanii huyu ila sijui unaneemeka vp................................
kwa hiyo ulitaka tuchangie nini kuhusu maisha haya binafsi ya beatrice?????????
jamani nchi hii ina watu wengi wa ajabu!!!!!!!!
 
wala ule sio wimbo wake.................. kadesa tu ............. yaani ni mjasiriamali wa kidunia per se..................inaonekana huzijui nyimo za injili..................

Anajua kuimba hajui kutunga, ndo maana anaimba nyimbo za kwenye tenzi, mtu yeyote anaruhusiwa kuimba nyimbo za tenzi za rohoni
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom